Wizara ya Afya Tanzania
Official Account
- Oct 1, 2020
- 58
- 124
Kwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya COVID-19.
Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikuwa anatekeleza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo kusafisha mikono yake kwa kutumia vipukusi kabla na baada ya kutoa huduma.
#Jikinge, wakingeWengine
Chukua hatua
PIA SOMA:
- #COVID19 - Ikulu: Imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?
Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikuwa anatekeleza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo kusafisha mikono yake kwa kutumia vipukusi kabla na baada ya kutoa huduma.
#Jikinge, wakingeWengine
Chukua hatua
PIA SOMA:
- #COVID19 - Ikulu: Imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?