mchakamchaka
Member
- Feb 25, 2010
- 6
- 2
Leo rais Sarkozy wa France yupo mjini Kigali, Rwanda...ila ni miaka michache tu iliyopita nchi hizi mbili zilivunja mahusiano yao ya kibalozi mpaka rais Kagame akasitisha matumizi ya lugha ya kifaransa kama lugha ya kufundishia Shuleni na vyuoni, na kama hiyo haitoshi pia akaanzisha mchakato wa kujiunga na jumuia ya madola,
Ila leo hii rais wa ufaransa anaenda Kigali, cha kujiuliza ni ufaransa inatafuta nini Rwanda, na je nchi zingine za afrika zinajifunza nini na msimamo huu wa Rwanda kuhusu nchi za dunia ya kwanza?
kwangu namkubali sana Kagame kwa misimamo yake isiyotetereka hasa anaposimamia ukweli......
Ila leo hii rais wa ufaransa anaenda Kigali, cha kujiuliza ni ufaransa inatafuta nini Rwanda, na je nchi zingine za afrika zinajifunza nini na msimamo huu wa Rwanda kuhusu nchi za dunia ya kwanza?
kwangu namkubali sana Kagame kwa misimamo yake isiyotetereka hasa anaposimamia ukweli......