Ufisadi mkubwa wa ajira pprb;jina la mataka lapelekwa bila interview

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,722
21,775
Wassalaaam alheikum wale wakristo bwana asifiwe wale wakina kimbonde
habarini za saiz ;wanandugu kuna mdau kantumia barua ya malalamiko nikaona ni vyema sie kama wadau wanusa ufisadi tuangalie kuwasaidia hawa watu wanaoojaribu ku aaply kazi na kukutana na uwendawazimu kwenye interview;ilikuwa inasema ifuatavyo

Ndugu wapendwa imenipasa kuhoji ajira hizi za serikalini kama zinatolewa kwa kujuana aama ni qualification za mtu;mimi ni mmoja nilieona ajira ya kazi ikitangazwa na wizara ya kazi na vijana wakiomba watu wa apply kwenye

uwenyekiti wa bodi,wajumbe,director wa PARASTATAL PENSION REGULATORY BOARD
Bahati nikapeleka na majibu ya lipokuja nilikuwa katika moja ya nafasi za kusubiri interview kwenye post ya director;wakati tumemaliza interview ndugu yetu mmoja akatuambia tunapoteza muda tu watu walishachaguliwa ;
mi ni mmoja wa wasioamini maneno ya mtaani; tumesubiri muda awatoi majibu ya waliopita;ikabidi sisi na baadhi ya watu walio apply tuanze kufwatilia ndipo tukakutana na hili skendo ;upande wa director lilipelekwa jina la David Mattaka ambae akuwahi kufika kwenye interview wala ku apply hiyo posn;lilipofika ikulu watu wakawahi kwa waziri mkuu na kueleza yote ndipo ikabidi watafutane
Ndugu zanguni niwaambiavyo hivi wametupigia kila mmoja wana advertise upya na anaetaka ajaribu tena ku aaply.kwa ufupi kwenye gaZeti ndugu D,mattaka aliapply sehemu ya mwenyekiti wa bodi na mjumbe;ajabu hii ya director akuapply wachilia mbali akufika kabisa kwenye interview
Swali langu je hivi mtu akishindwa kufika kwenye interview inarudiwa ama ?

wanandugu nimekosa majibu nikaona tujaribu kushare nawaungwana
 
Duh! sijui mnasindikiza Bwaha harusi?
Swali: Je yuko 'benet' na vigogo wa Network?
 
This is tantarizing!!!! What a mess? Who is David Mattaka after all????!!! His name appears in almost all the lists of shame of this country but still alive and surviving! We will one day apply the Mungiki style of mutinying people like him who are fully hated by the development liking people in our society but thriving only because he is close to the top brass of the political elite who are equally shameful like JK.

Let us stand up for our rights and make sure our resources are never squandered by people like him and his close companion, JK!!!
 
Tanzania kuna haja ya kuanzisha MUNGIKI yetu au tuazime ile ya Kenya,maana
watu wanatuhumiwa PCCB haiwapeleki mahakamani,
ikiwaandalia mashtaka DPP anaweka kapuni,
DPP akiruhusu mahakama inabana,
mahakama ikiwahukumu wanakata rufaa wanashinda kesi

MUNGIKI ndiyo suluhisho kwa watu kama hawa,wataacha tu haya mambo.
 
Wassalaaam alheikum wale wakristo bwana asifiwe wale wakina kimbonde
habarini za saiz ;wanandugu kuna mdau kantumia barua ya malalamiko nikaona ni vyema sie kama wadau wanusa ufisadi tuangalie kuwasaidia hawa watu wanaoojaribu ku aaply kazi na kukutana na uwendawazimu kwenye interview;ilikuwa inasema ifuatavyo

Ndugu wapendwa imenipasa kuhoji ajira hizi za serikalini kama zinatolewa kwa kujuana aama ni qualification za mtu;mimi ni mmoja nilieona ajira ya kazi ikitangazwa na wizara ya kazi na vijana wakiomba watu wa apply kwenye

uwenyekiti wa bodi,wajumbe,director wa PARASTATAL PENSION REGULATORY BOARD
Bahati nikapeleka na majibu ya lipokuja nilikuwa katika moja ya nafasi za kusubiri interview kwenye post ya director;wakati tumemaliza interview ndugu yetu mmoja akatuambia tunapoteza muda tu watu walishachaguliwa ;
mi ni mmoja wa wasioamini maneno ya mtaani; tumesubiri muda awatoi majibu ya waliopita;

Mpaka hapo .............tuko pamoja kabisa



ikabidi sisi na baadhi ya watu walio apply tuanze kufwatilia ndipo tukakutana na hili skendo ;upande wa director lilipelekwa jina la David Mattaka ambae akuwahi kufika kwenye interview wala ku apply hiyo posn;lilipofika ikulu watu wakawahi kwa waziri mkuu na kueleza yote ndipo ikabidi watafutane

....duuhh.......ndugu yangu.....unaweza kutueleza ulijuaje Mattaka haku-apply?


Ndugu zanguni niwaambiavyo hivi wametupigia kila mmoja wana advertise upya na anaetaka ajaribu tena ku aaply.kwa ufupi kwenye gaZeti ndugu D,mattaka aliapply sehemu ya mwenyekiti wa bodi na mjumbe;ajabu hii ya director akuapply wachilia mbali akufika kabisa kwenye interview
Swali langu je hivi mtu akishindwa kufika kwenye interview inarudiwa ama ?

wanandugu nimekosa majibu nikaona tujaribu kushare nawaungwana

Hivi Uenyekiti au Ujumbe wa Bodi una-apply?.......
 
Wassalaaam alheikum wale wakristo bwana asifiwe wale wakina kimbonde
habarini za saiz ;wanandugu kuna mdau kantumia barua ya malalamiko nikaona ni vyema sie kama wadau wanusa ufisadi tuangalie kuwasaidia hawa watu wanaoojaribu ku aaply kazi na kukutana na uwendawazimu kwenye interview;ilikuwa inasema ifuatavyo

Ndugu wapendwa imenipasa kuhoji ajira hizi za serikalini kama zinatolewa kwa kujuana aama ni qualification za mtu;mimi ni mmoja nilieona ajira ya kazi ikitangazwa na wizara ya kazi na vijana wakiomba watu wa apply kwenye

uwenyekiti wa bodi,wajumbe,director wa PARASTATAL PENSION REGULATORY BOARD
Bahati nikapeleka na majibu ya lipokuja nilikuwa katika moja ya nafasi za kusubiri interview kwenye post ya director;wakati tumemaliza interview ndugu yetu mmoja akatuambia tunapoteza muda tu watu walishachaguliwa ;
mi ni mmoja wa wasioamini maneno ya mtaani; tumesubiri muda awatoi majibu ya waliopita;ikabidi sisi na baadhi ya watu walio apply tuanze kufwatilia ndipo tukakutana na hili skendo ;upande wa director lilipelekwa jina la David Mattaka ambae akuwahi kufika kwenye interview wala ku apply hiyo posn;lilipofika ikulu watu wakawahi kwa waziri mkuu na kueleza yote ndipo ikabidi watafutane
Ndugu zanguni niwaambiavyo hivi wametupigia kila mmoja wana advertise upya na anaetaka ajaribu tena ku aaply.kwa ufupi kwenye gaZeti ndugu D,mattaka aliapply sehemu ya mwenyekiti wa bodi na mjumbe;ajabu hii ya director akuapply wachilia mbali akufika kabisa kwenye interview
Swali langu je hivi mtu akishindwa kufika kwenye interview inarudiwa ama ?

wanandugu nimekosa majibu nikaona tujaribu kushare nawaungwana

Mkuu, Nakumbuka tangazo nililiona lakini ni la Social Security Regulatory Authority (SSRA). Au kuna na la PPRB? Naomba kujuzwa hapo?
 
Nakushauri, ukate rufaa hiyo inaruhusiwa kwa taratibu za utumishi wa umma kama mpango mzima wa kuendesha interview, kuchagua waliopass interview haukufanyika kwa mujibu wa taratibu. Bwana ebu kataa rufaa kwenda utumishi ujue kulikoni
 
TUMECHOKA TUMECHOKA TUMECHOKA D. MATTAKA NI NANI? NI NANI NI NAN? MBONA KILA MAHALI WANATAKA AWEPO NA INASEMEKANA KIPIND CHA MKAPA ALIPIGWA CHIN MKUU KUWA RAIS AKAMBEBA AKAMPA ATC KABORONGA SASA HUYU MKUU CJUW TATIZO NINI, WEL ANAMIAKA MITANO TU NA ATALIJUWA JIJI NA MARAFIKI ZAKE HAKUNA RANG ATA ACHA ONA NAITAZAMIA TANZANIA MPYA AMBAPO MAFISADI WATAKUWA HAWANA CHAO PESA ZAO ZITAKUWA KAMA PAMBA MBELE YA UMA.NAMSHAUR RAIS WANGU KUWA MAKIN MAANA MIAKA MITANO AKI IPATA ASIDHAN ATAKUWA NA NGUVU KAMA ALIZO NAZO SASA, ATAKUWA AKIKOSOLEWA LIVE NA KILA MTU HATOAMIN ILA HZO NI DALIL TU ZA MVUA MAFURIKO 2015 TANZANIA MPYA NO MATTAKA NO JK NO ANY BODY CAL SIMBA. TAIFA LETU NA WENYE MAPENZ MEMA TUTATAWALA. Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabarik Watanzania. Thank u
 
Huyu si aliifilisi PPF sasa kwenye board ya kuregulate anawezaje tena?

besides kuna vijana wengi tu wanaelimu nzuri kuhusu hayo mambo si wawaajiri.
 
Wadau, mimi nafanya kazi kama HR na ninaweza kusema nimeacquire skills nyingi kwenye hii proffesion including recruitment. Mtu anaweza kuomba nafasi fulani lakini baada ya kumfanyia anlysis inaweza ikaonekana kuwa kwa nafasi aliyoomba hafiti ila nyingine (kutokana na skills, experience, educations etc) Kwa hili la Mattaka inwezaekana alionekana hafiki kwenye hiyo nafasi ya chairman but waliomuinterview wakaona he would fit much better kwenye nafasi ya udirector. hizo huwa zinatokeaga mara nyingi sana especially kama huyo candidate bado yuko fiti zaidi ukicompare na wengine walioapply nafasi hiyo ya chini.
 
Mpaka hapo .............tuko pamoja kabisa





....duuhh.......ndugu yangu.....unaweza kutueleza ulijuaje Mattaka haku-apply?

walitoa majina kwenye gazeti watakaoitwa kwenye interview gazeti la daily news;mh DM alitokea kwenye sehemu mbili watakaoitwa kwenye nafasi ya
MWENYEKITI WA BODI
MJUMBE
hiili la u director akuwepo kabisa;pamoja na hayo yote interview ilifnywa sikumoja wote tulikuwepo mh huyu akuwepo mpaka tunamaliza else alikuja special day



Hivi Uenyekiti au Ujumbe wa Bodi una-apply?.......
yap walitangaza
NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI
MJUMBE WA BODI
KATIBU
NA MKURUGENZI WA BODI
 
Back
Top Bottom