Jamani wanajf wenzangu,mimi ni mmojawapo kati ya watanzania walio wengi ambao ninaamini kuwa hatuna ufahamu juu ya masuala ya hisa. Sasa jamani naombeni mnisaidie haya machache nisiyoyafahamu, 1.Hisa ni nini? 2.Mtu anaponunua hisa anafaidika vipi na hilo? 3.Nikitaka kujua taarifa za masoko ya hisa nifanye nini?