Mwanagenzi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2006
- 697
- 212
Pamoja na kujadili wajumbe wa ziara walivyovaa, muhimu zaidi tujue nini kilichojadiliwa na kukubaliwa. Isije kuwa masuala ya ulinzi wa bahari yetu wakapewa Wafaransa kwa hoja kuwa wanatusaidia kulinda uchumi wa buluu. Manowari za Wafaransa zikiruhusiwa kuja kuweka kambi huku kwetu basi itakuwa ngumu sana kuwadhibiti iwapo wataamua kutuhujumu. Ni angalizo tu....