Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

Fanya simple research, ni vifaa gani vya urembo vyenye demand kubwa kwa hao wadada na pia nikushauri usiji limit tu maofisini angalia pia kwenye vyuo mbalimbali vya Dar hata vya mikoani.

Then tafuta mtu anayefanya biashara kama hiyo na umfuate akupe ABC ingawa hili kwa wa bongo ni gumu kidogo in case ukakosa mentor ingia kariakoo fanya research ya kutosha ya Aina ya products unazotaka pamoja na bei.

Then anza na bidhaa chache ili ku create awareness na ucheck response ikoje then expand according to the demand.
Mwisho,epuka kukopesha kama hakuna ulazima. All the best!
 
Hongera kwa kuwa una nia ya kujaribu kwa kuanzia unaweza kununua online kwa jumla bei ambayo sio kubwa kulinganisha na kununua madukani hapa TZ. zipo makala nyingi zinazoeleza jinsi unavyoweza kununua bidhaa kutoka nje na zikufikie bila usumbufu wowote. ingia hapa kuangalia bei na kupata uzoefu http://www.aliexpress.com/category/1509/jewelry.html?spm=2114.20020108.1.67.xTCWx8.
Ukiona unakwama sema unaweza kusaidika.

Karibu
 
Ushauri wangu kwenye biashara yako kuliko kukopesha, heri vipodozi ubaki navyo utatumia mwenyewe, watu hawalipi. Nakutakia kila la heri.
 
Habari za jioni wakuu,

Nina imani humu wote ni great thinkers.

Ninaomba mnisaidie mawazo wakuu mimi ni binti mdogo tu 24 lakini nimechoka na Kazi za kuajiriwa na ukizingatia kipindi hiki kigumu ajira hakuna nimekuwa na mawazo ya kujiajiri hasa biashara ya urembo wa wanawake niwe napitisha maofisini lakini the thing is sina uzoefu na that kind of business na pia sijui pa kuanzia.

Capital sio tatizo ila tatizo naomba mawazo yenu wakuu pa kuanzia au ambapo naweza pata huo mzigo ili nianze kusambaza.
Asanteni
Nakushauri:

1. Vipodozi utavipata kutoka kwenye maduka ya jumla ya vipodozi ambayo yamejaa pale Kariakoo mtaa wa Msimbazi. Kuwa makini sana na vipodozi feki, vilivyopigwa marufuku na visivyosajiliwa

2. Andaa business card, begi la kubebea vipodozi vyako na mifuko ya kuwawekea wateja wako bidhaa utakazowauzia

3. Sana sana lenga kuuza. Utaanza kukopesha mtu akishakuwa mteja wako tayari na ashaanza kukuingizia faida kiasi. Pia utakopesha watu ambao una uhakika nao sio wasumbufu na wale ambao watakuwa referred na wateja wako wengine.

4. Vipodozi vipo vya aina nyingi sana. Lakini ambavyo vitaweza kukutoa haraka kwa hapa Dar ni Perfume, Deodorants na Lotion. Changamoto ni kila mteja kutaka perfume au deodorant au lotion ya aina yake, na tofauti na zile ambazo wewe unazo. Hapa utakuwa unachukua order na kumuahidi kumletea huyo mtu siku inayofuata, na usikose kumpelekea.

5. Jenga network nzuri kwa ajili ya biashara yako. Jichanganye sana na watu na omba watu hao wawajuze watu wengine kuhusu wewe na wakusaidie wewe kuwafikia watu wengine. Chukua namba za wateja wako na wafahamishe ukiwa na mzigo mpya, bidhaa zingine na hata ukiona muda mrefu umepita hawajanunua chochote.

6. Anza na vipodozi vya bei ya wastani (Sh 5,000/= - 20,000/=). Hivyo wateja wake ni wengi zaidi na mzunguko wake ni mkubwa zaidi.

7. Wasome vizuri na kuwa makini na wateja wako. UKICHEKA NA NYANI UTAVUNA MABUA

Mimi nafanya biashara ya uzuri, urembo na vipodozi. Ingawa kwa mtindo mwingine.

Nakutakia kila la kheri!
 
Kwa haya maelezo yako hapa dada wewe tayari umeshapiga nusu hatua, cha msingi ni kumalizia tu hiyo hatua iliyobaki. Nakushauri

1. Vipodozi utavipata kutoka kwenye maduka ya jumla ya vipodozi ambayo yamejaa pale Kariakoo mtaa wa Msimbazi. Kuwa makini sana na vipodozi feki, vilivyopigwa marufuku na visivyosajiliwa

2. Andaa business card, begi la kubebea vipodozi vyako na mifuko ya kuwawekea wateja wako bidhaa utakazowauzia

3. Sana sana lenga kuuza. Utaanza kukopesha mtu akishakuwa mteja wako tayari na ashaanza kukuingizia faida kiasi. Pia utakopesha watu ambao una uhakika nao sio wasumbufu na wale ambao watakuwa referred na wateja wako wengine

4. Vipodozi vipo vya aina nyingi sana. Lakini ambavyo vitaweza kukutoa haraka kwa hapa Dar ni Perfume, Deodorants na Lotion. Changamoto ni kila mteja kutaka perfume au deodorant au lotion ya aina yake, na tofauti na zile ambazo wewe unazo. Hapa utakuwa unachukua order na kumuahidi kumletea huyo mtu siku inayofuata, na usikose kumpelekea.

5. Jenga network nzuri kwa ajili ya biashara yako. Jichanganye sana na watu na omba watu hao wawajuze watu wengine kuhusu wewe na wakusaidie wewe kuwafikia watu wengine. Chukua namba za wateja wako na wafahamishe ukiwa na mzigo mpya, bidhaa zingine na hata ukiona muda mrefu umepita hawajanunua chochote.

6. Anza na vipodozi vya bei ya wastani (Sh 5,000/= - 20,000/=). Hivyo wateja wake ni wengi zaidi na mzunguko wake ni mkubwa zaidi

7. Wasome vizuri na kuwa makini na wateja wako. UKICHEKA NA NYANI UTAVUNA MABUA

Mimi nafanya biashara ya uzuri, urembo na vipodozi. Ingawa kwa mtindo mwingine.
Nakutakia kila la kheri!
Nashukuru sana mkuu kwa mawazo yako yaani umeongea kama ulikuwa kwenye mind yangu juu ya bidhaa nayotaka kuanza nayo.
 
WanaJF ninawasalimu.

Naomba msaada kwa wale wanaoijua vema biashara ya urembo na vipodozi, ni wapi naweza kupata mzigo wa jumla kwa bei rahisi. Je, naweza nikaanza kwa mtaji kiasi gani ukiondoa gharama za fremu, kwa mnaojua naomba mnisaidie.
 
WanaJF ninawasalimu.

Naomba msaada kwa wale wanaoijua vema biashara ya urembo na vipodozi, ni wapi naweza kupata mzigo wa jumla kwa bei rahisi, je naweza nikaanza kwa mtaji kiasi gani ukiondoa gharama za fremu, kwa mnaojua naomba mnisaidie.
Biashara ya urembo ni pana kidogo cjui unataka kudeal na vitu gani Zaidi? Anyway

Kama upo dar ukienda Kariakoo pale ule mbezi/Kimara uraona maduka mengi ya nywele (rasta na weavings) pamoja na vipodozi vya aina zote. Pale utapata vitu hivyo kwa bei ya jumla. Kisha ukifika jengo la Simba, vuka upande wa pili wa barabara utaona mtaa Fulani unaingia pale opp na hilo jengo (Sifahamu jina la mtaa). Huo mtaa utaona maduka mengi ya urembo (cheni, hereni, bangili, s/tight, lipstics na mazaga zaga karibia yote ya urembo wa kina dada kwa bei za jumla.

Nadhani nimekupa mwanga kidogo.
 
Biashara ya urembo ni pana kidogo cjui unataka kudeal na vitu gani Zaidi? Anyway

Kama upo dar ukienda Kariakoo pale ule mbezi/Kimara uraona maduka mengi ya nywele (rasta na weavings) pamoja na vipodozi vya aina zote. Pale utapata vitu hivyo kwa bei ya jumla. Kisha ukifika jengo la Simba, vuka upande wa pili wa barabara utaona mtaa Fulani unaingia pale opp na hilo jengo (Sifahamu jina la mtaa). Huo mtaa utaona maduka mengi ya urembo (cheni, hereni, bangili, s/tight, lipstics na mazaga zaga karibia yote ya urembo wa kina dada kwa bei za jumla.

Nadhani nimekupa mwanga kidogo.
Ahsante ndugu umenipa mwanga to the maximum lengo langu ni kudeal na vipodozi na hizo chain, bangili, hereni na sio nywele!

Ahsante sana!
 
Ahsante ndugu umenipa mwanga to the maximum lengo langu ni kudeal na vipodozi na hizo chain, bangili, hereni na sio nywele!!!

Ahsante sana!
Vyote unavyotaka vinapatikana maeneo hayo kaka. Hata leo nimeenda kuchukua mzigo. Ukiwa tayari unaweza kunicheki inbox naweza kukuelekeza vizuri hata kukupeleka kama nitakuwa na muda.
 
Vyote unavyotaka vinapatikana maeneo hayo kaka. Hata leo nimeenda kuchukua mzigo. Ukiwa tayari unaweza kunicheki inbox naweza kukuelekeza vizuri hata kukupeleka kama nitakuwa na muda
Nitajitahidi jamaa angu saivi niko mbeya nikija Dar ntakushtua.
 
Kwa anayetaka bidhaa za vipodozi kama cream, lotion, mafuta, body spray tuwasiliane, shemeji yenu anabadilisha biashara so anauza bidhaa zake, bei ni maelewano na itakuwa pungufu ya bei ya jumla kwa kila kitu. ni bidhaa za duka zima zinauzwa.
 
Nitajitahidi jamaa angu saivi niko mbeya nikija dar ntakushtua....!!

Mkuu nicheki nina baadhi ya bidhaa za duka la vipodozi naziuza. duka la wife analifunga na kufanya biashara ya ufugaji..so tunauza bidhaa za hilo duka kwa bei ya chini pungufu hata bei za jumla Kariakoo.
 
Mkuu nicheki nina baadhi ya bidhaa za duka la vipodozi naziuza. duka la wife analifunga na kufanya biashara ya ufugaji..so tunauza bidhaa za hilo duka kwa bei ya chini pungufu hata bei za jumla kariakoo.
Mkuu vinauzwaje hivyo vipodozi mkuu.
 
Halafu jiandae kisaikolojia kwa upande wa vipodozi kuhusu kuexpire na mikikimikiki ya TFDA, hawa wako sensitive sana katika biashara hizo, wanaingia hadi dukani kutafuta vipodozi haramu mfano karolait,na hizo haramu ndio zinauzika kinoma, inabidi ukiweka uuze kama.bange.
 
Halafu jiandae kisaikolojia kwa upande wa vipodozi kuhusu kuexpire na mikikimikiki ya TFDA, hawa wako sensitive sana katika biashara hizo, wanaingia hadi dukani kutafuta vipodozi haramu mfano karolait,na hizo haramu ndio zinauzika kinoma, inabidi ukiweka uuze kama.bange
Ajabu Wanawake Wengi Wanazipenda!
 
Back
Top Bottom