UFISADI: Mpina aibua tuhuma za upigaji wa Sh. Trilioni 1.5 Bwawa la Nyerere

Bush Electrical Engineer and Sole Distributor of TaifaGas Prince January Makamba from Msoga Kingdom!!!
Yes ,wanataka waweke sheria tusitumie kuni Mara mazingira Mara mapafu na kansa,yaani baadaye watakataa mkaa ama kuni zisionekane jamani na ilhali mbao zionekane ili tununue gesi zao. Kwani hayo madini nayo si Ni maliasilia so yataisha yakichimbwa Sana ama Ni kwa miti pekee.

Yaani jamaa wameshika vitengo vingi Kama mbolea na bidhaa zingine wanaagiza wao tu,Mara saivi wanataka wamiliki mwendokasi ,badala wangetangaza wafanyabiashara wenye uwezo wa kuagiza Basi za muundo ule kuanzia moja lete sajili paka rangi moja halafu lipa Kodi.

Sasa wao wanataka wale asali na keki pekee wengine kisa hatuna makali tuwachangie milele kizazi chao
 
Mpina atafute kazi nyingine 2025, walamba asali hawatakubali arudi.

Ni sawa tu, maana hata Magufuli alipoona wapinzani wanahoji sana hakutaka warudi tena bungeni, na Mpina aliona sawa. Sasa acha akae pembeni ajue kushabikia wenye uwezo wa kuhoji bungeni sio kitu sahihi.
 
Mbali na yote hayo; haya anayoyasema sasa ni ya kweli au ya uwongo? Hayo mengine ni ya kawaida kwa wanasiasa maana 99.99% ni watu wanaoishi kwa kufuata upepo na ulaghai na undumilakuwili ndiyo sifa yao kuu.

Pengine tujikite katika hoja yake ya sasa. Ni kweli hayo mapesa yamepigwa? Na kama yamepigwa nini cha kufanya?
Hayo anayosema ni kweli 100% kama ambavyo kutapeliwa trillion 450 ni kweli kabisa ila tofauti ni kwamba CCM haijawahi kuacha ufisadi tokea uhuru ila tatizo kina Mpina wakiwa madarakani wanapotezea ule ufisadi wanakuja kulalamika wakikosa uwaziri so inaua credibility na collective efforts za wananchi na wabunge maana wanaona maigizo tu.

Mpina huyu huyu alisema kukopa sio dhambi maana tunajenga miradi inayozalisha pesa.... Ila amekosa uwaziri anadai mikopo inatufanya watumwa!! Sasa unategemea hapo nani atamchukulia serious? Wachukua hatua kama Samia Wanaweza acha kukopa kwa sababu ya maoni ya ndumilakuwili kama haya?

Tuwe serious
 
Kwanini una akili za ajabu hivyo mkuu, badala kujadili hoja iliyopo mezani unajadili mtu !
Yeah wanaturudisha nyuma sana!! Leo wakiwa serikalini wanasema A wakinyimwa uwaziri wanasema B unadhani tutawachekea mpaka lini wanavyotuchezea akili?

Kuna Mpina, Kigwangallah na Polepole. Yaani Leo ndio wamegundua kuwa ripoti ya CAG ni ya kweli? Why enzi zile CAG anasema 1.5T hazijapita mfuko mkuu wa serikali walidai eti CAG anatumika na wapinzani wa JPM ila wakiwa nje ya serikali ndio wanaamini CAG ni mkweli??

Haya wakisema upinzani ndio tutaelewa sio Hawa wanafiki wa CCM wakishapewa uwaziri watakanusha hizi Hansard!!
 
Brother nadhani kama nimemsikia vizuri Mpina ameibua hoja kupitia Taarifa za Kamati za Bunge pamoja na Taarifa ya Waziri kuhusu Mpango unaojadiliwa bungeni sasa mnafiki ni Mpina au wanafiki ni Kamati zilizoibua hayo mambo ninachoona mimi Mpina ametumia lugha rahisi kutufafanulia sisi tusiolewa mambo ya mahesabu.
Kipindi Cha JPM Kuna performance audit ilifanywa kwenye hii miradi na ripoti kusomwa bungeni? Nachochukia ni double standards za Hawa wakosa uwaziri!! Yaani anavyodai Kuna ufisadi kipindi kina Lissu wanasema Bwawa la Nyerere Kuna usiri mkubwa kwenye mikataba, ukaguzi n.k mbona wakisema anatumiwa na mabeberu?? Sikuona Mpina akisema uchunguzi ufanyike Wala kumhoji JPM juu ya usiri ule kwa bunge.

Tuacheni ku quote wanasiasa wanafiki wanatupotezea muda tu, hapa tuta rally behind him utasikia kapewa uwaziri then atakanusha hizi statement zake tutaanza Tena A kutafuta mchawi.
 
Unajadili hoja kitoto sana. Jadili hoja iliyoko mezani mambo ya uwaziri hayatusaidii unaambiwa kuna Trilioni 1.5 haijulikani ilipo ambayo fedha yetu watanzania wote iliyotakiwa kulipwa na mkandarasi kwa Serikali hujiulizi hayo maswali kwanza.
Ndio maana wapinzani walisema performance audit zifanyike kwenye manunuzi ya ndege, miradi kama SGR na Bwawa na pia mikataba yote iletwe bungeni ila CCM WOTE walipinga alafu Leo tukiibiwa eti ndio tumuone Mpina ni hero? Hivi tupo serious? Ni lini CCM iliacha ufisadi au Kuna sekta Gani Tz hakuna ufisadi?

Solution ililetwa na wazalendo kitambo tu ila Hawa kina Mpina walikua wakwanza kupinga sio tu rasimi ya warioba ila hoja ya mikataba kuletwa bungeni na CAG kukagua miradi hii.

So nashangaa nikiona mnaingizwa mkenge na wanafiki wa CCM.... Kama Mpina ni mzalendo kwanini hakusema mikataba iletwe bungeni au performance audit ijadiliwe bungeni ya tokea mradi unaanza?

Tunapenda cheap politics huku tunazidi kuibiwa!!
 
Anajikosha tu kwanza hatujasahau alikuwa kichaa kama kichaa mwenzie aliyempa kazi. Samia asikubali kumpa uwaziri huyo Sukuma gang tapeli na fisadi.
Kwa hiyo unamaanisha kwa kuwa unamuunga mkono Mr #dishlimetilt basi na wewe ni mshikishwa ukuta kama yeye?
 
Sarakasi za CCM haziishi. Unaweza ukafikiri hapa ni uzalendo kumbe mtu anatetea ugaliwe au kundile na haina uhusiano na sisi viumbe. Juzi tulimsikia Kigwa akijaribu kula sahani moja na Mkenda kumbe ule ni muendelezo wa bifu lao. Mpina hapa ni wazi ana bifu na Kipara na mama. Hata kama yanayosemwa yana ukweli lakini mfumo wao ccm ni wàkulindana hivyo sioni lolote la maana. Hii ndio faida ya bunge hili la vifaranga vya magufuli.
 
Yeah wanaturudisha nyuma sana!! Leo wakiwa serikalini wanasema A wakinyimwa uwaziri wanasema B unadhani tutawachekea mpaka lini wanavyotuchezea akili?

Kuna Mpina, Kigwangallah na Polepole. Yaani Leo ndio wamegundua kuwa ripoti ya CAG ni ya kweli? Why enzi zile CAG anasema 1.5T hazijapita mfuko mkuu wa serikali walidai eti CAG anatumika na wapinzani wa JPM ila wakiwa nje ya serikali ndio wanaamini CAG ni mkweli??

Haya wakisema upinzani ndio tutaelewa sio Hawa wanafiki wa CCM wakishapewa uwaziri watakanusha hizi Hansard!!
Na wataendelea kukuchezea akili sana wewe na wengine wenye simple mind kama za kwako, maana umechagua siasa za kushabikia watu
Badala ya siasa za hoja na sera madhubuti,
Mtu anapotoa hoja hutuangalii ni nani Bali hoja yake ina nguvu kiasi gani kwa maslahi ya taifa letu,
Watu wanageuka , wanakufa , wanabadili mawazo, ila hoja zinabaki,
Kuna watu walishabikiwa ila wakabadilika ila hoja zao zinanaki
Kuna watu waliaminiwa na kitegewa kiasi Cha kutaka kupewa uongozi wa mile lakini hawapo, Lakini hoja zao zip
Na hili tatizo naliona sana kwenye member wa upinzani na baadhi ya member wa Chama tawal
Tunahitaji kinadilika la sivyo humyajua mnachokisimia kwenye hii nchi
 
Na wataendelea kukuchezea akili sana wewe na wengine wenye simple mind kama za kwako, maana umechagua siasa za kushabikia watu
Badala ya siasa za hoja na sera madhubuti,
Mtu anapotoa hoja hutuangalii ni nani Bali hoja yake ina nguvu kiasi gani kwa maslahi ya taifa letu,
Watu wanageuka , wanakufa , wanabadili mawazo, ila hoja zinabaki,
Kuna watu walishabikiwa ila wakabadilika ila hoja zao zinanaki
Kuna watu waliaminiwa na kitegewa kiasi Cha kutaka kupewa uongozi wa mile lakini hawapo, Lakini hoja zao zip
Na hili tatizo naliona sana kwenye member wa upinzani na baadhi ya member wa Chama tawal
Tunahitaji kinadilika la sivyo humyajua mnachokisimia kwenye hii nchi
Wanawechezea nyie akili sio sisi, tunaojitambua tunajua solution ni katiba mpya Ili mikataba ipelekwe bungeni, mahakama huru, na CAG apewe ruhusa kuchunguza KILA KITU sio kama Sasa anakua restricted eti Vote 28 ni SIRI!

Ni ajabu sana mtu kama Mpina kupinga mikataba kuletwa bungeni alafu tukiibiwa tuanze kulia Lia eti tusijadili watu. Issue ya makinikia ilikua na usiri, kina Lissu na Zitto waliomba mikataba waliosaini na Barrick iletwe bungeni ila Kabudi alidai wametumwa na mabeberu. Alafu Leo hii Tumetapeliwa Trillion 450 ndio unataka tuanze wote kulia pamoja na Mpina ilihali alipokua Waziri alikaa kimya mikataba ya makinikia ikifichwa!!

Same to Issue ya JNHEPP kina Lissu wamelia sana mkataba wake uwekwe wazi na CAG afanue PERFORMANCE audit!!! CCM WOTE akiwemo Mpina walipinga hili eti tutawachelewesha na kwamba waTanzania wanataka Maji na umeme sio "makelele". Eti Leo Tumeibiwa ndio mnataka tuunge tela?? Walikua wapi kudai mkataba JPM akiwa hai? Waliona Raha kufanya Siri wakishaiba Kila kitu ndio waliokosa mgao wa Hela wanajitokeza tuwaone wazalendo.

Hivi sisi ni great thinkers kwa lipi hasa? Yaani mambo ya kisheria tunapuuza tunakuja kushabikia hotuba? Ambayo inaishia kwenye Hansard pekee? Jamani solution ni KATIBA MPYA ufisadi haujawahi kuisha CCM na hautoisha so tusifanye kama ni jambo jipya limevumbuliwa na Mpina.
 
Back
Top Bottom