Ufisadi haukuanzia awamu ya nne!

zomba

JF-Expert Member
Nov 27, 2007
17,240
3,910
Ufisadi Tanzania haukuanzia awamu ya nne, ufisadi Tanzania umeanza wakati wa mkuu Nyerere na ndio unaendelea mpaka leo.

Ikiwa ni suala la BoT, sijasikia ikikumbushwa habari ya kuchomwa moto BoT wakati wa Nyerere, jee uchunguzi gani ulifanyika? au wale wenye umri wa kujuwa hilo hawamo humu? au limefutika kwenye historia kwa kuwa ilikuwa ni wakati wa "baba wa taifa" na yeye hana dhambi? (mimi nadhani yeye ni baba wa madhambi na si baba wa taifa) baba mwema hufanya kila njia akawapatia wanawe elimu nzuri, afya bora, mazingira mazuri ya kukuwa.) Na si kutuwachia mahospitali yananuka, mashule hayana hata vyoo, mazingira mabovu ya kukuwa, mpaka leo tunatamba na mavalio ya wazungu waliyoyachoka (mitumba)na masalio yamagari waliyayachoka wa japani. Hayo ndiyo aliyetuwachia bwana nyerere!

Kama mfumo unaotuongoza ndio huo, uliyeachwa na Nyerere, cha kushangaza ni nini? Ikiwa awamu ya kwanza ilikokowa BoT mpaka ikaichoma moto na hakuna kilichojiri baada ya hapo, tunategemea nini? au tumesahau methali ya kiswahili isemayo "mtoto wa nyoka ni nyoka".

Wanaoiongoza Tanzania ya leo ni aidha wale wale waliokuwamo toka awamu ya kwanza (kina Kingunge, Sitta, JK mwenyewe) na ndio haohao walioifanya nchi hii kuwa masikini wa kutupwa na ndio hao hao wanaozidi kutushindilia katika umasikini usio na mfano.

Nilipata mgeni kutoka mashariki ya kati mnamo mwaka 1991, katika kumtembeza nikampeleka Rufiji Kwa kuanzia, njiani akaniambia maneno ambayo mpaka leo sijayasahau, kwa mshangao aliniambia "hivi nilikuwa nasikia Tanzania ni nchi masikini, lakini kwa niionavyo hii mandhari tuu, naona kuwa umasikini wenu umo vichwani mwenu na si kwenye hii ardhi". Jee, si ukweli huo?

Nani hii leo ni nani asiyejuwa kuwa Tanzania ni nchi iliyobarikiwa kwa utajiri usiyo na mfano, kuanzia bahari, mito, maziwa, ukijani (mazingira), madini na vito vya kila aina, gesi asilia, mafuta, ustaarabu, na mengine mengi ambayo nchi zingine "tajiri" nyingi tuu duniani hazina sifa zaidi ya moja katika tuliokuwa nazo sisi.

Jamani, ukiwa fisadi, huna unachovuna ila ni umasikini tu, kwani fisadi anataka apate na kulimbikiza yeye tuu kwa kudhulumu wengine wengi, baraka zitatoka wapi? Utajiri tunao lakini ni wa kuuona, kuusikia na kushuhudia wengine wakineemeka nao (si tunaona wazungu tuliowaita mabepari wakati wa nyerere wanavyorudi na kuvuna, tena kwa kuwabembeleza wenyewe, "njooni jamani, njooni muwekeze", sasa wanawekeza na kukomba kisawasawa).

Hii ni laana ya ufisadi aliyoianzisha Nyerere kwa kudhulumu mali za watu, ni laana kwa kuwapeleka watu maporini kuliwa na simba, kutafunwa na chui na kugongwa na majoka na wengine tulikuwa tunampigia makofi (kwa umasikini tulionao vichwani mwetu), ahsante babaaaa, ahsante babaaa. Sasa hii ndio malipo yake.

Hospitali mbovu, huduma za jamii mbovu, watu wanakufa hovyo kwenye mahospitali yetu na rasililimali tunazo, wenzetu mafisadi, wakijisikia uchovu kidogo tuu, wanakimbilia hospitali za Ulaya na India na South Afrika, na huku wanatangaza, "leo nyerere anakwenda wingereza kupimwa afya yake", "leo mkapa anaenda uswisi kupunguzwa mafuta mwilini", leo JK yupo marekani akipata dawa za flu", "balali baada ya kufanya balaa, yupo marekani anatibiwa".

Jamani huo wote si ufisadi? kwa nini kuanzia nyerere, mwinyi, mkapa na hawa wa sasa, wasitibiwe hapa hapa tunapo-kandamizwa sisi?

Mengi tuu, hayajaanza leo. Hayatakwisha leo.

yatatuondokea hapo tutapoikubali system, jee tunaijuwa system ni nini?
 
Ufisadi Tanzania haukuanzia awamu ya nne, ufisadi Tanzania umeanza wakati wa mkuu Nyerere na ndio unaendelea mpaka leo.

Ikiwa ni suala la BoT, sijasikia ikikumbushwa habari ya kuchomwa moto BoT wakati wa Nyerere, jee uchunguzi gani ulifanyika? au wale wenye umri wa kujuwa hilo hawamo humu? au limefutika kwenye historia kwa kuwa ilikuwa ni wakati wa "baba wa taifa" na yeye hana dhambi? (mimi nadhani yeye ni baba wa madhambi na si baba wa taifa) baba mwema hufanya kila njia akawapatia wanawe elimu nzuri, afya bora, mazingira mazuri ya kukuwa.) Na si kutuwachia mahospitali yananuka, mashule hayana hata vyoo, mazingira mabovu ya kukuwa, mpaka leo tunatamba na mavalio ya wazungu waliyoyachoka (mitumba)na masalio yamagari waliyayachoka wa japani. Hayo ndiyo aliyetuwachia bwana nyerere!


Nakubariana na wewe kwa asilimia 110%

Kuna mambo mengi Watanzania hawayajui (hatuyajui) au kwa sababu ya kuyatizama kwa juju tu au kuamini kile tunachoambiwa tuamini either na familia au marafiki amabo wao wamo kwenye hesabu za waheshimiwa (pay-roll).

Nakushukuru kwa kuwejka hii thread nadhani sina haja ya kuanzisha nyingine ila nitaweka hapa yale yote ninayo yafahamu kuhusu hii HOJA ya system.

Kama mfumo unaotuongoza ndio huo, uliyeachwa na Nyerere, cha kushangaza ni nini? Ikiwa awamu ya kwanza ilikokowa BoT mpaka ikaichoma moto na hakuna kilichojiri baada ya hapo, tunategemea nini? au tumesahau methali ya kiswahili isemayo "mtoto wa nyoka ni nyoka".

Wanaoiongoza Tanzania ya leo ni aidha wale wale waliokuwamo toka awamu ya kwanza (kina Kingunge, Sitta, JK mwenyewe) na ndio haohao walioifanya nchi hii kuwa masikini wa kutupwa na ndio hao hao wanaozidi kutushindilia katika umasikini usio na mfano.

Nilipata mgeni kutoka mashariki ya kati mnamo mwaka 1991, katika kumtembeza nikampeleka Rufiji Kwa kuanzia, njiani akaniambia maneno ambayo mpaka leo sijayasahau, kwa mshangao aliniambia "hivi nilikuwa nasikia Tanzania ni nchi masikini, lakini kwa niionavyo hii mandhari tuu, naona kuwa umasikini wenu umo vichwani mwenu na si kwenye hii ardhi". Jee, si ukweli huo?

Nani hii leo ni nani asiyejuwa kuwa Tanzania ni nchi iliyobarikiwa kwa utajiri usiyo na mfano, kuanzia bahari, mito, maziwa, ukijani (mazingira), madini na vito vya kila aina, gesi asilia, mafuta, ustaarabu, na mengine mengi ambayo nchi zingine "tajiri" nyingi tuu duniani hazina sifa zaidi ya moja katika tuliokuwa nazo sisi.

Jamani, ukiwa fisadi, huna unachovuna ila ni umasikini tu, kwani fisadi anataka apate na kulimbikiza yeye tuu kwa kudhulumu wengine wengi, baraka zitatoka wapi? Utajiri tunao lakini ni wa kuuona, kuusikia na kushuhudia wengine wakineemeka nao (si tunaona wazungu tuliowaita mabepari wakati wa nyerere wanavyorudi na kuvuna, tena kwa kuwabembeleza wenyewe, "njooni jamani, njooni muwekeze", sasa wanawekeza na kukomba kisawasawa).

Hii ni laana ya ufisadi aliyoianzisha Nyerere kwa kudhulumu mali za watu, ni laana kwa kuwapeleka watu maporini kuliwa na simba, kutafunwa na chui na kugongwa na majoka na wengine tulikuwa tunampigia makofi (kwa umasikini tulionao vichwani mwetu), ahsante babaaaa, ahsante babaaa. Sasa hii ndio malipo yake.

Hospitali mbovu, huduma za jamii mbovu, watu wanakufa hovyo kwenye mahospitali yetu na rasililimali tunazo, wenzetu mafisadi, wakijisikia uchovu kidogo tuu, wanakimbilia hospitali za Ulaya na India na South Afrika, na huku wanatangaza, "leo nyerere anakwenda wingereza kupimwa afya yake", "leo mkapa anaenda uswisi kupunguzwa mafuta mwilini", leo JK yupo marekani akipata dawa za flu", "balali baada ya kufanya balaa, yupo marekani anatibiwa".

Jamani huo wote si ufisadi? kwa nini kuanzia nyerere, mwinyi, mkapa na hawa wa sasa, wasitibiwe hapa hapa tunapo-kandamizwa sisi?

Mengi tuu, hayajaanza leo. Hayatakwisha leo.

yatatuondokea hapo tutapoikubali system, jee tunaijuwa system ni nini?

nakubariana na wewe kwa 110%
Nadhani watanzania hawayajui (hatujui) mengi either kwa kuyaangalia mambo kijuju tu au kwa kuamini vitu kwa kuambiwa na marafiki ,familia au uvivi wetu wa kufiki.

Nashukuru kwa kuweka hii thread hapa,nadhani sina haja ya kuanzisha nyingine nitaweka hapa kile nikifamu ili wengine nao wajue.
Hii hoja ya System uliyo anzisha ni kubwa sana
 
So what? kwamba ndio tuuache tu uendelee au? Unajaribu kusema nini hasa hapa?

Read btn the lines kwenye post ya kwanza nadhani/nina hakika hakua ana maanisha hilo,instead kuonesha kwamba kuna mtu/watu wengine waliweka misingi ya haya yote kuanzia;

Nyerere,Mzee Mwinyi,Mkapa (Mr.Clean) na leo Kikwete

Hii ni system imejengwa na Twiga cement ngumu mno kuvunjwa unless watu wajue na kwa nguvu ya UMMA kama KENYA tutaweza kufanikiwa
 
What is the purpose of this thread? Kila mtu anakijua unachosema,sijui unataka tuseme nini hapa? Labda your conclusion could have been better.
 
Kuna kipindi kirefu sikuweko nyumbani, na sikujua kilichoendelea (haukuweko mtandao kama huu). Naomba kuuliza: kuna uthibitisho kwaba BoT ilichomwa? Maana moto unaweza kuzuka wenyewe.
 
What is the purpose of this thread? Kila mtu anakijua unachosema,sijui unataka tuseme nini hapa? Labda your conclusion could have been better.
The purpose of this thread ni kuhakikisha kuwa hata waliokuwa hawapo awamu ya kwanza (ambao nina uhakika ni wengi tu) wajuwe kuwa ufisadi haukuanzia awamu ya nne na nchi hii, hapa ilipo, imefisadiwa systematically toka awamu ya kwanza.

Sina uhakika kama "kila mtu anakijua" nnachokisema, sidhani kama kuna wengi hapa ambao wameshakaa foleni za kungoja unga wa manjano, sukari guru, unga wa dona na hata nyembe za kunyolea, wakati wa mkuu nyerere.

Nadhani signature yako ina mchango mkubwa kwa hayo niliyokusudia.

Nataka waliyoyaona, waliyoyasikia, yaliyowakuta, wanayoyajuwa wa/tuyaweke wazi ili vijana wetu wa leo waelewe tulipotoka, tulipo na tunapokwenda. Na ndio maana sitaki ni conclude, kwani kuna wengi wanajuwa ufisadi mwingi( kuliko nijuavyo mimi) uliotendeka na hawataki kuuweka wazi, kila tunapojuwa tulipotoka na madhila yalotukumba ndio tutajuwa tuelekee wapi. Jee, unaijuwa system ni nini?
 
Wengi wetu,tulipokua tunakua tulidhani system ni maswala yote yanayohusu "usalama wa taifa".
Lakini hii ni opposite system ni wale wanao lindwa na kupata mianya ya kuliibia taifa na kilindwa na hao usalama wa taifa.
Jamaa (askari) hawa kwa kufahamu ama bila ya kufamu wamejikuta wakifanya mambo ambayo ni kuwarahisishia watu wale walioko kwenye hii SYSTEM kufanya mabo yao kirahisi zaidi.Baadhi yao hao Jamaa (askari ) baada y a kufahumu kwamba wamekua wakitumiwa na wao katika njia moja ama nyingine wameingizwa au kuingia automatical kwenye system either kwa kuhongwa magari na mishahara minene na hata kupewa watakacho ili waendelee kutumika kuendeleza michezo michafu kwa kila atakae enda kinyume na matakwa au kijaribu kuhatarisha maslai ya WALINDWAO.

Na hii imewaingia wengi ya hao jamaa kiasi kwamba ni wengi wanapigana vikumbo kuingia kwenye hii SYSTEM kuna wana siasa watumishi wa umma wenye vyeo vya juu na hata watoto na wana famila ya hoa wenye dhamana na nchi hii
 
Kuna kipindi kirefu sikuweko nyumbani, na sikujua kilichoendelea (haukuweko mtandao kama huu). Naomba kuuliza: kuna uthibitisho kwaba BoT ilichomwa? Maana moto unaweza kuzuka wenyewe.
Kama kuna uthibitisho kuwa moto ulizuka wenyewe BoT basi hakutokuwa na uthibitisho kwamba BoT ilichomwa moto na kama hakuna uthibitisho kwamba moto ulizuka wenyewe, jee, inakuwaje?
 
Wengi wetu,tulipokua tunakua tulidhani system ni maswala yote yanayohusu "usalama wa taifa".
Lakini hii ni opposite system ni wale wanao lindwa na kupata mianya ya kuliibia taifa na kilindwa na hao usalama wa taifa.
Jamaa (askari) hawa kwa kufahamu ama bila ya kufamu wamejikuta wakifanya mambo ambayo ni kuwarahisishia watu wale walioko kwenye hii SYSTEM kufanya mabo yao kirahisi zaidi.Baadhi yao hao Jamaa (askari ) baada y a kufahumu kwamba wamekua wakitumiwa na wao katika njia moja ama nyingine wameingizwa au kuingia automatical kwenye system either kwa kuhongwa magari na mishahara minene na hata kupewa watakacho ili waendelee kutumika kuendeleza michezo michafu kwa kila atakae enda kinyume na matakwa au kijaribu kuhatarisha maslai ya WALINDWAO.

Na hii imewaingia wengi ya hao jamaa kiasi kwamba ni wengi wanapigana vikumbo kuingia kwenye hii SYSTEM kuna wana siasa watumishi wa umma wenye vyeo vya juu na hata watoto na wana famila ya hoa wenye dhamana na nchi hii
Ahsante, na ndio maana jimama juzi lilijitetea kwa kusema balali alimdanganya kuwa mipesa inatakiwa na sys...
 
Wakati wa Nyerere hatukuona mabilionea walioiba toka nyadhifa zao kuwa na bank account na nyumba nchi za nje na wengi hali zao kimaisha zilikuwa hazitofautiani sana na Watanzania walio wengi. Jamani msitake kupotosha ukweli wa mambo!
 
WEakati wa Nyerere hatukuona mabilionea walioiba toka nyadhifa zao kuwa na bank account na nyumba nchi za nje na wengi hali zao kimaisha zilikuwa hazitofautiani sana na Watanzania walio wengi. Jamani msitake kupotosha ukweli wa mambo!
Wakati wa nyerere ungeyaonea wapi? hatukuwa hata na TV, redio ndio hiyo RTD, magazeti ya chama tuu. Ungeyaonea wapi na system ilikuwa bize kweli kweli kuhakikisha hatujuwi kinachoendelea duniani, au hayo huyajuwi? besides, hao wanao-ongoza sasa hawakuwepo wakati wa nyerere?
 
The purpose of this thread ni kuhakikisha kuwa hata waliokuwa hawapo awamu ya kwanza (ambao nina uhakika ni wengi tu) wajuwe kuwa ufisadi haukuanzia awamu ya nne na nchi hii, hapa ilipo, imefisadiwa systematically toka awamu ya kwanza.

Sina uhakika kama "kila mtu anakijua" nnachokisema, sidhani kama kuna wengi hapa ambao wameshakaa foleni za kungoja unga wa manjano, sukari guru, unga wa dona na hata nyembe za kunyolea, wakati wa mkuu nyerere.

Nadhani signature yako ina mchango mkubwa kwa hayo niliyokusudia.

Nataka waliyoyaona, waliyoyasikia, yaliyowakuta, wanayoyajuwa wa/tuyaweke wazi ili vijana wetu wa leo waelewe tulipotoka, tulipo na tunapokwenda. Na ndio maana sitaki ni conclude, kwani kuna wengi wanajuwa ufisadi mwingi( kuliko nijuavyo mimi) uliotendeka na hawataki kuuweka wazi, kila tunapojuwa tulipotoka na madhila yalotukumba ndio tutajuwa tuelekee wapi. Jee, unaijuwa system ni nini?

Mi naona ume concentrate zaidi kwenye enzi za Mwalimu na madhambi yake na kama sikosei kuna thread iliwahi kuweka hapa kuhusu hili na yote hayo ya unga wa njano na foleni za maduka ya ushirika na RTC viliongelewa- labda huko ndio pangekuwa mahali pake.
 
Mi naona ume concentrate zaidi kwenye enzi za Mwalimu na madhambi yake na kama sikosei kuna thread iliwahi kuweka hapa kuhusu hili na yote hayo ya unga wa njano na foleni za maduka ya ushirika na RTC viliongelewa- labda huko ndio pangekuwa mahali pake.
Ufisadi unaendelea mpaka tuijuwe system ni nini!
 
Ahsante, na ndio maana jimama juzi lilijitetea kwa kusema balali alimdanganya kuwa mipesa inatakiwa na sys...

BRAVO!

Good thinking...!

Ss utaona kwamba hao jamaa/hata wengine ambao sio hao jamaa wamepata hizo pesa kwa dhan a ya USALAMA WA TAIFA

Na nyingi kati ya hizo (trilions) zimeingia kwenye uchaguzi,hayo ma-VOGUE na maisha kama watu wapo peponi ni kiasi kidogo tu cha kilicho chukuliwa
 
Read btn the lines kwenye post ya kwanza nadhani/nina hakika hakua ana maanisha hilo,instead kuonesha kwamba kuna mtu/watu wengine waliweka misingi ya haya yote kuanzia;

Nyerere,Mzee Mwinyi,Mkapa (Mr.Clean) na leo Kikwete

Hii ni system imejengwa na Twiga cement ngumu mno kuvunjwa unless watu wajue na kwa nguvu ya UMMA kama KENYA tutaweza kufanikiwa

I total disagree na wewe especial concern Mwalim. Baba wa Taifa was a clean man, however people who sorrounded him were so greed, but didnt show until he left the office.

Kenya didn't accomplish anything more than 600 people death. Odinga is not clean, the system is not brocken then what accomplishment are you tries to convince us. People can change without violance and stand against the regime.

When people decide what they want, no one can stop and this have nothing to do with violance. mkipigana few people will benefit, more over women and children will suffer big time, while few ride in their VX with full security.

Any system that builded by human being can be broken, it always need courage, passion and enthusiastic among citizens. We will get their, it maight take longer but we will get their.
 
I total disagree na wewe especial concern Mwalim. Baba wa Taifa was a clean man, however people who sorrounded him were so greed, but didnt show until he left the office.

Kenya didn't accomplish anything more than 600 people death. Odinga is not clean, the system is not brocken then what accomplishment are you tries to convince us. People can change without violance and stand against the regime.

When people decide what they want, no one can stop and this have nothing to do with violance. mkipigana few people will benefit, more over women and children will suffer big time, while few ride in their VX with full security.

Any system that builded by human being can be broken, it always need courage, passion and enthusiastic among citizens. We will get their, it maight take longer but we will get their.

Sewezi kukukatalia,hayo ni mawazo yako!

Jambo mmoja lilo takiwa watanzania kuwa nalo ili kuficha uwozo wa viongozi wetu,tukapaswa watanzania kutopewa ELIMU na kama huna elimu lazima utakua MVIVU WA KUFIKIRI na hilo ndio tatizo letu kubwa.
Hatuwezi/huwezi ku-question mawazo yako kwamba "what if it is true" kwa yale niyasemayo mm kama Sanda?(sio lazima kua kweli)
Ukifika hapa hata huyu MR.Clean umsemaye unaweza kumchunguza na kugundua HE was Unclean!

Na matendo yake yeye kama kiongozi ndio yaejenga misingi ya huu UFISADI.
 
Ufisadi Tanzania haukuanzia awamu ya nne, ufisadi Tanzania umeanza wakati wa mkuu Nyerere na ndio unaendelea mpaka leo.

Ikiwa ni suala la BoT, sijasikia ikikumbushwa habari ya kuchomwa moto BoT wakati wa Nyerere, jee uchunguzi gani ulifanyika? au wale wenye umri wa kujuwa hilo hawamo humu? au limefutika kwenye historia kwa kuwa ilikuwa ni wakati wa "baba wa taifa" na yeye hana dhambi? (mimi nadhani yeye ni baba wa madhambi na si baba wa taifa) baba mwema hufanya kila njia akawapatia wanawe elimu nzuri, afya bora, mazingira mazuri ya kukuwa.) Na si kutuwachia mahospitali yananuka, mashule hayana hata vyoo, mazingira mabovu ya kukuwa, mpaka leo tunatamba na mavalio ya wazungu waliyoyachoka (mitumba)na masalio yamagari waliyayachoka wa japani. Hayo ndiyo aliyetuwachia bwana nyerere!

Kama mfumo unaotuongoza ndio huo, uliyeachwa na Nyerere, cha kushangaza ni nini? Ikiwa awamu ya kwanza ilikokowa BoT mpaka ikaichoma moto na hakuna kilichojiri baada ya hapo, tunategemea nini? au tumesahau methali ya kiswahili isemayo "mtoto wa nyoka ni nyoka".

Wanaoiongoza Tanzania ya leo ni aidha wale wale waliokuwamo toka awamu ya kwanza (kina Kingunge, Sitta, JK mwenyewe) na ndio haohao walioifanya nchi hii kuwa masikini wa kutupwa na ndio hao hao wanaozidi kutushindilia katika umasikini usio na mfano.

Nilipata mgeni kutoka mashariki ya kati mnamo mwaka 1991, katika kumtembeza nikampeleka Rufiji Kwa kuanzia, njiani akaniambia maneno ambayo mpaka leo sijayasahau, kwa mshangao aliniambia "hivi nilikuwa nasikia Tanzania ni nchi masikini, lakini kwa niionavyo hii mandhari tuu, naona kuwa umasikini wenu umo vichwani mwenu na si kwenye hii ardhi". Jee, si ukweli huo?

Nani hii leo ni nani asiyejuwa kuwa Tanzania ni nchi iliyobarikiwa kwa utajiri usiyo na mfano, kuanzia bahari, mito, maziwa, ukijani (mazingira), madini na vito vya kila aina, gesi asilia, mafuta, ustaarabu, na mengine mengi ambayo nchi zingine "tajiri" nyingi tuu duniani hazina sifa zaidi ya moja katika tuliokuwa nazo sisi.

Jamani, ukiwa fisadi, huna unachovuna ila ni umasikini tu, kwani fisadi anataka apate na kulimbikiza yeye tuu kwa kudhulumu wengine wengi, baraka zitatoka wapi? Utajiri tunao lakini ni wa kuuona, kuusikia na kushuhudia wengine wakineemeka nao (si tunaona wazungu tuliowaita mabepari wakati wa nyerere wanavyorudi na kuvuna, tena kwa kuwabembeleza wenyewe, "njooni jamani, njooni muwekeze", sasa wanawekeza na kukomba kisawasawa).

Hii ni laana ya ufisadi aliyoianzisha Nyerere kwa kudhulumu mali za watu, ni laana kwa kuwapeleka watu maporini kuliwa na simba, kutafunwa na chui na kugongwa na majoka na wengine tulikuwa tunampigia makofi (kwa umasikini tulionao vichwani mwetu), ahsante babaaaa, ahsante babaaa. Sasa hii ndio malipo yake.

Hospitali mbovu, huduma za jamii mbovu, watu wanakufa hovyo kwenye mahospitali yetu na rasililimali tunazo, wenzetu mafisadi, wakijisikia uchovu kidogo tuu, wanakimbilia hospitali za Ulaya na India na South Afrika, na huku wanatangaza, "leo nyerere anakwenda wingereza kupimwa afya yake", "leo mkapa anaenda uswisi kupunguzwa mafuta mwilini", leo JK yupo marekani akipata dawa za flu", "balali baada ya kufanya balaa, yupo marekani anatibiwa".

Jamani huo wote si ufisadi? kwa nini kuanzia nyerere, mwinyi, mkapa na hawa wa sasa, wasitibiwe hapa hapa tunapo-kandamizwa sisi?

Mengi tuu, hayajaanza leo. Hayatakwisha leo.

yatatuondokea hapo tutapoikubali system, jee tunaijuwa system ni nini?

Apologists kama wewe ndio wanakwamisha maendeleo ya leo. Yaani kwa sababu wamarekani waliua president wao miaka 40 iliyopita basi ni sababu tosha ya kutoshangaa mtu mwingine akiua prez wa marekani leo.

Mambo ya kutumia historia ya nyuma kujustfy ya leo ni uzembe wa kufikiri na visingizio anavyotumia Lowasa every day! Ufisadi haukuanza leo, yeah kila mtu anajua hili. Ufisadi pia haukuanza awamu ya kwanza, kabla ya uhuru kulikuwa na wakoloni na wao ndio walifanya ufisadi wa hali ya juu. What say you about that!
 
Back
Top Bottom