Babu Lao
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,043
- 179
Nina wasiwasi mkubwa na exposure yako mkuu... zingatia ushauri wa warea, wabongo wengi mjifungia hapo ndani na ku-assume mnajua kila kitu... ni kwenye nchi maskini tena za kiafrika ndio unakuta viongozi wake wanalipwa mara mbili kufanya kazi moja!!! Waziri au mkurugenzi yuko dar.... masaki na ofisi ya wizara iko pamba road posta, anaitwa kwenye ufunguzi wa semina ya mamlaka iliyochini ya wizara yake inayofanyika karimjee, muda wa kazi, anatumia gari la ofisi.... analipwa perdiem kama amesafiri kwenda sumbawanga.... its not fair na nchi haitopiga hatua kwa style hii!!!Watanzania vilaza kwenye kila kitu, someni majarida na magazeti yenye kuongeza knowledge na sio magazeti ya ngono.
Wapi ulisoma kazi ya waziri mkuu au waziri yoyote wa serikali ni kufungua seminars?????? Na jingine semina ufanye wewe halafu akulipie nani??????
Shame on you people, fyi hizi ni taratibu za kawaida nchi sote na sio hata rais.