Magari damu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 430
- 749
Kuna gari nimepishana nayo hapa ina hizi number plate. Mwenye maelezo kidogo jamani.
Chassis number hio. Kirefu ilitakiwa WDD212......Kuna gari nimepishana nayo hapa ina hizi number plate. Mwenye maelezo kidogo jamani.View attachment 2030542
Siku hizi chassis number kumbe unatengeneza vizuri hivyo? I bet you pay more!Chassis number hio. Kirefu ilitakiwa WDD212......
Gari ya showroom. Hawaweki full chassis number. Wanachukua few letters na digitsSiku hizi chassis number kumbe unatengeneza vizuri hivyo? I bet you pay more!
Asante. Sikuwa nafahamu hili.Gari ya showroom. Hawaweki full chassis number. Wanachukua few letters na digits
Nadhani the owner kuna number anayosubiri ndio maana ameweka chassis plate numberGari ya showroom. Hawaweki full chassis number. Wanachukua few letters na digits
Mjomba kama ulikua haufahamu unaweza kata bima comprehensive kwa kutumia chasis nambaKuna watu wanaushamba flan tuseme mtu akinunua gari mpya kama anapata wehu. Kutembelea gari na hzo chasis no ni risky sana, coz hata ukigongwa ni ngumu sana kushinda kesi kwasababu sheria hairuhisu na ukiona hvo ujue gari kuna vitu haijapass tbs au imetoka show room.
Narud kwenye point jana kuna jamaa kagongwa na alikua na Bima X5 imegongwa mbele ubavuni haitamaniki kufuatilia jamaa ndo alikua na wenge sasa jamaa kaambiwa amlipe na jamaa wa town hiace. Gari ilikua imetoka bandarin ile.
Mjomba kama ulikua haufahamu unaweza kata bima comprehensive kwa kutumia chasis namba
Mko makini sana kufuatilia Mambo ya kijingajinga. Laiti mngekuwa hodari kama hivi kufuatilia kanuni/policies gani za kiuchumi zitaboresha maisha ya watanzania tungekuwa mbali Sana .Kuna gari nimepishana nayo hapa ina hizi number plate. Mwenye maelezo kidogo jamani.View attachment 2030542
Gari ya showroom. Hawaweki full chassis number. Wanachukua few letters na digits
Wewe uliye "hodari kama hivi kufatilia kanuni/policies" umefika mbali kiasi gani?Mko makini sana kufuatilia Mambo ya kijingajinga. Laiti mngekuwa hodari kama hivi kufuatilia kanuni/policies gani za kiuchumi zitaboresha maisha ya watanzania tungekuwa mbali Sana .
Hio najua ila sheria hairuhusu kutembea na kibao chenye chasis mzeee ndomana police wakikudaka hawakuachi hvhv
Ndio kwanza yuko JF anapiga umbeaWewe uliye "hodari kama hivi kufatilia kanuni/policies" umefika mbali kiasi gani?
Ulipigwa Ban naona umerudiWewe uliye "hodari kama hivi kufatilia kanuni/policies" umefika mbali kiasi gani?
Hahahah.. Naona umenigeuzia kibao.Ulipigwa Ban naona umerudi
Inategemea ni wakati gani. Kama hayajafanyika mabadiliko, unaweza kutembea na gari yenye hizo namba mchana ila sio zaidi ya saa 12 jioni.
Ukisema hairuhusiwi kutembea nazo, ukitoka nayo showroom au bandarini unaibeba mfukoni?