Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,868
- 6,480
lakini ingegusa kidogo na mwaka huu ingekuwa poa!
lakini ingegusa kidogo na mwaka huu ingekuwa poa!
Halikuwa muktadha wa hii madalakini ingegusa kidogo na mwaka huu ingekuwa poa!
TOHATO uko sawa watu wengi wapiga kelele hasa walokole hawajui kuwa hata kuna Wapaletina na wakristo.Hata Marehemu Yasser Arafat kiongozi wa Wapalestina alikuwa muislam lakini mke wake alikuwa Mkristo.Nimeipenda hii mana imeongelea Ki historia sio kidini.
Kuna watu wakiskia Palestina akili yake anawaza kutetea dini ya kiislam.
Alafu kuna watu wakiskia Israeli yee akili yake iko kwenye Ukristo(Hasa walokole ndo wanahizi kauli kudai Taifa teule wakati wanao ishi humo ndani Ndo adui namba moja wa Kristo)
Ma ugomvi ya ardhi sio salama ,hata huku kwetu nchini tumeona familia nyingi zikigombana kisa babu alimuachia mtu flani kiwanja ajenge nae badae anataka kuongeza zaidi na kujiona ndo mmiliki. Au wengine kujimilikishia ardh.
Waisrael wa Africa wako Ethiopia wanaitwa Falashians au wafalasha hiki kizazi kinatokana na Kiongozi mwanamke malkia alikuwa anaitwa Sheba alisikia habari za Mfalme wa Uyahudi aliyekuwa na mali nyingi na akili na busara nyingi akaamua kwenda kumtembelea kule Israel alikaa muda kadhaa akabeba mimba akarudi Africa Ethiopia akamzaa Meneleki basi huyo Menelek ndio uzao wake ukaendelea hadi kufikia kina Haile Selasie na wengine kwa sasaYeap kuhusu Ethiopia nasikia ni kweli
Daaa! weye jombi una kitu nimeshakiona akilini mwako! hasa hii number 6!.........Any way tukiangalia neno ''Utumwa; Biblia/qurani vimeliongelea sana hili jambo la utumwa sana,Tunapozungumzia Historia ya PALESTINE na ISRAEL ...tumefanya tafiti za kutosha za kihistoria ......Sasa ninapomuona Mtu mmoja mweusi aliyejazwa mafundisho ya Visaasili ( Mythology) vya dini Kichwani na moyoni alafu MTU huyo anataka kuleta hoja za KIPUMBAVU na kitumwa naamua kupuuzia tu
Kwasababu PALESTINE sio Dini ... PALESTINE ni nchi yenye WAPALESTINA Wakristo , WAPALESTINA wayuda, WAPALESTINA Waislamu na WAPALESTINA wasio na Dini .
Kwahiyo hapa hoja Ni Hutu ( Conscience) ...
Sasa unapomuona Mtumwa wa Fikra ( kuku wa israel wa Afrika)...aliyejazwa mafundisho ya Visaasili vya dini na propaganda ili atumike kulinda maslai ya MAZAYUNI kupitia Wachungaji ( Walimu) wake inakuwa inafedhehesha bara letu la Afrika...
Huwezi kupinga,kuhoji au kutoa maoni kuhusu issue ya PALESTINE na ISRAEL Kama hujui kuhusu mambo YAFUATAYO
1.Khazaria Ashkenazi Jews
2.Historia ya Zionism movement na tabia zake
3.Azimio la BALFOUR DECLARATION OF 1917..
4.Uganda Scheme of 1903.
5.Proposals for a Jewish state ( Maeneo yaliyokoswa koswa kuwa israel na TANZANIA ilikuwa miongoni)
6.FAKE AND STAGED HOLOCAUST JEWS FROM 230000 TO 6.5 MILION JEWS ( LIES)
7. HISTORIA YA OTTOMAN EMPIRE AND MANDATE PALESTINE CHINI YA muingereza.
9.Nini maana ya "SS EXODUS ? ya 1947 ??
10.UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini??
11.14th may 1948 kulitokea Tukio gani ??
12. 1950s Israel na MAREKANI kwanini walianzisha neno UGAIDI na MAGAIDI ???
13.UKATIRI, UBAGUZI, MAUAJI , UBOMOAJI MAKAZI ,NA UKOLONI WA KUTUMIA JESHI uliofanyika Kuanzia 1948 Hadi leo
14. Tofauti Kati ya WAISRAEL ( watu weusi) na WAYAUDI ( Zionists yaani wazungu na walowezi kutoka ulaya)
15.Ni Kwanini MAREKANI ndo lilkuwa Taifa la kwanza kuitambua Israel ??
16. Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika WALIKATAA kuitambua Israel ....hata Mwl.Nyerere ????
Sasa Hapo unaweza kutoa hoja lakini Kama umejazwa chuki, Visaasili vya dini na Udini huwezi kujadili la maana kuhusu ISRAEL na PALESTINE ...sanasana utaishia kusema " ATAYEBARIKI ATABALIKIWA ATAKAYELAANI ATALAANIWA " as if Mungu ni Mkabira.
Jifunze Historia kupitia INSTAGRAM @tabarokaijage
au Whatsup kupitia 0757790650
Ahsante
Vizazi vya Watoto/wajukuu na vitukuu /vilembwe wao walee Matajiri wakubwa wa UK/USA/France nk, wale wauza watumwa sugu!... hao! hao walipokomesha Biashara ya utumwa,15.Ni Kwanini MAREKANI ndo lilkuwa Taifa la kwanza kuitambua Israel ??