Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

Ndugu Kama Ni Uswahili Kuna Vipodoz Vyao wanavyo afford..Lotion Inaweza Kununuliwa Na wanaSinza Ukipeleka Gongo La Mboto Lazima Ikutoe Urojo.
 
Niko Cabodelgado babu!! Unauzoefu wowote unisaidie?

Kwanza kabisa unatakiwa ujue sheria za ureno zinasemaje kuhusu uingizaji wa vipodozi.
Pili utaratibu wa permit na leseni ukoje. Then import duty ikoje, vipodozi gani haviruhusiwi etc. Wengine watajazia nao
 
Vip kuhusu biashara ya cosmetics iko vipi? Naamanisha mtaji mzuri wa kuanzia pamoja gharama za leseni
& tin na hao TFDA.

Mwenye uelewa kuhusu hili anisaidie nipo gongo la mboto naipenda sana biashara hii nipo tayari kuifanya nikipata msaada mzuri wa ufanyaji wake.
 
Biashara yoyote, ianza kutokana na mtaji wako ila kiukweli biashara ya vipodozi unahitajika uwe na mtaji mkubwa kidogo ili uwe japo na kila aina ya kipodozi, lakini pia ni vyema ujue ni aina gani ya kipodozi vinatoka sana!

Pale Kariakoo, wanapo nunua vipodozi vya jumla ili kwenda kuviuza rejareja mtaani, taratibu ukizoea na wakikuzoea utapata na vile vipodozi vilivyopigwa marufuku, ambavyo kikweli ndio vinafaida kubwa ukienda kuuza dukani kwako!

Swala la leseni zake, kwa maduka ya rejareja hilo silijui lipo vipi, nadhani watakuja wanaojua zaidi watakupa majawabu!

Fanya hivi;-

Nenda Kariakoo, kuna eneo linaitwa Sabasaba lipo oppst na fuel station ya Bigbon ukivuka ukiuvuka mtaa wa msimbazi (ulizia maduka ya mama mmoja anaitwa Sharifa) yeye ni importer mkubwa sana wa vipodozi nchini!

Na ni Muislam safi mcha Mungu.

Usipomkuta yeye, basi vijana wake wapo, waulize chochote watakupa msaaada unaoutakankama ni aina gani ya vipodozi vya kuanza navyo kuvinunua kwa bisahara yako, na ni sh ngapi at least uanze nayo!

Pale Sabasaba, kuna maduka mengi sana, ila nimekuelekeza kwa huyo mdada kwakua yeye au vijana wake hawata take advantage ya ugeni wako wa biashara ili wakuuzie vipodozi ambavyo haviuziki sana au wakulalie bei ila kwa kadiri siku zinaenda utazidi kuyajua maduka mengi, na utafahamiana na watu wengi na mbinu nyingi!

Mwisho, nikutakie kila la kheri kwa biashara yako mpya unayotaka kuianza, ila kuwa mwangalifu na expire date at all time!
 
Biashara yoyote, ianza kutokana na mtaji wako ila kiukweli biashara ya vipodozi unahitajika uwe na mtaji mkubwa kidogo ili uwe japo na kila aina ya kipodozi, lakini pia ni vyema ujue ni aina gani ya kipodozi vinatoka sana!

Pale Kariakoo, wanapo nunua vipodozi vya jumla ili kwenda kuviuza rejareja mtaani, taratibu ukizoea na wakikuzoea utapata na vile vipodozi vilivyopigwa marufuku, ambavyo kikweli ndio vinafaida kubwa ukienda kuuza dukani kwako!

Swala la lesni zake, kwa maduka ya rejareja hilo silijui lipo vipi, nadhani watakuja wanaojua zaidi watakupa majawabu!

Fanya hivi;-
Nenda Kariakoo, kuna eneo linaitwa Sabasaba lipo oppst na fuel station ya bigbon ukivuka ukiuvuka mtaa wa msimbazi (ulizia maduka ya mama mmoja anaitwa Sharifa) yeye ni importer mkubwa sana wa vipodozi nchini!

Na ni Muislam safi mcha Mungu!

Usipomkuta yeye, basi vijana wake wapo...waulize chochote watakupa msaaada unaoutakankama ni aina gani ya vipodozi vya kuanza navyo kuvinunua kwa bisahara yako, na ni sh ngapi at least uanze nayo!

Pale Sabasaba, kuna maduka mengi sana, ila nimekuelekeza kwa huyo mdada kwakua yeye au vijana wake hawata take advantage ya ugeni wako wa biashara ili wakuuzie vipodozi ambavyo haviuziki sana au wakulalie bei ila kwa kadiri siku zinaenda utazidi kuyajua maduka mengi, na utafahamiana na watu wengi na mbinu nyingi!

Mwisho, nikutakie kila la kheri kwa biashara yako mpya unayotaka kuianza, ila kuwa mwangalifu na expire date at all time!

Kudos to you, big boss.
 
Habari wana JF,
Napenda kuuliza na kupata ushauri wenu kuhusu kuanzisha duka la jumla la bidhaa za vipodozi na urembo (cosmetics/beauty products), na pia nywele kuwauzia wafanya biashara wa rejereja/wasambazaji

1. Je, biashara hii inalipa?

2. Je, kuna wajasirimali ambao wangependa kufanya biashara ya kuuza vipodozi kwa rejareja?

3. Je, wajasirimali hao warejareja wangependa kuwalenga/kawauzia wateja wa tabaka gani - la juu, kati, au la chini (upper class, middle, or below)?

4. Ni vipodozi na urembo gani vinavyotakiwa (vyenye soko)?

Kama pia unafahamu changamoto zake.

Naomba ushauri kuhusu biashara hii.

Sehemu ni kwa Dar na mikoani.


Natanguliza shukurani kwa chochote kile utakachoweza kuchangia - wazo, ushari, chochote kile unachokifahamu.
 
Habari wana JF,
Napenda kuuliza na kupata ushauri wenu kuhusu kuanzisha duka la jumla la bidhaa za vipodozi na urembo (cosmetics/beauty products), na nywele kuwauzia wafanya biashara wa rejereja/wasambazaji

1. Je, biashara hii inalipa?

2. Je, kuna wajasirimali ambao wangependa kufanya biashara ya kuuza vipodozi kwa rejareja?

3. Je, wajasirimali hao warejareja wangependa kuwalenga/kawauzia watu wa tabaka gani - la juu, kati, au la chini (upper-class, middle, or below)?

4. Ni vipodozi na urembo gani vinavyotakiwa (vyenye soko)?

Kama pia unafahamu changamoto zake.

Naomba ushauri kuhusu biashara hii.

Sehemu ni kwa Dar na mikoani.

Natanguliza shukurani kwa chochote kile utakachoweza kuchangia - wazo, ushari, chochote kile unachokifahamu.
 
Biashara hiyo ni nzuri... ila wateja hupenda kukopa kopa "Kama utaweza kukusanya mauzo in time, hapo poa"
Madua ya jumla yapo kariakoo.. na wapo waletaji vipodozi kutoka Dubai,China,Thai' nk..nk
 
Samsara Katika biashara hiyo. la muhimu ujue bei za kuwauzia wateja wako (bei ni kitu cha lazima)
Good Luck, wanzo mgumu.. ila tapick-up !!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom