Ufafanuzi wa barabara ya itakayojengwa kutoka pugu hadi bunju kupitia mbezi mwisho-mpiji magoe.

Omukitwe

Member
Mar 29, 2016
91
91
Naomba kama kuna mtu ana access plan ya hii barabara anisaidie. Je hii barabara itakayojengwa kuanzia pugu kwenda bunju kupitia mbezi mwisho itapita barabara zipi kati ya hizi mbili?? Ile iliyopo pale kwa Yusuph kupitia mbezi high school au ile inayokwenda na ile iendayo goba ikachepuka pale mbele? Naomba mnisaidie ili nifanye maamuzi sahihi.
 
Kama una kakibanda kako kwenye moja ya hizo barabara anza kukasogeza kabisa, usije hapa tena kutuchafulia screen zetu kwa machozi yako.
 
Naomba kama kuna mtu ana access plan ya hii barabara anisaidie. Je hii barabara itakayojengwa kuanzia pugu kwenda bunju kupitia mbezi mwisho itapita barabara zipi kati ya hizi mbili?? Ile iliyopo pale kwa Yusuph kupitia mbezi high school au ile inayokwenda na ile iendayo goba ikachepuka pale mbele? Naomba mnisaidie ili nifanye maamuzi sahihi.

Unataka ukapasue nazi njia panda
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom