Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,303
WAZIRI MKUU ALIDANGANYA TAIFA:
Waziri mkuu wa Tanzania anazidi kujitengenezea rekodi isiyofaa baada ya jana tena kuliongopea taifa kupitia bunge,Mh Pinda(mb) jana kwenye kipindi cha maswali kwa waziri mkuu aliutangazia umma kuwa yeye analipwa jumla ya tsh milioni sita iwapo atajumlisha na posho ya mkewe, waziri mkuu alitoa majibu hayo bila kufafanua kuhusu malipo mengine ayapatayo.
UKWELI WA MAPATO YA WAZIRI MKUU Waziri mkuu anapokea tsh mill 11.3 kama mshahara wa mbunge,anapokea tsh mill 6.2 kama mshahara wa waziri, pia anapokea tsh mill 4 na mkewe tsh mill 2 kama stahili ya waziri mkuu na mkewe, aidha waziri mkuu anapokea sitting allowance kubwa kuliko mbunge wa kawaida, na marupurupu kibao ambayo iwapo atachukua kwa pamoja basi ataingiza zaidi ya tsh mill 30 kwa mwezi mmoja.
Waziri mkuu wa Tanzania anazidi kujitengenezea rekodi isiyofaa baada ya jana tena kuliongopea taifa kupitia bunge,Mh Pinda(mb) jana kwenye kipindi cha maswali kwa waziri mkuu aliutangazia umma kuwa yeye analipwa jumla ya tsh milioni sita iwapo atajumlisha na posho ya mkewe, waziri mkuu alitoa majibu hayo bila kufafanua kuhusu malipo mengine ayapatayo.
UKWELI WA MAPATO YA WAZIRI MKUU Waziri mkuu anapokea tsh mill 11.3 kama mshahara wa mbunge,anapokea tsh mill 6.2 kama mshahara wa waziri, pia anapokea tsh mill 4 na mkewe tsh mill 2 kama stahili ya waziri mkuu na mkewe, aidha waziri mkuu anapokea sitting allowance kubwa kuliko mbunge wa kawaida, na marupurupu kibao ambayo iwapo atachukua kwa pamoja basi ataingiza zaidi ya tsh mill 30 kwa mwezi mmoja.