Ufafanuzi juu ya taarifa ya kupanda kwa bei za mafuta kuanzia Desemba 5, 2018

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Bei za mafuta ghafi katika soko la Dunia zimekuwa zikiongezeka mwezi hadi mwezi kutoka Dola 75 kwa pipa, mwezi Julai 2018 hadi kufikia Dola 81 kwa pipa, mwezi Oktoba 2018.

Mwenendo wa bei za mafuta masafi nao umekuwa ukilingana na ule wa bei za mafuta ghafi, ingawa kwa viwango vya mabadiliko hutofautiana kutokana na gharama za kusafisha mafuta ghafi na tofauti za mahitaji ya mafuta husika ya Petroli, Dizeli au Mafuta ya Taa.

Tazama mchanganuo kwenye jedwali hili:
ceecdw.PNG
 
Achana na siasa kila sehemu.

Kushuka au kupanda kwa bei za mafuta hutegemea SOKO LA DUNIA.

Ilipo panda toka 1-2000 mbona mlinyamaza na mlishindwa kuwalalamikia waliokuwepo au saivi ndevu zimewaota mnaleta kibri.

Na dollar ndio hutumika kwenye SOKO LA KIMATAIFA.
Hata kama isipopanda itapanda tu. Shilungi si inazidi kuporomoka dhidi ya dola na masuti wala hajali!!
 
Achana na siasa kila sehemu.

Kushuka au kupanda kwa bei za mafuta hutegemea SOKO LA DUNIA.

Ilipo panda toka 1-2000 mbona mlinyamaza na mlishindwa kuwalalamikia waliokuwepo au saivi ndevu zimewaota mnaleta kibri.

Na dollar ndio hutumika kwenye SOKO LA KIMATAIFA.
Ni heri uwe mtoto kuliko kuwa mtoto kiakili lama ulivyo.
 
Hivi mafuta yanayotarajiwa kusafirishwa kwenda Tanga kutokea Uganda si bei nafuu zaidi tungeanza kununua hayo?
 
Bei za mafuta ghafi katika soko la Dunia zimekuwa zikiongezeka mwezi hadi mwezi kutoka Dola 75 kwa pipa, mwezi Julai 2018 hadi kufikia Dola 81 kwa pipa, mwezi Oktoba 2018.

Mwenendo wa bei za mafuta masafi nao umekuwa ukilingana na ule wa bei za mafuta ghafi, ingawa kwa viwango vya mabadiliko hutofautiana kutokana na gharama za kusafisha mafuta ghafi na tofauti za mahitaji ya mafuta husika ya Petroli, Dizeli au Mafuta ya Taa.

Tazama mchanganuo kwenye jedwali hili:
View attachment 956864
Kama shilingi yetu ingekuwa ina appreciatte tungepata nafuu acheni kutulisha matango pori
 
Itabidi mustahmili tu, subiri Zanzibar tukikamilisha uchimbaji tutawauzia kwa bei chee kabisa :D
 
Back
Top Bottom