Black fire
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 755
- 1,309
Habar zenu wakuu.
Katika pita pita zangu mtaani nmegundua wafanya biashara wengi wanatumia ''mzizi'' katika kuendesha biashara zao. Kitu ambacho kimenishangaza sana ni kuona hata wale wanaojinasibu watu wa dini wanatumia ''mzizi'' na wengine wana waganga wao kabsa.
Wengne huenda kwa waganga kulinda biashara zao ili zsipigwe uchawi na wengi wao hutafuta waganga wawasaidie kuleta mvuto wa biashara zao.
Huu utafiti wangu usio rasmi umehusisha wengi wanaofanya biashara wakiwa eneo moja (sio wale wanaofanya biashara za mitandaoni)
Wao hudai wana ''boost'' biashara zao vngnevyo hudai znaweza kufifia na kufa kabsa. Na wengine hukosa wateja ndo maana wanakimbilia kutafuta madawa ya biashara.
Km unafanya biashara tupe uzoefu wako unategemea nn? Unamtegemea Mungu au miungu? Hutumii dawa za ku'busti' biashara?
Wengi hujificha kwny kivuli cha dini lakn ukweli wanaujua wanavyofanya biashara. Je huwez kufanya biashara bila madawa? Huwez kufanya biashara kwa imani na ukamtegemea Mungu?
Km sio mfanya biashara, tuelezee kuhusu jamaa na ndg zako wanavyofanya biashara.
Note: Mm sio mfanya biashara ila nina marafk zangu wafanyabiashara.
Karibu kwa michango wadau
Katika pita pita zangu mtaani nmegundua wafanya biashara wengi wanatumia ''mzizi'' katika kuendesha biashara zao. Kitu ambacho kimenishangaza sana ni kuona hata wale wanaojinasibu watu wa dini wanatumia ''mzizi'' na wengine wana waganga wao kabsa.
Wengne huenda kwa waganga kulinda biashara zao ili zsipigwe uchawi na wengi wao hutafuta waganga wawasaidie kuleta mvuto wa biashara zao.
Huu utafiti wangu usio rasmi umehusisha wengi wanaofanya biashara wakiwa eneo moja (sio wale wanaofanya biashara za mitandaoni)
Wao hudai wana ''boost'' biashara zao vngnevyo hudai znaweza kufifia na kufa kabsa. Na wengine hukosa wateja ndo maana wanakimbilia kutafuta madawa ya biashara.
Km unafanya biashara tupe uzoefu wako unategemea nn? Unamtegemea Mungu au miungu? Hutumii dawa za ku'busti' biashara?
Wengi hujificha kwny kivuli cha dini lakn ukweli wanaujua wanavyofanya biashara. Je huwez kufanya biashara bila madawa? Huwez kufanya biashara kwa imani na ukamtegemea Mungu?
Km sio mfanya biashara, tuelezee kuhusu jamaa na ndg zako wanavyofanya biashara.
Note: Mm sio mfanya biashara ila nina marafk zangu wafanyabiashara.
Karibu kwa michango wadau