Ufisadi na ubadhirifu unaondelea nchini kuipatia CHADEMA nguvu za kisiasa tena. Awamu ya 5 CHADEMA ilipotea baada ya ufisadi kudhibitiwa

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,087
6,568
Kwa namna Mapato ya Serikali yanaonekana kuwa hayatumiwi vyema ili hali Serikali inakusanya mapato mengi kupitia kodi, tozo na faini pia hata ada kibao.

Wakati wa hayati JPM alidhibiti mianya ya upotevu wa pesa za umma.

Aliweza kuwa na ukusanyaji madhubuti wa pesa za umma na zote zikatunzwa consolidated fund.

Leo hii pesa nyingi inakusanywa na tozo kibao lakini hakuna kinachoonekana juu ya mapato haya.

Huu ndio wakati wa Chadema kurudi kwenye game.
 
Mtoa hoja huwezi kutoa mada bila kushirikisha Chadema? Ule ufisadi wa trab na uchafu gani.

Umeshasahau? Niambie 3T zangu zipo wapi
 
Chuki zako ndio zinakutesa kila siku Magufuli, Magufuli hivi hujui kama ameshakufa na hawezi kurudi tena.
Kaa kimya nyie ndio mliokuwa mnabebwa na huyo Magufuli wenu.
Sasa waacheni wenzenu nao wafanye kazi zao. Acheni wivu.
 
Nyankurungu2020, hakuna ufisadi uliodhibitiwa wakati wa JPM bali bali ufisadi ulihama mikononi mwa wapigaji tuliozoea na kwenda kwa wengine. Ziko wapi 1.5T? Ziko wapi ripoti za Ukaguzi wa kazi alizopewa Mayanga construction?nk.

Halafu kwanini nada ya ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM unauhusisha na CHADEMA?
 
Magufuli hakuthibiti ufisadi, bali alidhibiti wanaoweka ufisadi hadharani. Alihakikisha taarifa zinazotangazwa ni zile anazotaka wananchi wasikie na sio wananchi wanachotaka kusikia.
 
Pesa za plea bargain walizokuwa wakitoa akina Singasinga.

Pesa za vitambulisho vya wamachinga.

Trillion 1.5 ...ya CAG ....

Zilikwenda wapi...au ndo nyani haoni kundule...
 
Kwa namna Mapato ya Serikali yanaonekana kuwa hayatumiwi vyema ili hali Serikali inakusanya mapato mengi kupitia kodi, tozo na faini pia hata ada kibao.

Wakati wa hayati JPM alidhibiti mianya ya upotevu wa pesa za umma.

Aliweza kuwa na ukusanyaji madhubuti wa pesa za umma na zote zikatunzwa consolidated fund.

Leo hii pesa nyingi inakusanywa na tozo kibao lakini hakuna kinachoonekana juu ya mapato haya.

Huu ndio wakati wa Chadema kurudi kwenye game.
Ufisadi uliisha awamu ya JPM 😆😆😆.

Na hiki ni nini? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220728-232640_Opera.jpg
    Screenshot_20220728-232640_Opera.jpg
    36 KB · Views: 1
  • Screenshot_20220415-072852.jpg
    Screenshot_20220415-072852.jpg
    122 KB · Views: 1
  • Screenshot_20220520-171316.jpg
    Screenshot_20220520-171316.jpg
    116.8 KB · Views: 1
Magufuli hakuthibiti ufisadi, bali alidhibiti wanaoweka ufisadi hadharani. Alihakikisha taarifa zinazotangazwa ni zile anazotaka wananchi wasikie na wananchi wanachotaka kusikia.
Chadema na ufisadi ni kitu kimoja ndiyo maana wakamsafisha Lowasa
 
Kwa namna Mapato ya Serikali yanaonekana kuwa hayatumiwi vyema ili hali Serikali inakusanya mapato mengi kupitia kodi, tozo na faini pia hata ada kibao.

Wakati wa hayati JPM alidhibiti mianya ya upotevu wa pesa za umma.

Aliweza kuwa na ukusanyaji madhubuti wa pesa za umma na zote zikatunzwa consolidated fund.

Leo hii pesa nyingi inakusanywa na tozo kibao lakini hakuna kinachoonekana juu ya mapato haya.

Huu ndio wakati wa Chadema kurudi kwenye game.
UFISADI NCHINI HAUKUWAHI KUDHIBITIWA Baada ya Awamu 1 Mwendazake alikuwa anarekebisha Takwimu za CAG unaikumbuka Ile Tril.1 5 Iliyomwondoa CAG?
 
Kwa namna Mapato ya Serikali yanaonekana kuwa hayatumiwi vyema ili hali Serikali inakusanya mapato mengi kupitia kodi, tozo na faini pia hata ada kibao.

Wakati wa hayati JPM alidhibiti mianya ya upotevu wa pesa za umma.

Aliweza kuwa na ukusanyaji madhubuti wa pesa za umma na zote zikatunzwa consolidated fund.

Leo hii pesa nyingi inakusanywa na tozo kibao lakini hakuna kinachoonekana juu ya mapato haya.

Huu ndio wakati wa Chadema kurudi kwenye game.
Yale mapato ambayo Magufuli alikusanya kwenye Plea bargain yalienda wapi ?
 
Back
Top Bottom