Ufaransa yaahidi kushirikiana na Magufuli

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Naam mambo bambam
Screenshot_20190714-131112.jpeg
 
Kunawatu hawapendi kusikia haya. Nasubiri wasome afu watukane.. mara oo wafaransa sio watu azuri.. n.k.
 
Mmmh hakuna watu wajinga zaidi ya Wadanganyika,.. Ufaransa haikuahidi kushirikiana na Magufuli kama Raisi wa Tanzania bali kama Mwenyekiti wa Sadc..
 
Hivi magufuli amwkuwa lini mwenyekiti wa jumuhia ya maendeleo kusini mwa africa. Alfu ndyo naiskia leo
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom