Ufahamu kuhusu kulangua mpunga.

mimi nilikuwa mdau wa biashara hiyo huko nyuma ila bado naifuatilia kwani kuna watu wanaifanya mfano mwaka huu hadi sasa gunia sehemu nyingi linauzwa 45,000,ushuru 3000,usafiri 5000,wabebaji hapo bado gharama za store za kuuhifadhi ambazo kwa gunia ni 4000!!!
Du mkuu wapi huko unaponunulia, maana mi nilikuwa shinyanga juzi gharama kama ifuatavyo
1.Bei 60,000
2.Usafiri 2000
3.Upakiaji pandisha +shusha 1000
Hamna ushuru, pia gharama za kutunza bure maana unakobolea hapo hapo. nasikia igunga bei iko 36,000/gunia japo sina uhakika
 
Du mkuu wapi huko unaponunulia, maana mi nilikuwa shinyanga juzi gharama kama ifuatavyo
1.Bei 60,000
2.Usafiri 2000
3.Upakiaji pandisha +shusha 1000
Hamna ushuru, pia gharama za kutunza bure maana unakobolea hapo hapo. nasikia igunga bei iko 36,000/gunia japo sina uhakika
sio kwamba nipo nanua ila kwa hizo ni bei za mpanda,sio kweli kwa igunda kuwa bei hiyo wakati nasikia watu wengi wa kahama wamekimbila mpanda na ndio wameufanya hata upande bei!!wakati kipindi cha nyuma kwa sasa bei huwa ni 30,000-35,000!!ila nasikia kuna katazo la kutoa mpunga mkoa wakatavi ,linakuja muda c mrefu bali ni mchele tu
 
sio kwamba nipo nanua ila kwa hizo ni bei za mpanda,sio kweli kwa igunda kuwa bei hiyo wakati nasikia watu wengi wa kahama wamekimbila mpanda na ndio wameufanya hata upande bei!!wakati kipindi cha nyuma kwa sasa bei huwa ni 30,000-35,000!!ila nasikia kuna katazo la kutoa mpunga mkoa wakatavi ,linakuja muda c mrefu bali ni mchele tu
ok kwa mpanda sawa, bei inakuwaga chini
 
baba hiyo ndoo sio mchezo ukiiona kwa juu juu tu huwezi gundua ila anza kutia kitu humo ndio utaona jinsi linavyomeza!!wewe ndoo hii iuzwe laki 2!!!nchi hii mkulima anapata tabu saa

kwa kweli biashara ya mpunga inahitaji umakini sana!!hasa kwenye manunuzi kwani ukibugi kidogo tu una kata mtaji!!mfano mwaka jana wakati wa mavuno kuna sehemu gunia la mpunga liliuzwa kwa 30,000!!hukopolini hadi linafika mjini ni kama 45,000 ,hapo hujalipia store!!unakuta bei inafika hadi 55,000,mwezi wa nne mwaka huu bei ya kuuzia ilikuwa 55,000-60,000!!!!hapo kuna nini??miaka ya nyuma kweli ilikuwa inalipa kwani mtu akiweka store alikuwa anaweza kuuza hadi 80,000 ila sio kwa kipindi hiki!!labda uukoboe uuze mchele na utoke vizuri sasa
ivi gunia mojaa la mpunga ukikoboa unapata wastani wa kilo ngp za mchele
 
Kuna aina za mipunga lazima ujue na upi una soko sanaa... Na ujue kukoboa kwa kutumia mikono kuona huu unafaa ama haufai..

Lasivyo utabambikiziwa mpunga na kuhisi umerogwa kumbe huna ujuzi...
 
ha ha ha,kila biashara sasa ni pasua kichwa,bora kulima mwenyewe tu
HII Point ila uwe na mtaji mzuri unaeza rudi kulekule kwenye hasara. kama
1.utakodi shamba
2.utakodi tractor
3.vibarua kupanda/kupalilia
4.vibarua kuvuna
.5.usafiri na kulipia store.
wakulima wanapata faida kozi nguvu kazi ni wao wenyewe
 
mkuu siku hizi kuna ndoo za kupimia huo mpunga huko polini zimeshafanyiwa utundu kitaalamu ndoo moja inauzwa laki 2!!sio mchezo hata mkulima kuishitukia ni shida ila hizo nyingine za kutengeneza mwenyewe local wanazishitukia sana na utapelekwa hadi kwa mwenyekiti wa kijiji kwa uhujumu uchumi !!!tatizo la biashara ya kununua mpunga ni kwenye kuukagua ubora wake kwani huuoni unakuja kuukoboa baba ni chenga/biliani(rangi ya uvundo)tayari hasara tofauti na biashara ya. mchele unanunua kitu unachokiona.
Wewe tupo pamoja kabisa uzoefu wangu kwa hiyo biashara n km unavyosema hapa
 
mkuu siku hizi kuna ndoo za kupimia huo mpunga huko polini zimeshafanyiwa utundu kitaalamu ndoo moja inauzwa laki 2!!sio mchezo hata mkulima kuishitukia ni shida ila hizo nyingine za kutengeneza mwenyewe local wanazishitukia sana na utapelekwa hadi kwa mwenyekiti wa kijiji kwa uhujumu uchumi !!!tatizo la biashara ya kununua mpunga ni kwenye kuukagua ubora wake kwani huuoni unakuja kuukoboa baba ni chenga/biliani(rangi ya uvundo)tayari hasara tofauti na biashara ya. mchele unanunua kitu unachokiona.
Uwezi uka utunza mchele mpaka hzo siku zifike
 
Biashara ya nafaka hususani mpunga ni nzuri ikiwa tu utafanya mambo yafuatayo;

1.Uvumilivu (kuweka stoo mpunga then uje kuuza mchele baadae au hata mpunga huohuo)

2.Uchaguzi mzuri wa mpunga (Kuna mbegu nyingine sio nzuri au mpunga kulowa maji wakati wa kuvuna baadae huwa unakatika sana ukiukoboa)

3.Ghala (Hakikisha una sehemu nzuri ya kuhifadhi mpunga ila usiharibiwe panya maana huwa wanaweza kula hata gunia moja likaisha)

Mwaka jana nilikuwa na gunia 30 za mpunga 15 nilipata hela nzuri kwakuwa mpunga ulikuwa fresh ila 15 nyingine niliuza kwa bei ndogo japokuwa sikupata hasara.

N.b; Ukizingatia hivyo vitu 3, ukauza bei nzuri sokoni utapiga sana hela mkuu, nataka nisifanye makosa tena najiandaa niingie porini.
Mtaji ni sh ngap?
 
mkuu siku hizi kuna ndoo za kupimia huo mpunga huko polini zimeshafanyiwa utundu kitaalamu ndoo moja inauzwa laki 2!!sio mchezo hata mkulima kuishitukia ni shida ila hizo nyingine za kutengeneza mwenyewe local wanazishitukia sana na utapelekwa hadi kwa mwenyekiti wa kijiji kwa uhujumu uchumi !!!tatizo la biashara ya kununua mpunga ni kwenye kuukagua ubora wake kwani huuoni unakuja kuukoboa baba ni chenga/biliani(rangi ya uvundo)tayari hasara tofauti na biashara ya. mchele unanunua kitu unachokiona.
Mwaka jana nilifanya biashara hii kidogo nipoteze mtaji ila changamoto kadhaa nilizoziona ni kuwa 1. nilikuwa naagiza mtu anunue mie natuma pesa tu na aliponunua aliweka kwenye store ya interior ambapo bei kipindi cha kuuza haikupanda sana kutokana na location ya store ilipo ila walioweka store za mjini waliuza kwa bei ya juu kidogo, 2. changamoto nyingine niliyokuja kuiona ni aina ya ndoo aliyokuwa anatumia kupima kipindi anakusanya mpunga toka kwa wakulima alitumia ndoo za kawaida tu ndio maana pengine faida ikawa almost haipo zaidi ya kurudisha mtaji tu.

Kwa hiyo mwaka huu nimeamua kununua ndoo ya kibiashara ambayo niliipata kwa laki mbili, lakini pia nitafanya usimamizi wa karibu nimebadilisha msimamizi wa zoezi la ukusanyaji nami ntakuwa nafika site mara kwa mara kuona mwenendo wa makusanyo na pia store lazima niweke mjini ambako kuna wafanyabiashara wengi wanaohitaji mchele mda wa kukoboa ukifika.
 
Mwaka jana nilifanya biashara hii kidogo nipoteze mtaji ila changamoto kadhaa nilizoziona ni kuwa 1. nilikuwa naagiza mtu anunue mie natuma pesa tu na aliponunua aliweka kwenye store ya interior ambapo bei kipindi cha kuuza haikupanda sana kutokana na location ya store ilipo ila walioweka store za mjini waliuza kwa bei ya juu kidogo, 2. changamoto nyingine niliyokuja kuiona ni aina ya ndoo aliyokuwa anatumia kupima kipindi anakusanya mpunga toka kwa wakulima alitumia ndoo za kawaida tu ndio maana pengine faida ikawa almost haipo zaidi ya kurudisha mtaji tu.

Kwa hiyo mwaka huu nimeamua kununua ndoo ya kibiashara ambayo niliipata kwa laki mbili, lakini pia nitafanya usimamizi wa karibu nimebadilisha msimamizi wa zoezi la ukusanyaji nami ntakuwa nafika site mara kwa mara kuona mwenendo wa makusanyo na pia store lazima niweke mjini ambako kuna wafanyabiashara wengi wanaohitaji mchele mda wa kukoboa ukifika.
Mkuu Morogoro mavuno yanaanza mwezi wangapi kama una taarifa .??
Na hiyo ndoo ya laki mbili ikoje.??
Na kingine bei za kuhifadhi zinakuwaje kwa gunia moja.?
 
Mwaka jana nilifanya biashara hii kidogo nipoteze mtaji ila changamoto kadhaa nilizoziona ni kuwa 1. nilikuwa naagiza mtu anunue mie natuma pesa tu na aliponunua aliweka kwenye store ya interior ambapo bei kipindi cha kuuza haikupanda sana kutokana na location ya store ilipo ila walioweka store za mjini waliuza kwa bei ya juu kidogo, 2. changamoto nyingine niliyokuja kuiona ni aina ya ndoo aliyokuwa anatumia kupima kipindi anakusanya mpunga toka kwa wakulima alitumia ndoo za kawaida tu ndio maana pengine faida ikawa almost haipo zaidi ya kurudisha mtaji tu.

Kwa hiyo mwaka huu nimeamua kununua ndoo ya kibiashara ambayo niliipata kwa laki mbili, lakini pia nitafanya usimamizi wa karibu nimebadilisha msimamizi wa zoezi la ukusanyaji nami ntakuwa nafika site mara kwa mara kuona mwenendo wa makusanyo na pia store lazima niweke mjini ambako kuna wafanyabiashara wengi wanaohitaji mchele mda wa kukoboa ukifika.
Mkuu unafanyia wapi hyo biashara?
 
Mkuu Morogoro mavuno yanaanza mwezi wangapi kama una taarifa .??
Na hiyo ndoo ya laki mbili ikoje.??
Na kingine bei za kuhifadhi zinakuwaje kwa gunia moja.?
ndoo za laki mbili zipo na sio kwamba ni mpya hapana ni hizi za rangi za lita 20!ila huwa zinafanyiwa utundu wa kuzipanua,kuhusu bei za kuhifadhia mpunga store ni kati ya 300-4000 kwa msimu mmoja!na hukatwa wakati wa kukoboa kama utakoboa
 
!
!
Chukua Ndoo Ya lita ishirini, kisha tia petroli kama lita nne hivi. Ukimaliza funika na nailon halafu bandika mfuniko kisha anika juani kwa siku kama tano hivi mfululizo. Baada ya hapo osha ndoo yako vizuri ingia nayo huko unakokwenda kununua huo mpunga wako. Tumia ndoo hiyo Kununulia, lakini kwenye kuuza unauza kwa kutumia ndoo ya kawaidia
Mdanganye,, siku hizi Wasukuma wanatumia ndoo zao kama hutaki tembea! Pia chunga sana siku hizi wanadaiwa kuonesha mashamba, ama sivyo unanyang'anywa mpunga wote! Hawa Usukumani wanaitwa "Bagalagaja"
 
Mdanganye,, siku hizi Wasukuma wanatumia ndoo zao kama hutaki tembea! Pia chunga sana siku hizi wanadaiwa kuonesha mashamba, ama sivyo unanyang'anywa mpunga wote! Hawa Usukumani wanaitwa "Bagalagaja"
Mambo ni moto, msimu huu lazima nikisanue kwenye mpunga, nalima mwenyewe, tena kando kando ya ziwa mvua ikizingua napiga irrigation
 
Back
Top Bottom