Joshua Deus
Member
- Jul 16, 2021
- 50
- 21
Na Joshua Deus
Miongoni mwa watanzania walio wengi wame athiriwa na Mila za makabila yao,imani za dini au madhehebu wanayo amini Hadi Mambo ya kiafya wanayahusianisha na Mila zao.
Ugonjwa wa Akili (mental disorder) umekua ni ugonjwa unao aminika kuwa hupatikana kwa kurogwa kwa Imani za jamii ya watu wengi.
(Cyzofrenia) ni ugonjwa wa Akili ambao umewakumba jamii ya watu wengi na husababishwa na matumizi ya dawa za kulevya yaani bangi, cocaine n.k,lakini pia ugonjwa huu unasabishwa na kurithi kutoka kwenye ukoo Kama endapo Kuna mtu ana vinasaba vya ugonjwa huu.
Dalili za ugonjwa huo muathirika anaweza kufanya vitu vigeni mfano kuongea lugha ambayo hakuwai kuijua kua mtu wa ajabu mithili ya mtu mwenye pepo wachafu
Matibabu
Ugonjwa huu unatibika mapema endapo muathirika atawaishwa hospitali kwa matibabu,lakini Kama amechelewa Kuna dawa ambazo mgonjwa hutumia ili kumfanya mgonjwa apaye ahueni na kijitambua
Jamii ya watanzania inapaswa kutambua maradhi ya Magonjwa yanatakiwa kupata kutolewa ufafanuzinna madaktari nakuto yahusisha moja kwa moja na Imani za kishirikina
Miongoni mwa watanzania walio wengi wame athiriwa na Mila za makabila yao,imani za dini au madhehebu wanayo amini Hadi Mambo ya kiafya wanayahusianisha na Mila zao.
Ugonjwa wa Akili (mental disorder) umekua ni ugonjwa unao aminika kuwa hupatikana kwa kurogwa kwa Imani za jamii ya watu wengi.
(Cyzofrenia) ni ugonjwa wa Akili ambao umewakumba jamii ya watu wengi na husababishwa na matumizi ya dawa za kulevya yaani bangi, cocaine n.k,lakini pia ugonjwa huu unasabishwa na kurithi kutoka kwenye ukoo Kama endapo Kuna mtu ana vinasaba vya ugonjwa huu.
Dalili za ugonjwa huo muathirika anaweza kufanya vitu vigeni mfano kuongea lugha ambayo hakuwai kuijua kua mtu wa ajabu mithili ya mtu mwenye pepo wachafu
Matibabu
Ugonjwa huu unatibika mapema endapo muathirika atawaishwa hospitali kwa matibabu,lakini Kama amechelewa Kuna dawa ambazo mgonjwa hutumia ili kumfanya mgonjwa apaye ahueni na kijitambua
Jamii ya watanzania inapaswa kutambua maradhi ya Magonjwa yanatakiwa kupata kutolewa ufafanuzinna madaktari nakuto yahusisha moja kwa moja na Imani za kishirikina