james chapacha
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 939
- 200
Search...............................
Na serikali ya "Liwalo na liwe"sasa kama hali ndiyo hii, watanzania tufike mahali
tuseme inatosha. Mbona wanatufanya sisi ni watoto wadogo? Yote haya ni matokeo ya kuwa na uongozi dhaifu.
angekutajia na jina ingekua vizuri.
Hii imetoka kwa askari polisi wa upelelezi yaani CID, kuwa jamaa aliyekamatwa akidaiwa kwenda kutubu kanisa la ufufuo na uzima ni ofisa wa usalama wa taifa anajulikana sana. Na ndiyo maana mpaka leo hajawahi kupigwa picha, na hata mahakamani alipelekwa kimya kimya, lengo likiwa ni lile alilolitaja jana Kova kwamba suala hilo lisiongelewe kwa sababu lipo mahakamani. WanaJF hii ni sana kweli huyo jamaa ni mtu wao
Mbona picha tunazo tayari. Tunasuburi tu tuone janja ya Kova.kwakweli mimi ni miongoni mwa wanaosoma thread zote katika ukwaa hili ila siku ingawa si mchangiaji sana ila leo nimevutika kuchangia kitu kimoja hapa.
Hivi jamani kwanini tunakubali akili zetu kuendeshwa kama feni? so long as iko on na kuna power basi itazunguka wee bila kuchoka. Zimekuja thread nyingi sana juu ya huyu mkenya lakin cha ajabu hakuna hata moja ambayo tumeonyeshwa picha ama kutajiwa jina sahiihi la muhusika. kibaya zaid mara tunaambiwa Gwajima kakakunusha habari hii.
sasa sisi kama GTs twapaswa kuelewa kwamba yatupasa tufike mahali tuwe na mtazamo mpana sana. siamini kweli miongoni mwa memba zaid ya laki mja akosekane mmoja mwwenye uwezo angalau wa kutuletea picha na jina kamili ili tumjue.
pia huyu Kova ukiangalia ka undani hana kosa manake kama anapokea oda kurtoka juu what do you expect? sitegemei Kova aje atusmiulie mapungufu ya serkali wala atuambie mipango ya serkali. so to me ifike mahali kwamba unazo evidence zote ndipo uanzishe uzi
Mkuu umenichekesha sana!kumbe na wenyewe wanaogopa kufae!dah
Mmmh siamini kama ni ofisa wa usalama wa taifa, ingekuwa hivyo hata asingekamatwa
ulimboka nae atakuja na single yake.
kwakweli mimi ni miongoni mwa wanaosoma thread zote katika ukwaa hili ila siku ingawa si mchangiaji sana ila leo nimevutika kuchangia kitu kimoja hapa.
Hivi jamani kwanini tunakubali akili zetu kuendeshwa kama feni? so long as iko on na kuna power basi itazunguka wee bila kuchoka. Zimekuja thread nyingi sana juu ya huyu mkenya lakin cha ajabu hakuna hata moja ambayo tumeonyeshwa picha ama kutajiwa jina sahiihi la muhusika. kibaya zaid mara tunaambiwa Gwajima kakakunusha habari hii.
sasa sisi kama GTs twapaswa kuelewa kwamba yatupasa tufike mahali tuwe na mtazamo mpana sana. siamini kweli miongoni mwa memba zaid ya laki mja akosekane mmoja mwwenye uwezo angalau wa kutuletea picha na jina kamili ili tumjue.
pia huyu Kova ukiangalia ka undani hana kosa manake kama anapokea oda kurtoka juu what do you expect? sitegemei Kova aje atusmiulie mapungufu ya serkali wala atuambie mipango ya serkali. so to me ifike mahali kwamba unazo evidence zote ndipo uanzishe uzi