FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Wakubwa mnakumbuka hii barabara ya morogoro iliyojengwa kipindi cha mkapa'bouble road ziliishii kimara wakati zilitakiwa kufika maili moja kibaha sasa imekuwa kero kwa wakazi wa huku kila siku ni foleni'ni ufisadi mkubwa ulifanyika nasikia kampuni ilipewa tenda iliuzwa vifaa vyote na kurudi kununua vipya kutokana na faida waliyopata