Ufahamu ugonjwa wa The Black Death ulioua watu wengi zaidi kwenye historia ya dunia

Yesu Kristo ndio dawa
Tujiandae atupokee kwa Baba yake mbinguni
Wakristo wenzako wakati wa huu ugonjwa walijifungia makanisani na kukesha wakisali, na matokeo yake walikufa kama kuku wenye videli.

Wayahudi waliosemwa wanalaana, hawakufa sana, sababu walikuwa wametengwa.

Ujinga ulitamalaki. Historia ya matibabu inaonyesha mwanadamu alifanikiwa kupambana na magonjwa, pale alipotazama natural cause-mwili wenyewe, na sio kutafuta chanzo in relation na hizo imani za kidini au kichawi. Mungu alipomuumba mwanadamu alimpa akili ili aweze kupambana na mazingira yake, sio kukesha akilia na kuomba.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Wakristo wenzako wakati wa huu ugonjwa walijifungia makanisani na kukesha wakisali, na matokeo yake walikufa kama kuku wenye videli.

Wayahudi waliosemwa wanalaana, hawakufa sana, sababu walikuwa wametengwa.

Ujinga ulitamalaki. Historia ya matibabu inaonyesha mwanadamu alifanikiwa kupambana na magonjwa, pale alipotazama natural cause-mwili wenyewe, na sio kutafuta chanzo in relation na hizo imani za kidini au kichawi. Mungu alipomuumba mwanadamu alimpa akili ili aweze kupambana na mazingira yake, sio kukesha akilia na kuomba.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Wewe ni wa kukusamehe bure

Na natangaza nimekusamehe bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom