Ufafanuzi zaidi unahitajika kuhusu Tecno Camon C5

Snrmoudy

JF-Expert Member
Jul 6, 2016
282
173
Habar wana JamiiForums
Najua kuna walioitumia simu aina ya tecno camon c5 Lte.
Swali langu ni kwamba hii simu ina ubora kiasi gani?
Kwa aliye wahi itumia anaweza kuniambia kuhusiana na aina ya simu hii....
 
Bila Shaka uliipenda kwa kiona kwa mtu ni vema ukamuuluza huyo maana hapa sidhani kama utapa majibu sahii
 
Ni simu nzuri sana na ninaitumia takribani mwaka sasa.. Labda kama unaswali mkuu!
Angalizo:kwasasa kuna c5 fake nyingi tu sokoni.
 
mimi naitumia sasa hivi
kwa sisi wapenda selfie ina kamera nzuri sana..
pia ni nzuri inakaa na chaji
ila changamoto ni hizo
wakati mwingine inajifuta majina
afu inayarudisha baada ya muda

pia inaweza kujizima tu sasa sijui ni yangu tu ..
na hizo fake nowdays zimejaa sana
 
Kama unavyojua simu sokoni kwa sasa ni utitiri na umekuja vzr kuuliza maana ukiingia kichwa kichwa utalia kilio cha samaki.

Kuuliza ndio kujua jambo, kama unahitaji c5 ni cm nzuri na inaenda na wakati wa sasa ambao tunasema ni kizazi cha nne yaani 4g. Ukiwa nayo na kama line ya cm ni 4g basi c5 inakufaa.
Pia inakupa camera button ya pembeni huna haja ya ku click scree. Storage ni 8gb, ram 1gb na camera 8megapix na ya mbele ni 5 megapixel.Na ni long power saving mode.
Note :Tecno no power bank hapo ndio tofauti na makampuni mengine ya phone
 
mimi naitumia sasa hivi
kwa sisi wapenda selfie ina kamera nzuri sana..
pia ni nzuri inakaa na chaji
ila changamoto ni hizo
wakati mwingine inajifuta majina
afu inayarudisha baada ya muda

pia inaweza kujizima tu sasa sijui ni yangu tu ..
na hizo fake nowdays zimejaa sana
Looh...mie naihitaj
Coz nasikia iko poa pia ina 4g
Sasa cijajuwa iyo yakwako 4g ikoje
 
Kama unavyojua simu sokoni kwa sasa ni utitiri na umekuja vzr kuuliza maana ukiingia kichwa kichwa utalia kilio cha samaki.

Kuuliza ndio kujua jambo, kama unahitaji c5 ni cm nzuri na inaenda na wakati wa sasa ambao tunasema ni kizazi cha nne yaani 4g. Ukiwa nayo na kama line ya cm ni 4g basi c5 inakufaa.
Pia inakupa camera button ya pembeni huna haja ya ku click scree. Storage ni 8gb, ram 1gb na camera 8megapix na ya mbele ni 5 megapixel.Na ni long power saving mode.
Note :Tecno no power bank hapo ndio tofauti na makampuni mengine ya phone
Ahsante kwa ushauri wako kaka..
Bora niende Tigo shop nikapate og ijapokuwa watanicomand kutumia laini yao, ni bora kuliko kupuyanga kariakooo
 
Binafsi ni tecno user but hizi series za C zimenifanya nichukie tecno hadi basi. Yani nikisikia mtu anajichanga anunue simu ya tecno najisikia huruma sana.
 
mimi naitumia sasa hivi
kwa sisi wapenda selfie ina kamera nzuri sana..
pia ni nzuri inakaa na chaji
ila changamoto ni hizo
wakati mwingine inajifuta majina
afu inayarudisha baada ya muda

pia inaweza kujizima tu sasa sijui ni yangu tu ..
na hizo fake nowdays zimejaa sana
Vip kuhusu performance yake haistaki?
 
Binafsi ni tecno user but hizi series za C zimenifanya nichukie tecno hadi basi. Yani nikisikia mtu anajichanga anunue simu ya tecno najisikia huruma sana.
Huruma gani? Nna miezi 8 natumie 5 iko vizur sana,inakaa na chaji zaidi ya masaa 9 ,camera nzuri. Mpaka sasa sijaona tatizo la hii simu yangu na mzigo wa 4G unapiga fresh sana.
 
Vip kuhusu performance yake
Ikoje haistak

Na vip speed yake unapo clip apps
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom