Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Habari wanaJF,
Wafadhili kutoka mataifa ya Sweden na Norway wanadaiwa kusitisha ufadhili wao kwa taasisi ya Legal and Human Right Centre(LHRC) baada ya kubaini matumizi mabaya ya fedha walizokuwa wakizitoa.
Kwakweli taarifa hii imeshtua na kushangaza wengi kutokana na taswira iliyojijengea kwa jamii taasisi hiyo ambayo imekuwa ikijipambanua kwa kupigania haki za wanyonge chini ya Mkurugenzi Mama Hellen Kijo Bisimba.
Kwa msaada wa Gazeti la Uhuru.
Wafadhili kutoka mataifa ya Sweden na Norway wanadaiwa kusitisha ufadhili wao kwa taasisi ya Legal and Human Right Centre(LHRC) baada ya kubaini matumizi mabaya ya fedha walizokuwa wakizitoa.
Kwakweli taarifa hii imeshtua na kushangaza wengi kutokana na taswira iliyojijengea kwa jamii taasisi hiyo ambayo imekuwa ikijipambanua kwa kupigania haki za wanyonge chini ya Mkurugenzi Mama Hellen Kijo Bisimba.
Kwa msaada wa Gazeti la Uhuru.