Kila Jambo na wakati wake, wakati unakuwa haujafika. Mafanikio huja taratibu baada ya kuanguka na kuinuka mara kadhaa ndio maana ya usikate tamaa. Kila unalolifanya hata kama hujafanikiwa ni hatua kuelekea kwenye mafanikio kwani utakuwa umejifunza kitu na unaporudia tena kinakuwa Bora zaidi na zaidi hatimae utafanikiwa.
Mfano mdogo mtoto anapojifunza kutembea huanguka mara Kwa mara lakini hatima anaweza na kuwa mkimbiaji hodari. Kitu cha kujiuliza je angekata tamaa baada ya kuanguka mara kadhaa na aseme siwezi tena kutembea ingekuwa?. Tusikate tamaa mafanikio ni mchakato tusiishie njiani Hadi pumzi itakapoishia.
Mfano mdogo mtoto anapojifunza kutembea huanguka mara Kwa mara lakini hatima anaweza na kuwa mkimbiaji hodari. Kitu cha kujiuliza je angekata tamaa baada ya kuanguka mara kadhaa na aseme siwezi tena kutembea ingekuwa?. Tusikate tamaa mafanikio ni mchakato tusiishie njiani Hadi pumzi itakapoishia.