Ufafanuzi mdogo juu ya mamlaka ya kamati kuu ya NEC kuteua wagombea ubunge bila mchakato wa kura ya maoni

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Jul 31, 2017
1,606
1,956
Wadau tafadhali pitieni ufafanuzi kutoka CCM

*Kumekuwapo malumbano kwa baadhi ya watu kuhusu Mamlaka iliyotumia Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kufanya uteuzi wa Wagombea Ubunge katika Majimbo ya Kinondoni na Siha pasina kupitia mchakato wa Kura wa Kura ya Maoni.

Chama kinapenda kutoa ufafanuzi mdogo, kwamba uamuzi wa Kamati Kuu iliyoketi Mwezi Desemba 2017, Mjini Dodoma, umefanyika kwa mujibu wa Katiba, Kanuni ya Uchaguzi na Kanuni za Uteuzi wa Wagombea wa CCM katika Vyombo vya Dola.

Kanuni Za Uteuzi Wa Wagombea Wa CCM Kuingia Katika Vyombo Vya Dola (2010), Fungu la Tatu, Ibara ya 16 (2) Kanuni inasema, "Endapo, kwa sababu maalum, Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa itaona kuwa hakuna haja ya kuitisha kura za maoni, hususan katika uchaguzi mdogo, itakuwa na uwezo wa kuelekeza kwamba zoezi la kura za maoni lisifanyike."

Kanuni hii haina mabadiliko na inasomeka hivyo hivyo katika Kanuni hii toleo la 2005 Fungu la Pili Ibara ya 10(2)*

Imetolewa na,

*IDARA YA ITIKADI NA UENEZI*
*CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)*
 
Nacheka sana yale yaliyokuwa yanasemwa juu ya upinzani juu ya mchakato wa kura za maoni leo ndio ccm wanayafanya vilevile....eti lowasa kahamia leo mmempa tiketi ya kuwania uraisi mara ohh chadema wanateua watu bila kura za maoni... leo ccm mnafanya nini sasa.. msitufanye wananchi mazuzu..
 
Wadau
Kumekuwapo malumbano kwa baadhi ya watu kuhusu Mamlaka iliyotumia Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kufanya uteuzi wa Wagombea Ubunge katika Majimbo ya Kinondoni na Siha pasina kupitia mchakato wa Kura wa Kura ya Maoni.

Chama kinapenda kutoa ufafanuzi mdogo, kwamba uamuzi wa Kamati Kuu iliyoketi Mwezi Desemba 2017, Mjini Dodoma, umefanyika kwa mujibu wa Katiba, Kanuni ya Uchaguzi na Kanuni za Uteuzi wa Wagombea wa CCM katika Vyombo vya Dola.

Kanuni Za Uteuzi Wa Wagombea Wa CCM Kuingia Katika Vyombo Vya Dola (2010), Fungu la Tatu, Ibara ya 16 (2) Kanuni inasema, "Endapo, kwa sababu maalum, Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa itaona kuwa hakuna haja ya kuitisha kura za maoni, hususan katika uchaguzi mdogo, itakuwa na uwezo wa kuelekeza kwamba zoezi la kura za maoni lisifanyike."

Kanuni hii haina mabadiliko na inasomeka hivyo hivyo katika Kanuni hii toleo la 2005 Fungu la Pili Ibara ya 10(2).

Imetolewa na,

*IDARA YA ITIKADI NA UENEZI*
*CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)*
Kwa Siha sina tatizo ila kwa Kinondoni napata shida kidogo. Nakumbuka jinsi Mtulia alivyotutia hasara tukipambania kura za Iddi mwaka 2015 lakini leo hii anapita bila kupingwa?!!!........ Yule Mollel ni mwanaccm kindakindaki so kumrejesha bungeni ni haki yake japokuwa Mwanri ni mzuri zaidi!
 
Wadau
Kumekuwapo malumbano kwa baadhi ya watu kuhusu Mamlaka iliyotumia Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kufanya uteuzi wa Wagombea Ubunge katika Majimbo ya Kinondoni na Siha pasina kupitia mchakato wa Kura wa Kura ya Maoni.

Chama kinapenda kutoa ufafanuzi mdogo, kwamba uamuzi wa Kamati Kuu iliyoketi Mwezi Desemba 2017, Mjini Dodoma, umefanyika kwa mujibu wa Katiba, Kanuni ya Uchaguzi na Kanuni za Uteuzi wa Wagombea wa CCM katika Vyombo vya Dola.

Kanuni Za Uteuzi Wa Wagombea Wa CCM Kuingia Katika Vyombo Vya Dola (2010), Fungu la Tatu, Ibara ya 16 (2) Kanuni inasema, "Endapo, kwa sababu maalum, Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa itaona kuwa hakuna haja ya kuitisha kura za maoni, hususan katika uchaguzi mdogo, itakuwa na uwezo wa kuelekeza kwamba zoezi la kura za maoni lisifanyike."

Kanuni hii haina mabadiliko na inasomeka hivyo hivyo katika Kanuni hii toleo la 2005 Fungu la Pili Ibara ya 10(2).

Imetolewa na,

*IDARA YA ITIKADI NA UENEZI*
*CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)*
Polepole umeirasimisha nafasi yako? Au upo likizo ya mwaka mpya na ofisi yako umemuachia kaimu katibu uenezi? Mbona sikuwahi kusikia kama nafasi yako ina kaimu katibu? Huyu Bonifasi Kichonge ni nani hapo makao makuu lumumba? Mbona kila kinachojiri hapo ofisini yeye ndiye anatutaarifu kabla yako?
Au umeanza likizo ya kujiandaa kuwa katibu mkuu wa chama? Tuhabarishe tujue maana huyu mkurupukaji anayewahi siti anaharibu na hata vichwa vya habari vina makengeza na hahariri kabisa! Hebu mwambie atulie uandike kwanza yeye aquote kutoka kwako kukiwa na official letter.
 
Wadau
Kumekuwapo malumbano kwa baadhi ya watu kuhusu Mamlaka iliyotumia Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kufanya uteuzi wa Wagombea Ubunge katika Majimbo ya Kinondoni na Siha pasina kupitia mchakato wa Kura wa Kura ya Maoni.

Chama kinapenda kutoa ufafanuzi mdogo, kwamba uamuzi wa Kamati Kuu iliyoketi Mwezi Desemba 2017, Mjini Dodoma, umefanyika kwa mujibu wa Katiba, Kanuni ya Uchaguzi na Kanuni za Uteuzi wa Wagombea wa CCM katika Vyombo vya Dola.

Kanuni Za Uteuzi Wa Wagombea Wa CCM Kuingia Katika Vyombo Vya Dola (2010), Fungu la Tatu, Ibara ya 16 (2) Kanuni inasema, "Endapo, kwa sababu maalum, Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa itaona kuwa hakuna haja ya kuitisha kura za maoni, hususan katika uchaguzi mdogo, itakuwa na uwezo wa kuelekeza kwamba zoezi la kura za maoni lisifanyike."

Kanuni hii haina mabadiliko na inasomeka hivyo hivyo katika Kanuni hii toleo la 2005 Fungu la Pili Ibara ya 10(2).

Imetolewa na,

*IDARA YA ITIKADI NA UENEZI*
*CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)*
Uongo uliotukuka kwa hisani ya dola iliyosiginiwa katiba
 
Wadau
Kumekuwapo malumbano kwa baadhi ya watu kuhusu Mamlaka iliyotumia Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kufanya uteuzi wa Wagombea Ubunge katika Majimbo ya Kinondoni na Siha pasina kupitia mchakato wa Kura wa Kura ya Maoni.

Chama kinapenda kutoa ufafanuzi mdogo, kwamba uamuzi wa Kamati Kuu iliyoketi Mwezi Desemba 2017, Mjini Dodoma, umefanyika kwa mujibu wa Katiba, Kanuni ya Uchaguzi na Kanuni za Uteuzi wa Wagombea wa CCM katika Vyombo vya Dola.

Kanuni Za Uteuzi Wa Wagombea Wa CCM Kuingia Katika Vyombo Vya Dola (2010), Fungu la Tatu, Ibara ya 16 (2) Kanuni inasema, "Endapo, kwa sababu maalum, Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa itaona kuwa hakuna haja ya kuitisha kura za maoni, hususan katika uchaguzi mdogo, itakuwa na uwezo wa kuelekeza kwamba zoezi la kura za maoni lisifanyike."

Kanuni hii haina mabadiliko na inasomeka hivyo hivyo katika Kanuni hii toleo la 2005 Fungu la Pili Ibara ya 10(2).

Imetolewa na,

*IDARA YA ITIKADI NA UENEZI*
*CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)*
hebu tuelezane hizo sababu maalum sasa
 
Hiyo ni ahadi,tutawanunua wote na kuwapitisha kwetu kisha tunasimamia kuhakikisha wanashinda uchaguzi.
mawazo yangu tu ntapokuwa mwenyekiti.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom