Habari wanajamvi?
Kama kichwa cha nyuzi kinavyojieleza hapo,
Hawa watu wawili yaani S.Jecha na J.Mtatiro Licha ya utofauti wa kibiolojia ya Ubinadamu wao na kazi zao wanazozifanya, Hawa wawili wana ufanano unaokaribiana sana
Ndio kusema kihurka, hawa watu wawili unaweza sema ni watoto wa baba na mama mmoja.
Zifuatazo ni baadhi tu ya sifa zinazoweza kukufanya ushindwe kuwatofautisha
1.wote wananyota ya punda,
Huishi kwa kutumwa, na kuramba viatu vya mwenye punda,
2.Hawaoni aibu kupindisha ukweli,furaha yao ni pale yule anayewatumia anapofurahi.
3.hawajui nini wanachokitaka kwenye maisha yao
Kama kichwa cha nyuzi kinavyojieleza hapo,
Hawa watu wawili yaani S.Jecha na J.Mtatiro Licha ya utofauti wa kibiolojia ya Ubinadamu wao na kazi zao wanazozifanya, Hawa wawili wana ufanano unaokaribiana sana
Ndio kusema kihurka, hawa watu wawili unaweza sema ni watoto wa baba na mama mmoja.
Zifuatazo ni baadhi tu ya sifa zinazoweza kukufanya ushindwe kuwatofautisha
1.wote wananyota ya punda,
Huishi kwa kutumwa, na kuramba viatu vya mwenye punda,
2.Hawaoni aibu kupindisha ukweli,furaha yao ni pale yule anayewatumia anapofurahi.
3.hawajui nini wanachokitaka kwenye maisha yao