Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,150
- 15,604
Kitambo kidogo kiasi cha wiki mbili sasa nimekuwa nikitumiwa picture hizi za mdudu huyu na hata nikipita pita kwenye mitandao ya kijamii nimekuwa nikikutana nazo sana zikiwa na tahadhari kwamba ni mdudu hatari sana kwa binaadamu,naomba wataalamu walifafanue hili kweli mdudu huyu ni hatari kiasi cha kusababisha kifo?
hawa wawili wanadaiwa kuathiriwa na sumu yao
nawasilisha.