Ninaomba msaada kwa mwenye uelewa wa hii taasisi, mwaka 2013 nilichukua mkopo kwenye taasisi hii (platinum) mwaka 2014 nikahamisha deni kwenda taasisi nyingine (malipo yalifanyika )..baada ya kupita miezi miwili nikajikuta kuna kiasi cha pesa bado nakatwa na hii taasisi (platinum), nimefatilia bila mafanikio.
ninaomba mwenye uelewa wa mikopo hii aweze kunisaidia nifatilie wapi sehemu husika ili niweze pata haki yangu
ninaomba mwenye uelewa wa mikopo hii aweze kunisaidia nifatilie wapi sehemu husika ili niweze pata haki yangu