Ufafanuzi kwa anayejua......

Sir_Mimi

JF-Expert Member
Jun 21, 2013
7,149
15,600
Kitambo kidogo kiasi cha wiki mbili sasa nimekuwa nikitumiwa picture hizi za mdudu huyu na hata nikipita pita kwenye mitandao ya kijamii nimekuwa nikikutana nazo sana zikiwa na tahadhari kwamba ni mdudu hatari sana kwa binaadamu,naomba wataalamu walifafanue hili kweli mdudu huyu ni hatari kiasi cha kusababisha kifo?
d499077d08cbdf20f126d9098e23671a.jpg
38916dbcfeafedb43c5cfa810b9e6dbd.jpg
3c6b52cc5a1849ac1a62e42339e994db.jpg
06bad6529f94a31f06de1dcef467ad52.jpg
4d66d9837f7b60db75c1378e736a9eb1.jpg
df5bd219231e318069efb4d2f561381b.jpg
cc7e7531b9014811f0313bdab38499f6.jpg
hawa wawili wanadaiwa kuathiriwa na sumu yao
06d71d7b65a46d430ce4d41d8eae7470.jpg
cce81b571139e31315ffaf5a122c2193.jpg
nawasilisha.
 
Ngojea tuwasubiri waliong'atwa zaidi Mkuu waje watiririke na waserereke vizuri kwani wengine huku tulipo Mdudu au Wadudu wanaotusumbua sana na tunawaogopa mno ni wale wa HIV ( Wadudu Virusi ) ambao baadae humsababisha Mtu Kuugua Ugonjwa mbaya uitwao Dally Kimoko au UKIMWI.
 
Mkuu hizo ni dhana tu za kutiana uoga na hazina ukweli na haijathibitishwa popote na serikali kama kuna hatari ya kwa hiyo kiumbe.

Kwa kitaalamu huyo kiumbe anaitwa spalgis epius hapo akiwa kwenye stage ya pupa kabla ya kuwa kipepeo kamili na huwa wanatumika kama predator ( of scale insects) kwa wadudu waharibifu wanakula eidha hizo mbogamboga au mapapai.

Kwa taarifa zaidi unaweza uka google na kupata taarifa zake kamili ila hana athari kama zinavyosemwa na huyo aliyetuma .


120px-Spalgis_epius_cat_final_instar.JPG

 
Acheni uoga ....majuzi profesa wa pale sua alitoa ufafanuzi mbele ya media ...hiyo ni hatua ya ukuaji ni buu kama sijakosea ....alisema hana madhara .....wanaitaga metamorphosis kama kumbukumbu za bioz zinakamata vema
 
Mkuu hizo ni dhana tu za kutiana uoga na hazina ukweli na haijathibitishwa popote na serikali kama kuna hatari ya kwa hiyo kiumbe.

Kwa kitaalamu huyo kiumbe anaitwa spalgis epius hapo akiwa kwenye stage ya pupa kabla ya kuwa kipepeo kamili na huwa wanatumika kama predator ( of scale insects) kwa wadudu waharibifu wanakula eidha hizo mbogamboga au mapapai.

Kwa taarifa zaidi unaweza uka google na kupata taarifa zake kamili ila hana athari kama zinavyosemwa na huyo aliyetuma .


120px-Spalgis_epius_cat_final_instar.JPG

hiki ndicho kitu watanzania wengi tunakikosa,hata kutumia elimu ya darasa la tatu au la nne kama sikosei...Big up mkuu
 
Kitambo kidogo kiasi cha wiki mbili sasa nimekuwa nikitumiwa picture hizi za mdudu huyu na hata nikipita pita kwenye mitandao ya kijamii nimekuwa nikikutana nazo sana zikiwa na tahadhari kwamba ni mdudu hatari sana kwa binaadamu,naomba wataalamu walifafanue hili kweli mdudu huyu ni hatari kiasi cha kusababisha kifo?
d499077d08cbdf20f126d9098e23671a.jpg
38916dbcfeafedb43c5cfa810b9e6dbd.jpg
3c6b52cc5a1849ac1a62e42339e994db.jpg
06bad6529f94a31f06de1dcef467ad52.jpg
4d66d9837f7b60db75c1378e736a9eb1.jpg
df5bd219231e318069efb4d2f561381b.jpg
cc7e7531b9014811f0313bdab38499f6.jpg
hawa wawili wanadaiwa kuathiriwa na sumu yao
06d71d7b65a46d430ce4d41d8eae7470.jpg
cce81b571139e31315ffaf5a122c2193.jpg
nawasilisha.
Hawa watu mbona wanakuwa kama wana Stevens Johson syndrome,wanatakapotumia anti histamine mbona hali inaimalika bila shida unless kama shida itakuwa much severe.
 
Nahisi kuna upotoshaji mkubwa kwenye hili jambo.

Tunaomba serikali na wataalamu wafanyr kazi yao ili tufahamu maana naamini si mdudu mgeni
 
Mkuu hizo ni dhana tu za kutiana uoga na hazina ukweli na haijathibitishwa popote na serikali kama kuna hatari ya kwa hiyo kiumbe.

Kwa kitaalamu huyo kiumbe anaitwa spalgis epius hapo akiwa kwenye stage ya pupa kabla ya kuwa kipepeo kamili na huwa wanatumika kama predator ( of scale insects) kwa wadudu waharibifu wanakula eidha hizo mbogamboga au mapapai.

Kwa taarifa zaidi unaweza uka google na kupata taarifa zake kamili ila hana athari kama zinavyosemwa na huyo aliyetuma .


120px-Spalgis_epius_cat_final_instar.JPG

Shukrani chief @RMbuna,hapa sasa nimeelewa.
 
Amezua taharuki sana, kiasi watu hatuna raha na ulaji wa mboga za majani. isije kuwa kama propaganda za dengue
 
Amezua taharuki sana, kiasi watu hatuna raha na ulaji wa mboga za majani. isije kuwa kama propaganda za dengue
Yaani kila mtu mtaani anamzungumzia anavyojua yeye,kinachotisha zaidi wengine wanasema ana sumu kali kama ya nyoka.ila hapa naamini wataalam watatutoa mashaka.
 
Back
Top Bottom