S3 mini
Member
- Dec 13, 2016
- 66
- 48
Naomba ushauri au elimu au Ufahamu kuhusu ubora wa simu za Samsung toleo la M series.. Na Ubora wa Simu za oppo na series ipi ni bora
Na ushauri kama nataka kuchukua simu kati ya hayo makampuni nichukue simu gani.. Kwa kuzingatia, ukubwa wa battery, ubora wa camera, ukubwa wa storage 128gb,na wastani wa bei kati laki 3 mpaka laki tano...
Na ushauri kama nataka kuchukua simu kati ya hayo makampuni nichukue simu gani.. Kwa kuzingatia, ukubwa wa battery, ubora wa camera, ukubwa wa storage 128gb,na wastani wa bei kati laki 3 mpaka laki tano...