ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 8,571
- 7,218
Umeanza kuchanganyikiwaHiyo mizimu imuondoe Kagame anayewatawala
Umeanza kuchanganyikiwaHiyo mizimu imuondoe Kagame anayewatawala
Akili zenu ni bure maana bado tunaendelea kuwatawalaSisi tunaingia akilini mwenu na mwenye akili ameshaelewa vipi ulivyojeruhiwa vibaya
Hamtutawali kwa akili ni wingi wa wanajeshi na watu wasiojulikana . Kambi za jeshi kila mtaaAkili zenu ni bure maana bado tunaendelea kuwatawala
Umeanza kuchanganyikiwa
Mizimu yangu iko vizuri , imewadhibiti wasoma albadir wanalialia mitandaoni tuMizimu yako ndivyo inavyokudanganya?
Ndio kazi ya jeshi hiyo kudhibiti na kuwashughulikia wote wanaoleta mambo ya ovyo ovyo kama yenu nyie wapiga domo wa ZanzibarHamtutawali kwa akili ni wingi wa wanajeshi na watu wasiojulikana . Kambi za jeshi kila mtaa
Ndiyo mizimu yako inavyoendelea kukudanganya? Nilikuambia kuwa wewe tumeshakujeruhi akilini mwako ,sasa unaandika vitu vya ajabu. Chunga hiyo akili iliyobakia isije ikafaNdio kazi ya jeshi hiyo kudhibiti na kuwashughulikia wote wanaoleta mambo ya ovyo ovyo kama yenu nyie wapiga domo wa Zanzibar
Misumari inakuchoma vizuri??Takbir
Kwani sio nyinyi mnaokula tende na Halwa Halwa kwa kuuza utaifa wenu?? Huku kuna mpaka wajumbe wa nyumba.10 bungeni mmejazana mnakula bata na mivx juu Leo umeuza mwanao kwa utamu wa chumvi hujiulizi ukifa atakae kuzika naniMisumari inakuchoma vizuri??
Kwani sio nyinyi mnaokula tende na Halwa Halwa kwa kuuza utaifa wenu?? Huku kuna mpaka wajumbe wa nyumba.10 bungeni mmejazana mnakula bata na mivx juu Leo umeuza mwanao kwa utamu wa chumvi hujiulizi ukifa atakae kuzika nani
Endelea kutafuta uhuru mitandaoni utaupata tu usijali ahahaaahahahhaNdiyo mizimu yako inavyoendelea kukudanganya? Nilikuambia kuwa wewe tumeshakujeruhi akilini mwako ,sasa unaandika vitu vya ajabu. Chunga hiyo akili iliyobakia isije ikafa
Ndio maana tumekupa uhuru mtandaoni sawa , shangilia ushindi basiMitandao ina nafac yake ndio maana ukapanik kimtindoo
Wewe hapa tumekujeruhi vibaya sana, hata hujitambuiEndelea kutafuta uhuru mitandaoni utaupata tu usijali ahahaaahahahha
Ujue shoka haikati mti hadi nduguye mti aingie kwenye shoka hapo msitu utaisha vumilia TU...Kwani wanawekwa na nani si na kanisa ? Umesahau magugu??
Ndiyo philosophy ya kanisa hiyo 😜 😜 😜Ujue shoka haikati mti hadi nduguye mti aingie kwenye shoka hapo msitu utaisha vumilia TU...
unakosea unapo laumu watanganyika wote kwa ujumla, wewe sema ccm. maana watanganyika wengi wetu ni wahanga wa utawala wa ccm kama nyinyi wazanzibar. ukianza kulaumu wahanga wezoko huku ukisahau kumtaja muuwaji mwenyewe basi unampa nguvu muuwaji aendelee kuuwa kwana anajuwa bado hajajulikana kwasababu wanaoathirika wanalaumiana wenyewe kwa wenyewe.Daima Watanganyika (ndugu zetu wa damu) wanatufanyia visa furaha yao ZANZIBAR ikwame Wazanzibar wadhalilike ishahidi wa hayo kuna list kubwa ya ubaya wao huo
Watanganyika washatufanyia mengi na hivi juzi kwa vile wanajua. Pamoja na kujitangaza sana bado ZANZIBAR inafanya vyema sana katika sekta ya UTALII kuna watalii wanaoushuka moja kwa moja ZANZIBAR hilo linawauma sanaaaa
Na hivi sasa washapata sababu ya kutaka kuihujumu ZANZIBAR kupitia sekta hiyo kwa kupaza sauti zao kumtaka waziri wao anaehusika na utalii KIKWANGARA sijui kinani eti aingile kati suala la yule mwanamitindo au mwanamichezo au msanii Kutoka South Afrika aliefanyiwa vitendo vya ubaguzi ktk hoteli huko ZANZIBAR
Twaambia hivi ISSUE Za ZANZIBAR zitamalizwa na Wazanzibar wenyewe hivyo vigwangwara washuhulikie issue za Faru John. HOTELS zote Zanzibar zina mikataba na kinachofanyika kinajulikana na ZANZIBAR ina Waziri wake wa utalii
#BRING OUR NATION BACK
#Free ZANZIBAR