Ufahamu na mashaka juu ya kusafiri kwenye muda yaani Time Travelling

Tazama, akili yako 'inatengeneza tafsiri'...

Lakini, hakuna shida.

Bado hauna 'mazoezi' ya kutosha kufuatilia mashauri ya nje ya mazoea yako ya kawaida.

Ikiwa kwa mfano, kwako inatosha kutazama 'usiku' na 'mchana' ukasema basi 'ndiyo kuna wakati' bado hauna msingi kung'amua kiini cha muwezesho wa 'Kusafiri kiwakati' ni nini hasa... Na halafu, hauwezi kunielewa kabisa Je, mimi kama mtu napambanua mambo gani(?). Kwa akili na upeo wako utaliniona miye ni mtu nisiye kaakaa sawa kimantiki...

Halafu, wewe unataka nini -- ubishi labda? Unataka kuchungua mambo kweli ama kuhukumu?

Ni vema utambue usiharakishe kuhukumu jambo usilolijua vema, maana unaweza kuwa unajihukumu wewe mwenyewe...

Hmmm
Jibu swali nililo kuuliza.
 
Jibu swali nililo kuuliza.

Jurjani,

ni vema utambue kwamba, kwangu mimi kama mtu, kuitikia tundiko kwenye hili Jukwa la Jamii ni utashi na mapenzi yangu binafsi na labda kwa namna ya kipekee.

Ninaitika kadri nionavyokufaa; kutumia hili kama fursa -- si tu kuzungumza na wewe kama mtu, ila hasa na wengine wengi ninaowadhamiria.

Si kila mtu anaweza kunufaika na michango yangu... Uwezekano ni mkubwa mno wa wasiokusudiwa kuweza kuleta rabsha zisizokusudiwa wala kuhitajika. Ikiwa kwa mfano, ninaendelea kuitika kwa kurejea kwako, basi ujue ninaitumia hii kama fursa kuyatekeleza mapenzi yangu...

Sasa, tazama, kuuliza kwako hivi : "Kaka naomba unipe maana ya "Muda/Wakati" na uniambie ili muda uitwe muda unatakiwa ukidhi vigezo gani ?"

Tundiko lako limeitikiwa na mawaidha haya :

"Hakuna namna moja kumaizi 'wakati' ni kitu gani hasa ama 'si hasa'...

Unabayanisha wakati kulingana na vipawa vya akili yako.

Akili yako ina sehemmu yenye uwezo kupitiliza 'kawaida' ukiwa na mafunzo ama mbinu.

Humu kwa mfano, watu wanazugumza kuhusu 'Kusafiri Kiwakati' lakini wanakwenda mbali kuliko lazima. 'Unnje-Ndani' wa akili zetu tayari ni chombo cha 'kusafiri kiwakati'. Hauhitaji kuingia kwenye 'mtambo' ili 'usafiri'. Matumizi ya vyombo ili 'kusafiri 'kiwakati' nalo ni uwezekano; japo ni namna ya 'kutobozea' zaidi na si hasa 'kusafiri'. Maarifa ya Uhandisi na Tekinolojia hizi za 'Kutobozea' zipo hata sasa duniani lakini ni mliki ya mashirika machache makubwa duniani kama labda kampuni za Boeing na Lockheed Martin katika utaratibu wa kazi za utafiti wa kiuhandisi unaofahamika kama 'Boeing Phantom Works' na 'Skunk Works'...

Lakini ikiwa mapenzi yako ni kujinasibu na hayo yote mawili basi anza na wewe mwenyewe; jitafute... Mengine kama 'tekinolojia' na 'uhandisi' vinaweza kujakufahamika na maarifa yake kuweza kubayanishwa ikiwa wewe ni mtu wa 'kujisoma mwenyewe'... Kwa kuwa ukiwa wewe ni 'msafiri wa kiroho' unajinasibu kuanza kumaizi namna gani 'maada', 'unafasishi', 'wakati' na 'nishati' ni 'pumzi' na 'nuru' ya kitu kimoja...


Vinjari haya.

... "


Humo kwenye mawaidha kuna mengi tu, ambayo yalikuwa yanaweza kufungua milango na madirisha kwa visomo na maarifa... UMEFUMBIA MACHO, na kuwa mwepesi kujibu: "Kama hali ni hiyo kwanini kuna usiku,kuna mchana kuna asubuhi, kuna jana kuna kesho ? Kuna idadi ya miezi kumi na mbili na mfano wake ? Pili, jifunze kuandika hoja kwa mpangilio na usiweke maneno yasiyo kuwa na msingi."

Hili liko wazi machoni... Umekosa Moyo wa Shukrani -- Kukosa moyo wa shukrani kunaondoa nasibu ya kukirimika maarifa, upeo na uwezo kutoka kwa mwingine yeyote mwenye nasibu halisi ya hayo. Unakosa nasibu ya kuweza kupokea jema.

Na hili ni la msingi kutambua -- adabu njema/sahihi, nidhamu na heshima ni tunu za kuja kuwezesha matunda mema kwa mtu anayetafuta sifa za utu bora. Kinyume na hili ni silika ya uhuni na ukosefu wa maadili mema...

Katika jamii ambayo ni vigumu kubaina yupi ni mtoto, yupi ni kijana na yupi na mzee kulingana na matendo na vimbwanga vya watu wake inatia mashaka kuhusu mawezekano ya 'kuzirekebisha' tabia za watu ili kuendana na ubora katika ustaarabu, visomo, hekima, busara na maendeleo.

Humu jukwaani, Jamii Forums, kuna uholela wa mashauri ama mwelekeo wa kubidi visomo; labda miongoni wengi washiriki, mazoea yanalifanya hili kuonekana kama ni 'kawaida tu'. Lakini labda hili ni 'si kawaida' kwa wengine watu kama mimi; azma zetu juu ya ushiriki, kwa kiasi kikubwa ama kidogo, huenda basi hazifanani, hazilingani ama hata kutoendana na mengi humu(?)

Jurjani,

inaweza kuwa, mimi kama mtu ni mkubwa kwako kiumri na mengine, lakini sitaki hili liwe hoja; badala yake ninakutumia wewe kama kielelezo cha jambo. Staha na adabu ni misingi ya nidhamu binafsi, yenye kuchochea maadili mema mahusiano mema katika hata kukadirisha kheri kati ya mtu unayejuana naye ama kutojuana naye. Usifanyekosa kudhani, humu Jamiiforums hili halihusu kivile...

Ingalikuwa vema kuwa kwamba, hata kama hujatambua tofauti za rika kati yangu na wewe, basi walau uwe na adabu njema... Jiongeze, siyo kwa kuwa humu 'kuna uhuru wa kusema' basi useme seme chochote, kwa yeyote; unaweza kuirutubisha nidhamu ya kusema ikibidi ama kufaa hasa, la sivyo, kukaa kimya... Unaweza vile vile kuwa na nidhamu ya utii... Kutii na kufuata taratibu na mbinu za mahusiano mema; hizi zitakujenga.

Kwa upande mwingine, humu Jamiiforums kulingana na michango ya watu ni vigumu kubainisha 'michango/matundiko ya wakubwa ama wadogo'... Lakini kwa kweli, sisi kama wanajamii ama taifa, tunahitaji sana michango, bidii na uwajibikaji wenye kuweza kukadirisha ubora wa maisha kwa minajili ya nyanja zote, za kiuchumi, siasa na utamaduni. Kwa sura hii, hivi mdogo ana lipi hasa la kujifunza kwa mtu wa rika tofauti na yeye ikiwa wote hawajibayanishi kwa upeo, uwezo, uitikiaji na maarifa? Je, ni wapi pa kunung'unikia tunapoona jamii yetu haina chachu ya sifa na hadhi za utu bora? Je, ni suala la 'kuendeleza mila, tamaduni na desturi'--zipi hizo na kwa nini? Na basi si kuwa mimi kama mtu ninalingania 'mila, tamaduni na desturi' za watu wasiojielewa vema msimamo hao hasa ni upi kiustaaribu(?)... Watoto na vijana wa leo wanachangamoto kubwa sana, mara nyingi wanalazimikia 'adabu na utii' kwa wakubwa wengi ambao tayari ni wahanga mengi...

Mapenzi yangu mimi kama mtu ni kwa kizazi chipkizi--watoto kwa vijana, wasaidiwe kimazingira ya utamaduni ili wawe na nasibu ya 'Uasi' wa 'Mila, tamaduni na Desturi' kwa mwongozo wa adabu njema...

Vijana na baadhi ya wazee wachache wa leo ndiyo wanaweza kudadisi na kuchimba hata nje ya kile wanachopewa katika mikondo yao ya visomo vya darasani na taasisi. Kuweza kuuliza, na kiuliza ni nini hasa wanadhani wanajua kuhusiana na hata 'Wakati'... Na katika uzi huu, hatua kwa hatua, tunakadirisha visomo na mashauri juu ya 'wakati' kupitiliza fikra za kawaida kawaida kuhusu huo katika jamii yetu.

Hmmm
 
[SUB]Haya mambo Sijui niseme akili yangu ni ndogo kuliko habari zake au tu niseme haziingii akilini. [/SUB]
 
Jurjani,

ni vema utambue kwamba, kwangu mimi kama mtu, kuitikia tundiko kwenye hili Jukwa la Jamii ni utashi na mapenzi yangu binafsi na labda kwa namna ya kipekee.

Ninaitika kadri nionavyokufaa; kutumia hili kama fursa -- si tu kuzungumza na wewe kama mtu, ila hasa na wengine wengi ninaowadhamiria.

Si kila mtu anaweza kunufaika na michango yangu... Uwezekano ni mkubwa mno wa wasiokusudiwa kuweza kuleta rabsha zisizokusudiwa wala kuhitajika. Ikiwa kwa mfano, ninaendelea kuitika kwa kurejea kwako, basi ujue ninaitumia hii kama fursa kuyatekeleza mapenzi yangu...

Sasa, tazama, kuuliza kwako hivi : "Kaka naomba unipe maana ya "Muda/Wakati" na uniambie ili muda uitwe muda unatakiwa ukidhi vigezo gani ?"

Tundiko lako limeitikiwa na mawaidha haya :

"Hakuna namna moja kumaizi 'wakati' ni kitu gani hasa ama 'si hasa'...

Unabayanisha wakati kulingana na vipawa vya akili yako.

Akili yako ina sehemmu yenye uwezo kupitiliza 'kawaida' ukiwa na mafunzo ama mbinu.

Humu kwa mfano, watu wanazugumza kuhusu 'Kusafiri Kiwakati' lakini wanakwenda mbali kuliko lazima. 'Unnje-Ndani' wa akili zetu tayari ni chombo cha 'kusafiri kiwakati'. Hauhitaji kuingia kwenye 'mtambo' ili 'usafiri'. Matumizi ya vyombo ili 'kusafiri 'kiwakati' nalo ni uwezekano; japo ni namna ya 'kutobozea' zaidi na si hasa 'kusafiri'. Maarifa ya Uhandisi na Tekinolojia hizi za 'Kutobozea' zipo hata sasa duniani lakini ni mliki ya mashirika machache makubwa duniani kama labda kampuni za Boeing na Lockheed Martin katika utaratibu wa kazi za utafiti wa kiuhandisi unaofahamika kama 'Boeing Phantom Works' na 'Skunk Works'...

Lakini ikiwa mapenzi yako ni kujinasibu na hayo yote mawili basi anza na wewe mwenyewe; jitafute... Mengine kama 'tekinolojia' na 'uhandisi' vinaweza kujakufahamika na maarifa yake kuweza kubayanishwa ikiwa wewe ni mtu wa 'kujisoma mwenyewe'... Kwa kuwa ukiwa wewe ni 'msafiri wa kiroho' unajinasibu kuanza kumaizi namna gani 'maada', 'unafasishi', 'wakati' na 'nishati' ni 'pumzi' na 'nuru' ya kitu kimoja...


Vinjari haya.

... "


Humo kwenye mawaidha kuna mengi tu, ambayo yalikuwa yanaweza kufungua milango na madirisha kwa visomo na maarifa... UMEFUMBIA MACHO, na kuwa mwepesi kujibu: "Kama hali ni hiyo kwanini kuna usiku,kuna mchana kuna asubuhi, kuna jana kuna kesho ? Kuna idadi ya miezi kumi na mbili na mfano wake ? Pili, jifunze kuandika hoja kwa mpangilio na usiweke maneno yasiyo kuwa na msingi."

Hili liko wazi machoni... Umekosa Moyo wa Shukrani -- Kukosa moyo wa shukrani kunaondoa nasibu ya kukimirika maarifa, upeo na uwezo kutoka kwa mwingine yeyote mwenye nasibu halisi ya hayo. Unakosa nasibu ya kuweza kupokea jema.

Na hili ni la msingi kutambua -- adabu njema/sahihi, nidhamu na heshima ni tunu za kuja kuwezesha matunda mema kwa mtu anayetafuta sifa za utu bora. Kinyume na hili ni silika ya uhuni na ukosefu wa maadili mema...

Katika jamii ambayo ni vigumu kubaina yupi ni mtoto, yupi ni kijana na yupi na mzee kulingana na matendo na vimbwanga vya watu wake inatia mashaka kuhusu mawezekano ya 'kuzirekebisha' tabia za watu ili kuendana na ubora katika ustaarabu, visomo, hekima, busara na maendeleo.

Humu jukwaani, Jamii Forums, kuna uholela wa mashauri ama mwelekeo wa kubidi visomo; labda miongoni wengi washiriki, mazoea yanalifanya hili kuonekana kama ni 'kawaida tu'. Lakini labda hili ni 'si kawaida' kwa wengine watu kama mimi; azma zetu juu ya ushiriki, kwa kiasi kikubwa ama kidogo, huenda basi hazifanani, hazilingani ama hata kutoendana na mengi humu(?)

Jurjani,

inaweza kuwa, mimi kama mtu ni mkubwa kwako kiumri na mengine, lakini sitaki hili liwe hoja; badala yake ninakutumia wewe kama kielelezo cha jambo. Staha na adabu ni misingi ya nidhamu binafsi, yenye kuchochea maadili mema mahusiano mema katika hata kukadirisha kheri kati ya mtu unayejuana naye ama kutojuana naye. Usifanyekosa kudhani, humu Jamiiforums hili halihusu kivile...

Ingalikuwa vema kuwa kwamba, hata kama hujatambua tofauti za rika kati yangu na wewe, basi walau uwe na adabu njema... Jiongeze, siyo kwa kuwa humu 'kuna uhuru wa kusema' basi useme seme chochote, kwa yeyote; unaweza kuirutubisha nidhamu ya kusema ikibidi ama kufaa hasa, la sivyo, kukaa kimya... Unaweza vile vile kuwa na nidhamu ya utii... Kutii na kufuata taratibu na mbinu za mahusiano mema; hizi zitakujenga.

Kwa upande mwingine, humu Jamiiforums kulingana na michango ya watu ni vigumu kubainisha 'michango/matundiko ya wakubwa ama wadogo'... Lakini kwa kweli, sisi kama wanajamii ama taifa, tunahitaji sana michango, bidii na uwajibikaji wenye kuweza kukadirisha ubora wa maisha kwa minajili ya nyanja zote, za kiuchumi, siasa na utamaduni. Kwa sura hii, hivi mdogo ana lipi hasa la kujifunza kwa mtu wa rika tofauti na yeye ikiwa wote hawajibayanishi kwa upeo, uwezo, uitikiaji na maarifa? Je, ni wapi pa kunung'unikia tunapoona jamii yetu haina chachu ya sifa na hadhi za utu bora? Je, ni suala la 'kuendeleza mila, tamaduni na desturi'--zipi hizo na kwa nini? Na basi si kuwa mimi kama mtu ninalingania 'mila, tamaduni na desturi' za watu wasiojielewa vema msimamo hao hasa ni upi kiustaaribu(?)... Watoto na vijana wa leo wanachangamoto kubwa sana, mara nyingi wanalazimikia 'adabu na utii' kwa wakubwa wengi ambao tayari ni wahanga mengi...

Mapenzi yangu mimi kama mtu ni kwa kizazi chipkizi--watoto kwa vijana, wasaidiwe kimazingira ya utamaduni ili wawe na nasibu ya 'Uasi' wa 'Mila, tamaduni na Desturi' kwa mwongozo wa adabu njema...

Vijana na baadhi ya wazee wachache wa leo ndiyo wanaweza kudadisi na kuchimba hata nje ya kile wanachopewa katika mikondo yao ya visomo vya darasani na taasisi. Kuweza kuuliza, na kiuliza ni nini hasa wanadhani wanajua kuhusiana na hata 'Wakati'... Na katika uzi huu, hatua kwa hatua, tunakadirisha visomo na mashauri juu ya 'wakati' kupitiliza fikra za kawaida kawaida kuhusu huo katika jamii yetu.

Hmmm
Shida yako unaweka maneno mengi yasiyo na msingi.

Pili, hujibu maswali unayo ulizwa zaidi ya kuchanganya maneno na kupoteza murua wa kile unachokikusudia.

Tatu, maana ya adabu au nidhamu ni kufanya jambo kwa uzuri wenye kupigiwa mfano, na unapo ambiwa hujajibu swali na ujibu ulilo ulizwa si kukosewa adabu bali ni kukumbushwa jukumu lako.

Nne, kadhalika ni kosa kilugha kuandika "Mimi kama mtu" au mfano wake, sababu unazua swali la wewe ni nani sasa ?

Tano, umesifiwa sana uchache dhidi ya wingi,na bora ya maneno ni maneno machache yenye kueleweka kuliko maneno mengi yasiyo eleweka.

Ahsante.
 
Katika mada inayonivutia sana ni hili jambo la kusafiri kwenye muda lakini pia ni jambo ambalo nahisi lina utata au lisilowezekana kabisa.

Wanasema muda ni kama snapshot ambazo zimeanza kujipiga tokea ulimwengu umeanza mpaka utakapomaliza halafu zika rewind mwanzo kabisa ndipo wakati ukaanza kuhesabu hizo snapshot. Kwa dhana hii ina maana matokeo yote yaliyokushapita, yaliopo, na yanayokuja siku za usoni yamehifadhiwa katika muda hapo awali. Na hapa ndipo wanaposema, kusafiri mbeleni kwenye muda yaani katika future au kurudi nyuma ya muda yaani past inawezekana.

Basi hapa huwa inanishawishi sana niamini suala hili, lakini wanaposema muda unaenda na matokeo hapo ndipo ninapohisi haiwezekani, yaani eti wewe kama utafanikiwa kurudi nyuma ya muda utayakuta maisha ya bibi yako alipokuwa hai, na siyo hivyo tu, bali unaweza hata kuongea nae na hata kuumua pia ikibidi inawezekana.

TIME TRAVELLING
Mada ya time travelling imeanza kuzuka mara baada ya Albert Einstein alipogundua Theory of relativity . Nadharia hii inazungumzia uhusiano wa fizikia na mvuto katika muda. Yaani muda huathiriwa na fizikia pamoja na mvuto (Gravitiy). Athari hutokea wakati kasi ya fiziki na mvuto inapozidi ama kupungua. Ili kuelewa vizuri, naomba nikupe mfano huu. Anatembea kwa miguu masafa ya kilo mita 10 pengine huchukua lisaa limoja lakini anaetembea kwa gari atachukua dakika 10, na yule anaesafiri kwa kutumia ndege pengine atachukua 1 au sekunde chache. Hicho albert kwa ufupi alichokigudua.

WARM HOLE THEORY
View attachment 1504661


Lakini pia, wormhole tehory ikaja kuunga mkono juu ya uwezekano wa ishu ya Time-travelling. Hii ni theory inaoelezea katika duni kuna wormhole ambazo ni kama shortcut za kutokezea upande mwengine wa ulimwengu au katika future ya muda kwa muda mchache zaidi. Hapa ndipo wanasayansi wakapata nguvu na kusema time-travelling inawezekana kama kutatengezwa kitu kinachoitwa Time Machine. Ili hiyo time machine ifanye kazi lazima watu wagundue wapi inapatikana wormhole na pia mashine hiyo iwe na uwezo kusafiri kwa speed ya mwanga yaani kasi zaidi kulikoni unavyowasha tochi na kufika kwenye ukuta. Basi yakiwezekana hayo watu wataweza kurudi nyuma ya muda kuona maisha ya zamani lakini pia wanaweza kwenda mbele yaani kunako kesho kama unavyokwenda kariakoo na kurudi nyumbani.

WATU WANAODAI WALISAFIRI KATIKA MUDA
Kuna hadithi zinazosimulia eti kuna watu waliyowahi kusafiri kwenye muda. Kama ni hivyo basi kuna watu wanazo hiyo time machine au itakuwa wamesafiri kwa miujiza.


UFAHAMU WANGU JUU YA HILI.
Pengine ni kweli inawezekana kusafiri kwenye muda na kuweza kuona matokeo yote lakini katika mfumo wa uono yaani vision. Kwasababu huwezi kusema eti umedondosha glass halafu ikavunjika baadae useme utasafiri kurudi nyuma katika muda na kuikuta glass hiyo bado ni mzima na kuweza kuitumia. Hapa ndipo ninapohisi utata kuamini kama nadharia hii inawezekana.

Kwangu hapa nimefika mwisho. Na nasubiria uelewa wako juu ya hili .
Thanks
Time travelling impossible in real world
Mm ni mpenz sana wa sayansi na computer lkn swala la time travel haliwezekan mpaka pale dunia itapoweza kuzivikia dunia za mbal yaan apa naamisha km NASA wataweza kutuma binadamu waende wakaish sayar zilizo nje ya jua.sayar ambazo zinazunguka nyota zengine na hili ilo liwezekane basi itabid zigunduliwe vyombo vyenye kasi zaid ya mwanga na apo ndipo zitagunduliwa element nyingine ambazo bado chemistry haijazigundua zikigundulika hizo na kisha kuwekwa kwenye perodic table hayp yatawezekana

Lkn kwenye ulimwengu wa kichawi time travel inawezekana hii ni kwa sababu speed ya wachawi kusafir ni kasi ya ajabu yan mtu upo mtwara kufunga na kufumbua upo tanga kwann time travel isiwezekane kitu kinachp affect muda ni gravitational force ukiweza kuidhibit gravitational force bas speed ya muda itaongezeka maisha yatakuwa ya kasi sn na ikionhezeka maisha yatakuwa slow sn
 
Ipo hivi kwa kutumia muda kurudi muda kurudi nyuma wengi wanaita Time travelling yani naenda mwaka 2008 harafu kuna mtu huo mwaka kuna kitu alifanya mfano tuchulie diamond ni msanii Sasa hivi mkubwa tu,

Harafu mimi nikarudi huo Mwaka na kuanza kuandika mashairi yale yale ya diamond nikianza na kamwambie, mbagala na nk.

Nikajiita jina hilo hilo, je kufika mwaka huu 2020 Huyu diamond atakuwa katika hali gani? Nimeuliza tu
 
Hivi hizi story za kwenye "movies" mbona zimeshamiri sana siku hizi za hivi karibuni shida nini ? Au ndiyo uvivu wa kufikiri au ?
 
tafuta hizi movies...
See you yesterday..
Time travel's wife ya Eric bana..
De javu ya dezel Washington..

Anza na dejavu mkuu usisahau mrejesho....
 
Katika mada inayonivutia sana ni hili jambo la kusafiri kwenye muda lakini pia ni jambo ambalo nahisi lina utata au lisilowezekana kabisa.

Wanasema muda ni kama snapshot ambazo zimeanza kujipiga tokea ulimwengu umeanza mpaka utakapomaliza halafu zika rewind mwanzo kabisa ndipo wakati ukaanza kuhesabu hizo snapshot. Kwa dhana hii ina maana matokeo yote yaliyokushapita, yaliopo, na yanayokuja siku za usoni yamehifadhiwa katika muda hapo awali. Na hapa ndipo wanaposema, kusafiri mbeleni kwenye muda yaani katika future au kurudi nyuma ya muda yaani past inawezekana.

Basi hapa huwa inanishawishi sana niamini suala hili, lakini wanaposema muda unaenda na matokeo hapo ndipo ninapohisi haiwezekani, yaani eti wewe kama utafanikiwa kurudi nyuma ya muda utayakuta maisha ya bibi yako alipokuwa hai, na siyo hivyo tu, bali unaweza hata kuongea nae na hata kuumua pia ikibidi inawezekana.

TIME TRAVELLING
Mada ya time travelling imeanza kuzuka mara baada ya Albert Einstein alipogundua Theory of relativity . Nadharia hii inazungumzia uhusiano wa fizikia na mvuto katika muda. Yaani muda huathiriwa na fizikia pamoja na mvuto (Gravitiy). Athari hutokea wakati kasi ya fiziki na mvuto inapozidi ama kupungua. Ili kuelewa vizuri, naomba nikupe mfano huu. Anatembea kwa miguu masafa ya kilo mita 10 pengine huchukua lisaa limoja lakini anaetembea kwa gari atachukua dakika 10, na yule anaesafiri kwa kutumia ndege pengine atachukua 1 au sekunde chache. Hicho albert kwa ufupi alichokigudua.

WARM HOLE THEORY
View attachment 1504661


Lakini pia, wormhole tehory ikaja kuunga mkono juu ya uwezekano wa ishu ya Time-travelling. Hii ni theory inaoelezea katika duni kuna wormhole ambazo ni kama shortcut za kutokezea upande mwengine wa ulimwengu au katika future ya muda kwa muda mchache zaidi. Hapa ndipo wanasayansi wakapata nguvu na kusema time-travelling inawezekana kama kutatengezwa kitu kinachoitwa Time Machine. Ili hiyo time machine ifanye kazi lazima watu wagundue wapi inapatikana wormhole na pia mashine hiyo iwe na uwezo kusafiri kwa speed ya mwanga yaani kasi zaidi kulikoni unavyowasha tochi na kufika kwenye ukuta. Basi yakiwezekana hayo watu wataweza kurudi nyuma ya muda kuona maisha ya zamani lakini pia wanaweza kwenda mbele yaani kunako kesho kama unavyokwenda kariakoo na kurudi nyumbani.

WATU WANAODAI WALISAFIRI KATIKA MUDA
Kuna hadithi zinazosimulia eti kuna watu waliyowahi kusafiri kwenye muda. Kama ni hivyo basi kuna watu wanazo hiyo time machine au itakuwa wamesafiri kwa miujiza.


UFAHAMU WANGU JUU YA HILI.
Pengine ni kweli inawezekana kusafiri kwenye muda na kuweza kuona matokeo yote lakini katika mfumo wa uono yaani vision. Kwasababu huwezi kusema eti umedondosha glass halafu ikavunjika baadae useme utasafiri kurudi nyuma katika muda na kuikuta glass hiyo bado ni mzima na kuweza kuitumia. Hapa ndipo ninapohisi utata kuamini kama nadharia hii inawezekana.

Kwangu hapa nimefika mwisho. Na nasubiria uelewa wako juu ya hili .
Thanks
science fiction
 
Tatizo la watu wengi, wanaona kama hii time travel ni kitu ambacho kimetungwa tu na "wazungu" na wengine kuishia kuiita na science fiction.

Hapana jamani!

Time travel ni kitu ambacho kina mantiki ki hisabati. Yaani uwezekano wa hicho kitu katika hesabu obvious!!

Ni kweli, time travel ni kitu ambacho katika logic za kawaida hakiingii akilini. Lakini ukweli ni kwamba, kinawezekana kihisabati!!
 
Haiwezekani labda uniambie kuna ulimwengu mwingine ambapo kuna shughuli zinaendelea kama ulimwengu huu.
 
Tazama uzi -- tundiko hili.

Kusafari kiwakati ni jambo linalowezekana.

Unachofikiri kuhusu 'maada', 'unafasishi', 'wakati' na 'nishati' huenda ni 'ndicho sicho'.

Ulimwengu hauna 'wakati' mmoja--na nyakati zote si nyakati hasa ila 'SASA'.

Fikiri kana hivi kila nukta ifanyayo 'tukio' ni kama wakati mmoja, kana mkondo, watoka mbele kurudi nyuma vivyo hivyo mwingine kutoka nyuma kwenda mbele.

Mifanyiko yote ni mchanganyiko wa 'kweli' na 'si kweli'--ulimwengu wote ni mchanganyiko wa 'habari' na 'kionekacho kana kitu ama dutu'; japo ni si kitu kwa hali nyingine.

Unaweza kuona basi, kilicho hapa, kilicho hapa lakini kisicho hapa hasa, vile vile kilicho kule mbele ya wakati kadri vile kilicho unakoweza kudai ni nyuma ya wakati.

Vitu vipo katika namna ya 'ulimwengu mmoja' na hali hapo hapo ni 'alimwengu sambasamba nyingi' isivyo idadi. Wewew kama kitu hai, upo katika ulimwengu huu kwa wakati huu, lakini wewe pia upo katika alimwengu nyingi sambamba ambamo wewe waweza kuwa hivi ama vile isiwe sawa sawa na hapa ulipo sasa. Je. ni wapi wewe wawa ni 'Moja'?

Vitu vyote vilivyohai na visivyo hai -- kadri ya vina vya tafsiri vyetu, vyatungika kwa namna ya mtungiko wa habari... Ukitambua siri na fumbo za habari, basi wewe waweza kutenda ama kufanya hata yale ambayo katika hali ya kawaida vina vya upeo, maarifa na tafsiri ya mtu vingalikusema ni 'miujiza' ama 'kisichowezekana'.

Kwanza nikupe ufafanuzi wa nishati kwa namna inayoweza kubeba haya yote,

"Nishati ni uweza na uhali kuweza kupangilia msimamo kutokea mvurugiko kipunde"...

Kwa kusema hivyo, ina maana tunachokijua leo na kukitaja kama 'kazi' kinaweza kutendeka bila 'nguvu'... Yaani kama 'kazi' ni zao la 'kani' na umbali; pia kazi inaweza kufanyika pasipo 'kani' lakini kudhahirika kupitia 'uhali'. Kadiri hii ni uweza ulio katika 'habari'...

Nitakupa picha ya zoezi la kutanua uwezo wa kumaizi hili... Fikiria kana tunaishi katika ulimwengu 'unaowaka' na 'kuzima' kwa kasi ya ajabu mno kuweza kukadirika... Kila unapowaka ni kadri ya mpangilio--unapozima ni kadiri ya mvurugiko; kichosaidia vitu kufutika na kutukia vile vile kutokea kadri ya tukio la kadiri moja hadi ingine ni 'habari' ama 'neno'... Basi jaribu dhanio kama unaweza kuiandika habari kuwa tofauti basi unaweza kuathiri uthibitiko wa uendelevu wa dhahiri kuto hata landana na 'unafasishi'...

Hili lina kuletea picha ipi? Katika Jaribio la kudhanika Uadilifu; Ukiwa na meza yenye pembe nne, tuziite pembe A, B, C na D; halafu kwenye pembe moja ukaweka kapira 'O' kadogo--kenye uso mwororo sana--juu ya uso mwororo sana wa meza; basi kama meza hiyo tena yenye uso bapa sana ikiwa na kipira kwenye tuseme ncha A halafu tukawa na namna ya kifaa chenye kuweza kusoma na kuhifadhi habari za mitetemo ya hali ya juu sana kukadirisha 'kipira O' katika ncha A basi ikiwa tutasogeza kipira O kiende kukaa katika ncha C, pembe mtazamano na A -- na huko nako kifaa hicho hicho kikasoma na kuhifadhi mitetemo ya hali ya juu ya hicho katika nafasi husika -- basi hili linawezekana; kama chombo hicho hicho kwa kadri ya kuweza kusoma lakini pia kinaweza 'kutekenya', kwa namna ya utetemeazi, kikitetemeazisha kipira O kilichopo katika ncha C kwa kadri ya mitetemo ya hicho kilipokuwa ncha A--nini kitatokea? Ikiwa chombo hicho kina ubora na ufanisi wa hali ya juu ya kusoma na kutetemeazisha basi kipira O kitaitika kwa jambo ambalo katika upeo na uzoefu wetu wa kawaida hatujawahi kudhani inawezekana--kipira O kitapotea ncha C na kutokea ncha A... Ina maana hakitasafiri toka ncha C kwenda A kwa tunavyoweza kudhania, kukatikizia katika unafasishi wa dhahiri juu ya meza...

Unaweza kusafiri kutoka nukta A kwenda B bila 'kusafiri'... Tuite 'telepotia'. Je, 'wakati' umwekwenda wapi katika hili?

Hili ni moja, kati ya mengine mengi yanayoweza kutaka usahau unachofikrir unajua kuhusu maada, unafasishi, wakati na nishati.

Rejea

A. R Bordon, D.H Hasler, J. A. Sanchez, F. M Maye, R. B. Soligen (2009). BIOGEOSYSTEMICS--The Sonobioelectronic and Sonobioelectrogravitic Nature of Life on Earth and Why Pilot-Wave Subquantum Mechanics and Information Is not Enough, Life Physics Group - California, Adobe Acrobat

Emerging Technology, ArXiv (2016). Physicists Create World’s First Time Crystal
Physicists Create World’s First Time Crystal

Richard Lighthouse, (2020). The Blinking Universe, Lulu

Lacerta Files (2000). The Lacerta Files
Question/Answer 4:

"Yes. In order to explain that, one has to acknowledge the physical reality of the sphere of influence {Feldraum}. I’ll try to do it…wait just a second…you are going to have to separate yourself mentally from the illusion that that which you see is the true nature of the universe. It is, at best, the surface of a side. Imagine for yourself that all the matter here —you, this table, this pencil, this technical device, this paper— does not really exist, but that it is rather only the result of a field oscillation and a concentration of energy. All matter that you see, every creature, every planet and star in this universe, has an “information-energy equivalent” in the sphere of influence which is located on a main field —the general level {of things}. Now, there is not only one level, but several. Last time, I had mentioned that highly-developed species which is capable of changing levels (which is something completely different from the simple bubble changing, for bubbles are a part of each and every level). Do you understand? Dimensions, as you call them, are a part of a solitary bubble, bubbles or universal foam are a part of a level, and levels are layers in the sphere of influence, while the sphere of influence, acting in the capacity of single physical size, is essentially unending; it is composed of innumerable information-energy layers and general levels. There are in the sphere of influence no null-levels; all are the same, but they are separated by means of their energy conditions. I notice that I am confusing you now. I think I ought to stop with this explanation."
Oyaaaa dah
 
Yaani nahisi njaa tu hayo maneno.
Nimeelewa neno moja tu hapo.
Ila Sayansi na Physics ngumu jama....ndo mana wengine tulikimbia umande tangu form two.

Ila ngoja nisome tu hivohivo.
Tupeni vitu
Kusema kweli fizikia mi binafsi naona rahisi kuliko chemistry..!
Chemistry nanyoosha mikono yangu juu..😂😂
 
Hizi story za time travelling ni za abunuasi.
Maana hata Hao waumini wake hawajui inakuwaje hyo .
Jana iliyopita ni ngumu kuirudia na kufika kesho kabla ya muda ni ngumu.
MKISEMA TIME TRAVELLING NI NDOTO HAPO SAWA

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Katika mada inayonivutia sana ni hili jambo la kusafiri kwenye muda lakini pia ni jambo ambalo nahisi lina utata au lisilowezekana kabisa.

Wanasema muda ni kama snapshot ambazo zimeanza kujipiga tokea ulimwengu umeanza mpaka utakapomaliza halafu zika rewind mwanzo kabisa ndipo wakati ukaanza kuhesabu hizo snapshot. Kwa dhana hii ina maana matokeo yote yaliyokushapita, yaliopo, na yanayokuja siku za usoni yamehifadhiwa katika muda hapo awali. Na hapa ndipo wanaposema, kusafiri mbeleni kwenye muda yaani katika future au kurudi nyuma ya muda yaani past inawezekana.

Basi hapa huwa inanishawishi sana niamini suala hili, lakini wanaposema muda unaenda na matokeo hapo ndipo ninapohisi haiwezekani, yaani eti wewe kama utafanikiwa kurudi nyuma ya muda utayakuta maisha ya bibi yako alipokuwa hai, na siyo hivyo tu, bali unaweza hata kuongea nae na hata kuumua pia ikibidi inawezekana.

TIME TRAVELLING
Mada ya time travelling imeanza kuzuka mara baada ya Albert Einstein alipogundua Theory of relativity . Nadharia hii inazungumzia uhusiano wa fizikia na mvuto katika muda. Yaani muda huathiriwa na fizikia pamoja na mvuto (Gravitiy). Athari hutokea wakati kasi ya fiziki na mvuto inapozidi ama kupungua. Ili kuelewa vizuri, naomba nikupe mfano huu. Anatembea kwa miguu masafa ya kilo mita 10 pengine huchukua lisaa limoja lakini anaetembea kwa gari atachukua dakika 10, na yule anaesafiri kwa kutumia ndege pengine atachukua 1 au sekunde chache. Hicho albert kwa ufupi alichokigudua.

WARM HOLE THEORY
View attachment 1504661


Lakini pia, wormhole tehory ikaja kuunga mkono juu ya uwezekano wa ishu ya Time-travelling. Hii ni theory inaoelezea katika duni kuna wormhole ambazo ni kama shortcut za kutokezea upande mwengine wa ulimwengu au katika future ya muda kwa muda mchache zaidi. Hapa ndipo wanasayansi wakapata nguvu na kusema time-travelling inawezekana kama kutatengezwa kitu kinachoitwa Time Machine. Ili hiyo time machine ifanye kazi lazima watu wagundue wapi inapatikana wormhole na pia mashine hiyo iwe na uwezo kusafiri kwa speed ya mwanga yaani kasi zaidi kulikoni unavyowasha tochi na kufika kwenye ukuta. Basi yakiwezekana hayo watu wataweza kurudi nyuma ya muda kuona maisha ya zamani lakini pia wanaweza kwenda mbele yaani kunako kesho kama unavyokwenda kariakoo na kurudi nyumbani.

WATU WANAODAI WALISAFIRI KATIKA MUDA
Kuna hadithi zinazosimulia eti kuna watu waliyowahi kusafiri kwenye muda. Kama ni hivyo basi kuna watu wanazo hiyo time machine au itakuwa wamesafiri kwa miujiza.


UFAHAMU WANGU JUU YA HILI.
Pengine ni kweli inawezekana kusafiri kwenye muda na kuweza kuona matokeo yote lakini katika mfumo wa uono yaani vision. Kwasababu huwezi kusema eti umedondosha glass halafu ikavunjika baadae useme utasafiri kurudi nyuma katika muda na kuikuta glass hiyo bado ni mzima na kuweza kuitumia. Hapa ndipo ninapohisi utata kuamini kama nadharia hii inawezekana.

Kwangu hapa nimefika mwisho. Na nasubiria uelewa wako juu ya hili .
Thanks
mkuu kabla hata sijasoma comments zinazofuata nakupongeza kwa kuanzisha uzi huu. Kuhusu suala lako la kimfano la kuvunja glasi, vipi kama tunaweza kufanya reversal of velocity?
 
Back
Top Bottom