Ufahamu Uwanja mpya wa ndege wa Uturuki utakaohudumia watu milioni 200 kwa mwaka

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,442
3,353
Kiwanja cha Ndege cha Istanbul kinachojengwa kwa awamu nne na kutarajiwa kumalizika mwaka 2025, kitakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria milioni 200 kwa mwaka

Awamu ya kwanza ya ujenzi inayojumisha njia 3 za kuruka na kutua ndege imekamilika na sasa abiria milioni 90 wanahudumiwa katika uwanja huo kwa mwaka

194453.jpg


Katika uwanja huu kuna maduka yatakayochukua eneo la ukubwa Mita za Mraba 55,000. Kutakuwa na eneo la Bustani ya kuvutia na Ufukwe

Shop.jpg


Mnara wa kuongozea Ndege umesanifiwa kipekee, umeundwa kama 'Tulip', maua maarufu sana katika utamaduni wa Kituruki. Mnara huu utaonekana na kila abira anayewasili katika kiwanja hicho

Tower.jpg

=====

Recently, Turkey opened the new Istanbul airport, which is dubbed to be the biggest airport in the world. Once all the phases are complete, the total area of the airport will be 18,780 acres. According to the reports, the first phase of the airport has been opened to the public and includes three runways and 15 million square feet of terminal space.

The first phase can accommodate up to 90 million passengers a year, but this is only the beginning. The new airport has four phases, which are scheduled to be completed by 2025, and will bump up the airport's capacity to over 200 million passengers a year, making it the biggest airport in terms of passenger traffic. Before this, Atlanta's Hartsfield-Jackson Airport was the busiest airport in the world as it could handle up to 107 million passengers a year.

The opening of the new airport, which sits at a distance of about 35 kilometers from the city center, comes at very good time, as the Istanbul Ataturk Airport ceased operations on April 6, 2019. Until its closing, the Ataturk Airport was considered as one of the busiest airports in the world as it used to handle about 70 million passengers a year. All commercial flights have now been directed to this new airport, which is now officially open for business. However, it should be noted that Ataturk Airport was only two decades old and it became one of the busiest airports in very little time. This can be owed to Turkey's growing position as a global aviation hub, which has come to be due to the increasing popularity of the national flag carrier Turkish Airlines, according to reports.

With that being said, the biggest airport in the world also has some big features that you should make a note of if you ever find yourself there.

The Istanbul New Airport will have Duty-Free shops spread over 55,000 square meters and its architecture is inspired by the Bosphorus strait, a well-known waterway in Turkey. It is set to have seven different sections which will have their own concepts like Fashion Garden, Family Palace and Style Beach. Brands will be put up in the sections that are connected to the products they sell.
 
Kuna wakati unajiuliza wote tuna yaleyale masaa 24 Kwa siku? Tuna kichwa kimoja, moyo mmoja, miguu miwili, mikono miwili, n.k kama Hawa wenzetu?
Ndio ujiulize hapa ukinunua ndege wanasema hazina kazi wakati angalau rais wetu na waTanzania wanazitumia kwende mikoani na nnje ya nchi.
Hatuoni tena manfege ya kukodi.
 
Kiwanja cha Ndege cha Istanbul kinachojengwa kwa awamu nne na kutarajiwa kumalizika mwaka 2025, kitakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria milioni 200 kwa mwaka

Awamu ya kwanza ya ujenzi inayojumisha njia 3 za kuruka na kutua ndege imekamilika na sasa abiria milioni 90 wanahudumiwa katika uwanja huo kwa mwaka

View attachment 2253154

Katika uwanja huu kuna maduka yatakayochukua eneo la ukubwa Mita za Mraba 55,000. Kutakuwa na eneo la Bustani ya kuvutia na Ufukwe

View attachment 2253155

Mnara wa kuongozea Ndege umesanifiwa kipekee, umeundwa kama 'Tulip', maua maarufu sana katika utamaduni wa Kituruki. Mnara huu utaonekana na kila abira anayewasili katika kiwanja hicho

View attachment 2253156
=====

Recently, Turkey opened the new Istanbul airport, which is dubbed to be the biggest airport in the world. Once all the phases are complete, the total area of the airport will be 18,780 acres. According to the reports, the first phase of the airport has been opened to the public and includes three runways and 15 million square feet of terminal space.

The first phase can accommodate up to 90 million passengers a year, but this is only the beginning. The new airport has four phases, which are scheduled to be completed by 2025, and will bump up the airport's capacity to over 200 million passengers a year, making it the biggest airport in terms of passenger traffic. Before this, Atlanta's Hartsfield-Jackson Airport was the busiest airport in the world as it could handle up to 107 million passengers a year.

The opening of the new airport, which sits at a distance of about 35 kilometers from the city center, comes at very good time, as the Istanbul Ataturk Airport ceased operations on April 6, 2019. Until its closing, the Ataturk Airport was considered as one of the busiest airports in the world as it used to handle about 70 million passengers a year. All commercial flights have now been directed to this new airport, which is now officially open for business. However, it should be noted that Ataturk Airport was only two decades old and it became one of the busiest airports in very little time. This can be owed to Turkey's growing position as a global aviation hub, which has come to be due to the increasing popularity of the national flag carrier Turkish Airlines, according to reports.

With that being said, the biggest airport in the world also has some big features that you should make a note of if you ever find yourself there.

The Istanbul New Airport will have Duty-Free shops spread over 55,000 square meters and its architecture is inspired by the Bosphorus strait, a well-known waterway in Turkey. It is set to have seven different sections which will have their own concepts like Fashion Garden, Family Palace and Style Beach. Brands will be put up in the sections that are connected to the products they sell.
Mnara una umbo la nyoka wala sio ua
 
Kuna wakati unajiuliza wote tuna yaleyale masaa 24 Kwa siku? Tuna kichwa kimoja, moyo mmoja, miguu miwili, mikono miwili, n.k kama Hawa wenzetu?
Rank yourself, if it were you could you have done more than this?
 
Back
Top Bottom