Bengazuu
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 1,029
- 1,235
wakuu nilikua naomba ufafanuzi juu ya swala hili 'mimi nataka nije kusomea sheria lakini kuna mtu kaniambia kama ukisomea sheria kazi lazima ujitafutie na sio kuajiliwa na serikali' je' kuna ukweli wowote kuhusu hili nisaidieni wakuu maana naipenda sana sheria.