The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 583
Wakuu,
Hizi taarifa za kuwa kuna ufisadi wa kutisha katika mradi wa bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda Kinyerezi Dsm ni za kweli ?
Na ni kwanini sasa wenye data kamili wasiziweke hapa ili mpaka Januari 27 Bunge likianza tena tushuhudie uwajibikaji wa watuhumiwa ?
Hizi taarifa za kuwa kuna ufisadi wa kutisha katika mradi wa bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda Kinyerezi Dsm ni za kweli ?
Na ni kwanini sasa wenye data kamili wasiziweke hapa ili mpaka Januari 27 Bunge likianza tena tushuhudie uwajibikaji wa watuhumiwa ?