Hadi sasa ni miezi kadhaa imepita toka semester ya masomo ya 2013/2014. Cha kusikitisha ni kuwa wanafunzi wa postgraduate (uzamili na uzamivu) katika chuo kikuu kimojawapo hapa Dodoma hatulipwa fedha ya kujikumu na utafiti. Tunaomba ufafanuzi hali hii inasababishwa na nini? Wahusika wajibikeni