Ufafanuzi wa Wanyama wenye mfanano na Chui(Jamii ya Chui)

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
20,744
25,445
20800357_1636417903043743_8921250144341126479_n.jpg

Pichani uwaonao kwa ujumla wao unaweza kuwaita mapaka, nilichokifanya kwa leo nitakutajia kila mmoja kwa jina na sifa zake, ili siku ukimuona uweze kutoa taarifa kwa jina lake sahihi, usije sema chui kumbe ni vinginevyo, karibu......!

1. Mondo (Serval)
Ni mnyama mdogo jamii ya paka, kama walivyo wanyama wengine wawindaji naye hula nyama tuu, huwinda wanyama wadogo pamoja na ndege, ni mjanja mjanja wapo wa aina mbili huyu kafanana na chui lakini mwingine hufanana na simba, Sifa zake
  • Ndio mnyama mdogo jamii ya paka waishio polini kuliko wote
  • Ana uwezo wa ajabu katika kukamata ndege huweza kuruka naye angani anapojaribu kupaa.

2. Chui mweusi (black Panther)
kwa bahati mbaya mnyama huyu hatuna Tanzania wanapatikana sana amerika, naye chakula chake ni nyama tuu, sifa zake mbili
  • Tofauti na wenzie yeye ana rangi ya kipee nyeusi.
  • Ni bingwa sana wa kujificha hata kuonekana kwake ni nadra.

3. Chui milia (Tiger)
Kama walivyo wengine ni mla nyama, ndiye mnyama pekee jamii ya paka anayeweza kufugika kiurahisi, tofauti na wenzie wote ambao ni kama kunguru tuu, kama ni mfuatiliaji mzuri wa sanaa ya muziki, utakuwa umemuona akiwa na wasanii mbalimbali kama akina Eve nk. Na hapa nyumbani alitokeza katika video ya mwanamuziki Rich Mavoko, sifa zake
  • Ndiye mkubwa kwa umbo kuliko wote wa jamii yake na ukubwa wake huzidi kwa simba.
  • Ni mpole kupita kiasi.

4. Chui (Leopard)
Nadhani hapa kwetu huyu jamaa ndio maarufu kupita wote, na ndiye mnyama ambaye wanyama wenzie wa jamii yake huitwa jina lake, wana nguvu sana miguu ya mbele, katika wanyama walio ua binadamu anashika namba kumi, ni hatari na wakuogopwa zaidi, katika mapambano huwa hapimi mpaka aumie ndio atakimbia, sifa zake
  • Ni mnyama mzinzi kuliko wenzie wote, anahonga majike na yakishika mimba huyatekeleza.
  • Ana aibu sana ukimtizama atajifanya amelala ili msigongane macho, pia ana tabia ya uchoyo chakula chake huficha juu ya miti.

5. Duma (Cheetah)
Ukikaona ni kadogo dogo kwa umbile, mbuga kama serengeti vipo vya kutosha ni miongoni mwa wanyama ambao wapo katika hatari ya kutoweka duniani, kametawaliwa na hasira muda wote, na hupenda kutembea kwa makundi makundi, Sifa zake
  • Ndio mnyama anayeongoza kwa kukimbia kwa wanyama wa ardhini kuliko mnyama yoyote duniani.
  • Katika jamii yao huyu ndio mwenye mikwala usiombe ila wakimfuata anatumia kipaji chake (mbio).

6. Jagwa (Jaguar)
Anafanana sana na chui tofauti yao ni moja tuu huyu rangi yake imekolea sana, lakini usipokuwa makini yawezekana kabisa ukafikiri yeye ndio chui, lakini si rangi tuu hata baadhi ya matendo pia hufanana, sifa zake
  • Ni mkatili pasina mfano pamoja na uzuri alionao, akihasama mdomo wake huwa harudi nyuma vita yake ni mpaka mmoja afe ama yeye au wewe
  • Ana nguvu za ajabu ndio mnyama pekee ambaye huwawinda mamba na kuwatoa nchi kavu kisha kuwaua, kama umepata kuona baadhi ya video ukawa unasema chui amebeba mamba basi nakuhabarisha chui mchezo huo hauwezi kazi hiyo anafanyaga huyu bro
Miongoni mwa maajabu ya wanyama hawa pamoja kwamba wana ufanano wa hali ya juu, cha kushangaza ni maadui wanapokutana huweza kupigana mpaka kufa, tofauti na wanyawa wengine ambao huwa na ufanano, pengine hii ndiyo yaweza kuwa maana ya ule usemi unaomaanisha hali ya kutopatana (wale ni chui na paka.)

Je umefanana na paka yupi kati ya hao ?

Wasalaam !
 
20800357_1636417903043743_8921250144341126479_n.jpg

Pichani uwaonao kwa ujumla wao unaweza kuwaita mapaka, nilichokifanya kwa leo nitakutajia kila mmoja kwa jina na sifa zake, ili siku ukimuona uweze kutoa taarifa kwa jina lake sahihi, usije sema chui kumbe ni vinginevyo, karibu......!



1. Mondo (Serval)
Ni mnyama mdogo jamii ya paka, kama walivyo wanyama wengine wawindaji naye hula nyama tuu, huwinda wanyama wadogo pamoja na ndege, ni mjanja mjanja wapo wa aina mbili huyu kafanana na chui lakini mwingine hufanana na simba, Sifa zake 1. Ndio mnyama mdogo jamii ya paka waishio polini kuliko wote 2. Ana uwezo wa ajabu katika kukamata ndege huweza kuruka naye angani anapojaribu kupaa.



2. Chui mweusi (black Panther)
kwa bahati mbaya mnyama huyu hatuna Tanzania wanapatikana sana amerika, naye chakula chake ni nyama tuu, sifa zake mbili 1. Tofauti na wenzie yeye ana rangi ya kipee nyeusi. 2. Ni bingwa sana wa kujificha hata kuonekana kwake ni nadra.



3. Chui milia (Tiger)
Kama walivyo wengine ni mla nyama, ndiye mnyama pekee jamii ya paka anayeweza kufugika kiurahisi, tofauti na wenzie wote ambao ni kama kunguru tuu, kama ni mfuatiliaji mzuri wa sanaa ya muziki, utakuwa umemuona akiwa na wasanii mbalimbali kama akina Eve nk. Na hapa nyumbani alitokeza katika video ya mwanamuziki Rich Mavoko, sifa zake 1. Ndiye mkubwa kwa umbo kuliko wote wa jamii yake na ukubwa wake huzidi kwa simba. 2. Ni mpole kupita kiasi.



4. Chui (Leopard)
Nadhani hapa kwetu huyu jamaa ndio maarufu kupita wote, na ndiye mnyama ambaye wanyama wenzie wa jamii yake huitwa jina lake, wana nguvu sana miguu ya mbele, katika wanyama walio ua binadamu anashika namba kumi, ni hatari na wakuogopwa zaidi, katika mapambano huwa hapimi mpaka aumie ndio atakimbia, sifa zake 1. Ni mnyama mzinzi kuliko wenzie wote, anahonga majike na yakishika mimba huyatekeleza. 2. Ana aibu sana ukimtizama atajifanya amelala ili msigongane macho, pia ana tabia ya uchoyo chakula chake huficha juu ya miti.



5. Duma (Cheetah)
Ukikaona ni kadogo dogo kwa umbile, mbuga kama serengeti vipo vya kutosha ni miongoni mwa wanyama ambao wapo katika hatari ya kutoweka duniani, kametawaliwa na hasira muda wote, na hupenda kutembea kwa makundi makundi, Sifa zake 1. Ndio mnyama anayeongoza kwa kukimbia kwa wanyama wa ardhini kuliko mnyama yoyote duniani. 2. Katika jamii yao huyu ndio mwenye mikwala usiombe ila wakimfuata anatumia kipaji chake (mbio).



6. Jagwa (Jaguar)
Anafanana sana na chui tofauti yao ni moja tuu huyu rangi yake imekolea sana, lakini usipokuwa makini yawezekana kabisa ukafikiri yeye ndio chui, lakini si rangi tuu hata baadhi ya matendo pia hufanana, sifa zake 1. Ni mkatili pasina mfano pamoja na uzuri alionao, akihasama mdomo wake huwa harudi nyuma vita yake ni mpaka mmoja afe ama yeye au wewe 2. Ana nguvu za ajabu ndio mnyama pekee ambaye huwawinda mamba na kuwatoa nchi kavu kisha kuwaua, kama umepata kuona baadhi ya video ukawa unasema chui amebeba mamba basi nakuhabarisha chui mchezo huo hauwezi kazi hiyo anafanyaga huyu bro.



Miongoni mwa maajabu ya wanyama hawa pamoja kwamba wana ufanano wa hali ya juu, cha kushangaza ni maadui wanapokutana huweza kupigana mpaka kufa, tofauti na wanyawa wengine ambao huwa na ufanano, pengine hii ndiyo yaweza kuwa maana ya ule usemi unaomaanisha hali ya kutopatana (wale ni chui na paka.)

Je umefanana na paka yupi kati ya hao ?

Wasalaam !
Nzuri hii endelea kushusha elimu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye Jaguar unataka kutulisha matango pori. Jaguar hana ubavu wa kumtoa mamba kwenye maji. Kile unachokiona wale sio mamba ni Alligetor ambao wanafanana na mamba lakini sio mamba na hawakui zaidi ya hapo, hao Alligator ni wadogo kuliko Mamba, na hao Alligator wanapatikana Mabara ya America.

Alligator sio Crocodile
20800357_1636417903043743_8921250144341126479_n.jpg

Pichani uwaonao kwa ujumla wao unaweza kuwaita mapaka, nilichokifanya kwa leo nitakutajia kila mmoja kwa jina na sifa zake, ili siku ukimuona uweze kutoa taarifa kwa jina lake sahihi, usije sema chui kumbe ni vinginevyo, karibu......!

1. Mondo (Serval)
Ni mnyama mdogo jamii ya paka, kama walivyo wanyama wengine wawindaji naye hula nyama tuu, huwinda wanyama wadogo pamoja na ndege, ni mjanja mjanja wapo wa aina mbili huyu kafanana na chui lakini mwingine hufanana na simba, Sifa zake
  • Ndio mnyama mdogo jamii ya paka waishio polini kuliko wote
  • Ana uwezo wa ajabu katika kukamata ndege huweza kuruka naye angani anapojaribu kupaa.

2. Chui mweusi (black Panther)
kwa bahati mbaya mnyama huyu hatuna Tanzania wanapatikana sana amerika, naye chakula chake ni nyama tuu, sifa zake mbili
  • Tofauti na wenzie yeye ana rangi ya kipee nyeusi.
  • Ni bingwa sana wa kujificha hata kuonekana kwake ni nadra.

3. Chui milia (Tiger)
Kama walivyo wengine ni mla nyama, ndiye mnyama pekee jamii ya paka anayeweza kufugika kiurahisi, tofauti na wenzie wote ambao ni kama kunguru tuu, kama ni mfuatiliaji mzuri wa sanaa ya muziki, utakuwa umemuona akiwa na wasanii mbalimbali kama akina Eve nk. Na hapa nyumbani alitokeza katika video ya mwanamuziki Rich Mavoko, sifa zake
  • Ndiye mkubwa kwa umbo kuliko wote wa jamii yake na ukubwa wake huzidi kwa simba.
  • Ni mpole kupita kiasi.

4. Chui (Leopard)
Nadhani hapa kwetu huyu jamaa ndio maarufu kupita wote, na ndiye mnyama ambaye wanyama wenzie wa jamii yake huitwa jina lake, wana nguvu sana miguu ya mbele, katika wanyama walio ua binadamu anashika namba kumi, ni hatari na wakuogopwa zaidi, katika mapambano huwa hapimi mpaka aumie ndio atakimbia, sifa zake
  • Ni mnyama mzinzi kuliko wenzie wote, anahonga majike na yakishika mimba huyatekeleza.
  • Ana aibu sana ukimtizama atajifanya amelala ili msigongane macho, pia ana tabia ya uchoyo chakula chake huficha juu ya miti.

5. Duma (Cheetah)
Ukikaona ni kadogo dogo kwa umbile, mbuga kama serengeti vipo vya kutosha ni miongoni mwa wanyama ambao wapo katika hatari ya kutoweka duniani, kametawaliwa na hasira muda wote, na hupenda kutembea kwa makundi makundi, Sifa zake
  • Ndio mnyama anayeongoza kwa kukimbia kwa wanyama wa ardhini kuliko mnyama yoyote duniani.
  • Katika jamii yao huyu ndio mwenye mikwala usiombe ila wakimfuata anatumia kipaji chake (mbio).

6. Jagwa (Jaguar)
Anafanana sana na chui tofauti yao ni moja tuu huyu rangi yake imekolea sana, lakini usipokuwa makini yawezekana kabisa ukafikiri yeye ndio chui, lakini si rangi tuu hata baadhi ya matendo pia hufanana, sifa zake
  • Ni mkatili pasina mfano pamoja na uzuri alionao, akihasama mdomo wake huwa harudi nyuma vita yake ni mpaka mmoja afe ama yeye au wewe
  • Ana nguvu za ajabu ndio mnyama pekee ambaye huwawinda mamba na kuwatoa nchi kavu kisha kuwaua, kama umepata kuona baadhi ya video ukawa unasema chui amebeba mamba basi nakuhabarisha chui mchezo huo hauwezi kazi hiyo anafanyaga huyu bro
Miongoni mwa maajabu ya wanyama hawa pamoja kwamba wana ufanano wa hali ya juu, cha kushangaza ni maadui wanapokutana huweza kupigana mpaka kufa, tofauti na wanyawa wengine ambao huwa na ufanano, pengine hii ndiyo yaweza kuwa maana ya ule usemi unaomaanisha hali ya kutopatana (wale ni chui na paka.)

Je umefanana na paka yupi kati ya hao ?

Wasalaam !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu hapo kwenye black panther soma vizuri, black pather sio aina tofauti ya paka bali ni leopards (kwa africa na asia) au jaguar (kwa america) wanaokuwa na hali inaitwa 'melanistic colour' inayowafanya wawe na manyoya meusi ti! hali hiyo huwatokea hata wanyama wengine kama paka wa nyumbani na panya.
Hivyo ukiwa africa ukakutana na black panther basi ujue umekutana na chui/leopard mwenye manyoya meusi na ni adimu kwelikweli.
 
mkuu hapo kwenye black panther soma vizuri, black pather sio aina tofauti ya paka bali ni leopards (kwa africa na asia) au jaguar (kwa america) wanaokuwa na hali inaitwa 'melanistic colour' inayowafanya wawe na manyoya meusi ti! hali hiyo huwatokea hata wanyama wengine kama paka wa nyumbani na panya.
Hivyo ukiwa africa ukakutana na black panther basi ujue umekutana na chui/leopard mwenye manyoya meusi na ni adimu kwelikweli.
Mnatuchanganya sasa duuh
 
Huyo mweusi lufufu alimuita kipalago
20800357_1636417903043743_8921250144341126479_n.jpg

Pichani uwaonao kwa ujumla wao unaweza kuwaita mapaka, nilichokifanya kwa leo nitakutajia kila mmoja kwa jina na sifa zake, ili siku ukimuona uweze kutoa taarifa kwa jina lake sahihi, usije sema chui kumbe ni vinginevyo, karibu......!

1. Mondo (Serval)
Ni mnyama mdogo jamii ya paka, kama walivyo wanyama wengine wawindaji naye hula nyama tuu, huwinda wanyama wadogo pamoja na ndege, ni mjanja mjanja wapo wa aina mbili huyu kafanana na chui lakini mwingine hufanana na simba, Sifa zake
  • Ndio mnyama mdogo jamii ya paka waishio polini kuliko wote
  • Ana uwezo wa ajabu katika kukamata ndege huweza kuruka naye angani anapojaribu kupaa.

2. Chui mweusi (black Panther)
kwa bahati mbaya mnyama huyu hatuna Tanzania wanapatikana sana amerika, naye chakula chake ni nyama tuu, sifa zake mbili
  • Tofauti na wenzie yeye ana rangi ya kipee nyeusi.
  • Ni bingwa sana wa kujificha hata kuonekana kwake ni nadra.

3. Chui milia (Tiger)
Kama walivyo wengine ni mla nyama, ndiye mnyama pekee jamii ya paka anayeweza kufugika kiurahisi, tofauti na wenzie wote ambao ni kama kunguru tuu, kama ni mfuatiliaji mzuri wa sanaa ya muziki, utakuwa umemuona akiwa na wasanii mbalimbali kama akina Eve nk. Na hapa nyumbani alitokeza katika video ya mwanamuziki Rich Mavoko, sifa zake
  • Ndiye mkubwa kwa umbo kuliko wote wa jamii yake na ukubwa wake huzidi kwa simba.
  • Ni mpole kupita kiasi.

4. Chui (Leopard)
Nadhani hapa kwetu huyu jamaa ndio maarufu kupita wote, na ndiye mnyama ambaye wanyama wenzie wa jamii yake huitwa jina lake, wana nguvu sana miguu ya mbele, katika wanyama walio ua binadamu anashika namba kumi, ni hatari na wakuogopwa zaidi, katika mapambano huwa hapimi mpaka aumie ndio atakimbia, sifa zake
  • Ni mnyama mzinzi kuliko wenzie wote, anahonga majike na yakishika mimba huyatekeleza.
  • Ana aibu sana ukimtizama atajifanya amelala ili msigongane macho, pia ana tabia ya uchoyo chakula chake huficha juu ya miti.

5. Duma (Cheetah)
Ukikaona ni kadogo dogo kwa umbile, mbuga kama serengeti vipo vya kutosha ni miongoni mwa wanyama ambao wapo katika hatari ya kutoweka duniani, kametawaliwa na hasira muda wote, na hupenda kutembea kwa makundi makundi, Sifa zake
  • Ndio mnyama anayeongoza kwa kukimbia kwa wanyama wa ardhini kuliko mnyama yoyote duniani.
  • Katika jamii yao huyu ndio mwenye mikwala usiombe ila wakimfuata anatumia kipaji chake (mbio).

6. Jagwa (Jaguar)
Anafanana sana na chui tofauti yao ni moja tuu huyu rangi yake imekolea sana, lakini usipokuwa makini yawezekana kabisa ukafikiri yeye ndio chui, lakini si rangi tuu hata baadhi ya matendo pia hufanana, sifa zake
  • Ni mkatili pasina mfano pamoja na uzuri alionao, akihasama mdomo wake huwa harudi nyuma vita yake ni mpaka mmoja afe ama yeye au wewe
  • Ana nguvu za ajabu ndio mnyama pekee ambaye huwawinda mamba na kuwatoa nchi kavu kisha kuwaua, kama umepata kuona baadhi ya video ukawa unasema chui amebeba mamba basi nakuhabarisha chui mchezo huo hauwezi kazi hiyo anafanyaga huyu bro
Miongoni mwa maajabu ya wanyama hawa pamoja kwamba wana ufanano wa hali ya juu, cha kushangaza ni maadui wanapokutana huweza kupigana mpaka kufa, tofauti na wanyawa wengine ambao huwa na ufanano, pengine hii ndiyo yaweza kuwa maana ya ule usemi unaomaanisha hali ya kutopatana (wale ni chui na paka.)

Je umefanana na paka yupi kati ya hao ?

Wasalaam !
 
huyo mwenye rangi nyeusi huwa na macho makali sana mpaka anaogopesha, kama vipi tukawachukue huko wanakopatikana ili tuwaweke kwenye hifadhi zetu.
 
Sawa Mkuu, ila kikubwa ni kwamba yeyote utakayemuona kati ya hao toa nduki kama Mwijage teh teh teh
20800357_1636417903043743_8921250144341126479_n.jpg

Pichani uwaonao kwa ujumla wao unaweza kuwaita mapaka, nilichokifanya kwa leo nitakutajia kila mmoja kwa jina na sifa zake, ili siku ukimuona uweze kutoa taarifa kwa jina lake sahihi, usije sema chui kumbe ni vinginevyo, karibu......!

1. Mondo (Serval)
Ni mnyama mdogo jamii ya paka, kama walivyo wanyama wengine wawindaji naye hula nyama tuu, huwinda wanyama wadogo pamoja na ndege, ni mjanja mjanja wapo wa aina mbili huyu kafanana na chui lakini mwingine hufanana na simba, Sifa zake
  • Ndio mnyama mdogo jamii ya paka waishio polini kuliko wote
  • Ana uwezo wa ajabu katika kukamata ndege huweza kuruka naye angani anapojaribu kupaa.

2. Chui mweusi (black Panther)
kwa bahati mbaya mnyama huyu hatuna Tanzania wanapatikana sana amerika, naye chakula chake ni nyama tuu, sifa zake mbili
  • Tofauti na wenzie yeye ana rangi ya kipee nyeusi.
  • Ni bingwa sana wa kujificha hata kuonekana kwake ni nadra.

3. Chui milia (Tiger)
Kama walivyo wengine ni mla nyama, ndiye mnyama pekee jamii ya paka anayeweza kufugika kiurahisi, tofauti na wenzie wote ambao ni kama kunguru tuu, kama ni mfuatiliaji mzuri wa sanaa ya muziki, utakuwa umemuona akiwa na wasanii mbalimbali kama akina Eve nk. Na hapa nyumbani alitokeza katika video ya mwanamuziki Rich Mavoko, sifa zake
  • Ndiye mkubwa kwa umbo kuliko wote wa jamii yake na ukubwa wake huzidi kwa simba.
  • Ni mpole kupita kiasi.

4. Chui (Leopard)
Nadhani hapa kwetu huyu jamaa ndio maarufu kupita wote, na ndiye mnyama ambaye wanyama wenzie wa jamii yake huitwa jina lake, wana nguvu sana miguu ya mbele, katika wanyama walio ua binadamu anashika namba kumi, ni hatari na wakuogopwa zaidi, katika mapambano huwa hapimi mpaka aumie ndio atakimbia, sifa zake
  • Ni mnyama mzinzi kuliko wenzie wote, anahonga majike na yakishika mimba huyatekeleza.
  • Ana aibu sana ukimtizama atajifanya amelala ili msigongane macho, pia ana tabia ya uchoyo chakula chake huficha juu ya miti.

5. Duma (Cheetah)
Ukikaona ni kadogo dogo kwa umbile, mbuga kama serengeti vipo vya kutosha ni miongoni mwa wanyama ambao wapo katika hatari ya kutoweka duniani, kametawaliwa na hasira muda wote, na hupenda kutembea kwa makundi makundi, Sifa zake
  • Ndio mnyama anayeongoza kwa kukimbia kwa wanyama wa ardhini kuliko mnyama yoyote duniani.
  • Katika jamii yao huyu ndio mwenye mikwala usiombe ila wakimfuata anatumia kipaji chake (mbio).

6. Jagwa (Jaguar)
Anafanana sana na chui tofauti yao ni moja tuu huyu rangi yake imekolea sana, lakini usipokuwa makini yawezekana kabisa ukafikiri yeye ndio chui, lakini si rangi tuu hata baadhi ya matendo pia hufanana, sifa zake
  • Ni mkatili pasina mfano pamoja na uzuri alionao, akihasama mdomo wake huwa harudi nyuma vita yake ni mpaka mmoja afe ama yeye au wewe
  • Ana nguvu za ajabu ndio mnyama pekee ambaye huwawinda mamba na kuwatoa nchi kavu kisha kuwaua, kama umepata kuona baadhi ya video ukawa unasema chui amebeba mamba basi nakuhabarisha chui mchezo huo hauwezi kazi hiyo anafanyaga huyu bro
Miongoni mwa maajabu ya wanyama hawa pamoja kwamba wana ufanano wa hali ya juu, cha kushangaza ni maadui wanapokutana huweza kupigana mpaka kufa, tofauti na wanyawa wengine ambao huwa na ufanano, pengine hii ndiyo yaweza kuwa maana ya ule usemi unaomaanisha hali ya kutopatana (wale ni chui na paka.)

Je umefanana na paka yupi kati ya hao ?

Wasalaam !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom