Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,024
- 24,374
Wajuzi wa mambo tafadhali, hebu kwa wanaoelewa na kujua watufafanulie na kutujuza hili jambo!
Katika ufunguzi wa tamasha la utamaduni Rais Samia Suluhu alivishwa vazi la kabila la wachaga lenye rangi za chui na Chief(Mangi) Marealle ambaye nae pia alikuwa amevaa vazi la aina hiyo!
Sasa je yale mavazi ni kweli yametengenezwa kwa ngozi halisi ya chui au ni nakshi tu. Na kama ni ngozi halisi ya chui, hao chui wanapatikanaje na kwa utaratibu gani maana tunajua chui ni miongoni mwa nyara za taifa.
Wenye historia au namna halisi ya utengenezaji wa hilo vazi tafadhali watujuze!
Katika ufunguzi wa tamasha la utamaduni Rais Samia Suluhu alivishwa vazi la kabila la wachaga lenye rangi za chui na Chief(Mangi) Marealle ambaye nae pia alikuwa amevaa vazi la aina hiyo!
Sasa je yale mavazi ni kweli yametengenezwa kwa ngozi halisi ya chui au ni nakshi tu. Na kama ni ngozi halisi ya chui, hao chui wanapatikanaje na kwa utaratibu gani maana tunajua chui ni miongoni mwa nyara za taifa.
Wenye historia au namna halisi ya utengenezaji wa hilo vazi tafadhali watujuze!