Nitaeleza kwa kifupi;
Ukizunguka benki zote, utaratibu wa kufungua akaunti unafanana,
Swali; Kwanini benki nyingi hawatoi mikataba kwa wateja wao? nini lengo lao kama siyo dhuluma?
Umewahi kujiuliza maswali haya!
Nanukuu
Mteja 1. "Nilikuwa na pesa zangu 38 mil kwenye akaunti, bank imefilisiwa, Nimeambiwa nitalipwa 150,000/={laki na nusu) kila mwezi hadi deni liishe
Mteja 2; " Nimefuatilia pesa zangu benki ya ****** naambiwa benki imefilisiwa, wakaniambia niende B.O.T , nimefika huko wanasema watatoa laki na nusu, akaunti ilikuwa ina million 280, Nina watoto wanne nataka nikawalipie Ada! naambiwa benki imefilisiwa!
Mambo kama hayo yalipaswa kuwekwa kwenye mkataba punde tu anapofungua akaunti; kuwepo mkataba tena kwa lugha ya kiswahili ili Mteja abaki na nakala;
Na sheria za fedha B.O.T ziwekwe wazi, wanapoifilisi benki X walipe pesa za wateja immediately!
(kufilisika kwa benki siyo kufilisika kwa Mteja, Wizara ya fedha/B.O.T wekeni wazi utaratibu wa kulipwa pesa kwa matukio kama hayo, utaratibu wa sasa kwakweli umejaa dhuluma)
Ukizunguka benki zote, utaratibu wa kufungua akaunti unafanana,
- Wanahitaji jina kwa maana ya kitambulisho chako
- picha yako
- finger print basi
- wakijitahidi sana, wanaomba barua toka serikali ya mtaa!
Swali; Kwanini benki nyingi hawatoi mikataba kwa wateja wao? nini lengo lao kama siyo dhuluma?
Umewahi kujiuliza maswali haya!
- Pesa zako zikidukuliwa zikapotea ki-elektroniki nani atakulipa?
- Ukifika ndani ya jengo la benki ikatokea Ambushi majambazi yakapola benki na pesa zako huja- deposits utamdai nani?
- Benki yako ikifilisiwa pesa zako utalipwaje kwa utaratibu gani? n.k
Nanukuu
Mteja 1. "Nilikuwa na pesa zangu 38 mil kwenye akaunti, bank imefilisiwa, Nimeambiwa nitalipwa 150,000/={laki na nusu) kila mwezi hadi deni liishe
Mteja 2; " Nimefuatilia pesa zangu benki ya ****** naambiwa benki imefilisiwa, wakaniambia niende B.O.T , nimefika huko wanasema watatoa laki na nusu, akaunti ilikuwa ina million 280, Nina watoto wanne nataka nikawalipie Ada! naambiwa benki imefilisiwa!
Mambo kama hayo yalipaswa kuwekwa kwenye mkataba punde tu anapofungua akaunti; kuwepo mkataba tena kwa lugha ya kiswahili ili Mteja abaki na nakala;
Na sheria za fedha B.O.T ziwekwe wazi, wanapoifilisi benki X walipe pesa za wateja immediately!
(kufilisika kwa benki siyo kufilisika kwa Mteja, Wizara ya fedha/B.O.T wekeni wazi utaratibu wa kulipwa pesa kwa matukio kama hayo, utaratibu wa sasa kwakweli umejaa dhuluma)