Acha wazimu weweMmezidi utegemezi
Umeme mnategemea Bara
Ardhi yenu imekwisha mnategemea Bara
Chakula mnategemea Bara
Hata haya malalamiko unaptishia JF ipo Bara, na kama wewe mjanja andika haya malalamiko kwenye mtandao wa kwenu hukohuko
Point 3 za mezani umechukuaMmezidi utegemezi
Umeme mnategemea Bara
Ardhi yenu imekwisha mnategemea Bara
Chakula mnategemea Bara
Hata haya malalamiko unaptishia JF ipo Bara, na kama wewe mjanja andika haya malalamiko kwenye mtandao wa kwenu hukohuko
Katiba Mpya mumeifanyia figusi Tanganyika haijawai kuwa Nchi ya demokrasiaLol! I hope mkikatisha Muungano mtafanya kazi mue na hela ya kutosha kuendelea kununua mchele kutoka Thailand na vitunguu from India. Nyie kwa kuwa hamjui adui yenu ni nani, mtabaki hivyo hivyo. Badala mkazanie katiba mpya itakayosaidia kurekebisha na kuleta uwezekano wa kuchagua viongozi kihalali na hapo ndipo mtakua na nafasi kubwa sana ya kuvunja Muungano maana mtakua na viongozi mliowachagua na pengine Mahakama huru. Umekalia kuandika upuuzi.
Sawa anti Bilali tumekusikiaKwa maslahi mapana ya nchi hatuwezi kuacha ukiropoka ovyo ovyo tu kisa una mdomo, tutashughulikia wachache kwa faida ya wengi. ata Zanzibar wale uamsho walipokuwa wanaropoka ovyo sasa hivi wananyea debe tena huku tanganyika
Lete za kwako za kweli za hao niliowatajaPHOTOSHOP.
Hamna kitu hapo.
WAKOLONI WEUSI NI WASHENZI TUUU UTAMBEBA NANI WAKATI WW MWENYEWE HUNA HATA UWEZO WA KUTAMBAAA
Safar hii utamfungia mama yako huko kigamboji mwanaharamu wa kisukuma weeeeKwa maslahi ya taifa hili , yeyote ambaye ni hatarishi lazima apate dawa ata awe kiongozi gani , ndio maana yule kiongozi fulani wa Zanzibar alifungiwa kigamboni bila wasiwasi wowote
Sasa umejiuliza ni kwanini wanagoma kusaini ili wakakope? Ukiwa mtoto huwezi jua siri ya baba na mamaUNAWASHWA WEWEE HUO WENU LINI MMELIPA??? PESA ZA MISAADA 4.5 LINI MLITUPATIA???? NYINYI C WEZI TUUU
Hambebeki!!!!
Wewe mkimbizi
DAWA YENU IKO JIKONI UMTILIE SAINI NANI NYINYI WENYEWE MNA DENI MPK KTK KOPEESasa umejiuliza ni kwanini wanagoma kusaini ili wakakope? Ukiwa mtoto huwezi jua siri ya baba na mama
wewe kula tu ushibe na kulala basi usiulize baba pesa unapata wapi
Mimi muafrika halisi , hayo majina ya kishenzi siyahitajiSawa anti Bilali tumekusikia
Nyie mmekuwa kama Inzi kelele zenu wala sio tatizoSafar hii utamfungia mama yako huko kigamboji mwanaharamu wa kisukuma weeee