Ufafanuzi crane za JNHPP, Januari Makamba alikuwa sahihi mnaopinga someni hapa

The bottomline is....this should have been anticipated and planned earlier.
 
Mhandisi Christopher Bitesigirwe Mratibu wa Mradi wa JNHPP. Nimekuwa pale kwenye mradi kwa muda wa zaidi ya mwaka na ni Mtaalamu wa Mitambo. Kuna aina nyingi ya crane na kila crane inatengenezwa kwa kazi maalum. Kuna crane zinazotembea (movable cranes) na crane zinazofungwa mahali (immovable cranes).

Crane itakayofungwa pale kwenye handaki la kuchepusha mto (diversion tunnel) ambayo ni immovable crane imetengenezwa pamoja na gate la kufunga handaki la kuchepusha mto.

Lile gate lina vipande 14 ambavyo vina uzito wa tani 26 kila kimoja. Na vitaunganishwa vipande 7 kwa kila nusu gate lenye uzito wa tani 182. Hivyo crane itakayotumika kufunga gate kwa jina la kitaalamu inaitwa hoisting mechanism ambayo itakuwa inabeba vipande vya gates kwa ajili ya kuviunganisha na kushikilia. Baada ya kufunga gate, litamwagwa zege la kuimarisha gate hilo ambalo litakaa pale wakati wote (permanently).

Kwa kuwa crane hiyo imetengenezwa mahususi kwa kazi ya kuziba handaki la kuchepusha mto, baada ya kazi hiyo kukamilika crane hiyo haitakuwa na kazi tena.

Crane hiyo tunayoiongelea bado haijafika nchini na itakapofika ndio tunaweza kuanza kazi ya kuziba handaki la kuchepusha mto (diversion tunnel).
Swali, winchi hiyo tunaikodi au tunainunua? Kama tunainunua, baada ya kukamilisha kazi yake tutakuwa na kazi nayo nyingine au itakuwa chuma chakavu? Je, utaratibu huu wa kutumia winchi ni wa kawaida siku hizi au ni utaratibu wa enzi za mabwawa ya waitaliani?
 
Hivi inapokua unajenga nyumba si unakua unajua nikishapaua mahitaji mabati?,Sasa kwanini hili suala cranes linakuja kuwa kama siasa tu maana wakati wanaanza ujenzi wa bwabwa walikua wanajua kabisa kwamba wakifika hatua flani lazima watahitaji hizo cranes hizi zingine ni utapeli wa kisiasa tu
 
Wahuni wa siasa wameanza kuhujumu mradi kwa speed ya 5G. Hapo zinatafutwa pesa . pesa ya dharula
 
Mhandisi Christopher Bitesigirwe Mratibu wa Mradi wa JNHPP. Nimekuwa pale kwenye mradi kwa muda wa zaidi ya mwaka na ni Mtaalamu wa Mitambo. Kuna aina nyingi ya crane na kila crane inatengenezwa kwa kazi maalum. Kuna crane zinazotembea (movable cranes) na crane zinazofungwa mahali (immovable cranes).

Crane itakayofungwa pale kwenye handaki la kuchepusha mto (diversion tunnel) ambayo ni immovable crane imetengenezwa pamoja na gate la kufunga handaki la kuchepusha mto.

Lile gate lina vipande 14 ambavyo vina uzito wa tani 26 kila kimoja. Na vitaunganishwa vipande 7 kwa kila nusu gate lenye uzito wa tani 182. Hivyo crane itakayotumika kufunga gate kwa jina la kitaalamu inaitwa hoisting mechanism ambayo itakuwa inabeba vipande vya gates kwa ajili ya kuviunganisha na kushikilia. Baada ya kufunga gate, litamwagwa zege la kuimarisha gate hilo ambalo litakaa pale wakati wote (permanently).

Kwa kuwa crane hiyo imetengenezwa mahususi kwa kazi ya kuziba handaki la kuchepusha mto, baada ya kazi hiyo kukamilika crane hiyo haitakuwa na kazi tena.

Crane hiyo tunayoiongelea bado haijafika nchini na itakapofika ndio tunaweza kuanza kazi ya kuziba handaki la kuchepusha mto (diversion tunnel).
Hapa shida ni dili tu.

Watu washatia pesa kwenye fixed account afu baadae ndio wanaagiza. Hii kitu inajulikana tangu mwanzo, kama ni kweli basi hapa tumepigwa.
 
Je Makamba alitoa maelezo kama haya bungeni?

Yeye aliongea neno Crane in general bila kutoa ufafanuzi wowote ule.

Tena anaongea na waheshimiwa wabunge wenzake kwa kiburi na overconfident!

Makamba Must Go!
 
Tatizo ni lugha iliyotumika kufanya "articulation" imekosa vionjo sahihi. Endapo January angemwagika kuhusu masuala haya ya kitaalamu, basi angeepusha mijadala inayoendelea kuhusu jambo hili.
Bro i agree with you maelezo hayakutolewa kwa kina kiasi ambacho sasa makamba anaonekana ni mpuuzi,kumbe yuko right
 
Maneno gani hayo???, yaani crane ikishaziba handaki basi tena inakuwa haina kazi nyingine?!!, kwa maana hiyo itakuwa ni Crane ya kukodi au ??!!
Duh tujifunze kuelewa kabla kutoa lawama huo sio mradi wa kuchezea kiasi cha kila mtu kuropoka atakavyo,hiyo project ni ngeni kwetu ndio maana tunaona vitu vigeni
 
Kwa hiyo walianzaje ujenzi bila kujua Kuna hiyo crane itahitajika pindi itakapofikia hii stage ya kuweka milango ya kufunga bwawa ili maji yajae?

Haiwezekani wakati wa design hawakujua hii especially quantity surveyor wa project. Upulusi mtupu.

Halafu anajiita engineer shwaini kabisa.
Kwani wewe ulipoanza ujenzi wa nyumba ulinunua mahitaji yote kwa wakati mmoja?.Ujenzi wowote unastage.
 
Mhandisi Christopher Bitesigirwe Mratibu wa Mradi wa JNHPP. Nimekuwa pale kwenye mradi kwa muda wa zaidi ya mwaka na ni Mtaalamu wa Mitambo. Kuna aina nyingi ya crane na kila crane inatengenezwa kwa kazi maalum. Kuna crane zinazotembea (movable cranes) na crane zinazofungwa mahali (immovable cranes).

Crane itakayofungwa pale kwenye handaki la kuchepusha mto (diversion tunnel) ambayo ni immovable crane imetengenezwa pamoja na gate la kufunga handaki la kuchepusha mto.

Lile gate lina vipande 14 ambavyo vina uzito wa tani 26 kila kimoja. Na vitaunganishwa vipande 7 kwa kila nusu gate lenye uzito wa tani 182. Hivyo crane itakayotumika kufunga gate kwa jina la kitaalamu inaitwa hoisting mechanism ambayo itakuwa inabeba vipande vya gates kwa ajili ya kuviunganisha na kushikilia. Baada ya kufunga gate, litamwagwa zege la kuimarisha gate hilo ambalo litakaa pale wakati wote (permanently).

Kwa kuwa crane hiyo imetengenezwa mahususi kwa kazi ya kuziba handaki la kuchepusha mto, baada ya kazi hiyo kukamilika crane hiyo haitakuwa na kazi tena.

Crane hiyo tunayoiongelea bado haijafika nchini na itakapofika ndio tunaweza kuanza kazi ya kuziba handaki la kuchepusha mto (diversion tunnel).
Sisi tunahitaji umeme na siyo ngonjera za Makamba, kwenye mkataba kuna kitu kinaitwa Mobilization na Demobilization ya mashine, kwa hiyo tunapoongelea mobilization maana yake ni pamoja na hiyo crane kuwa site, sasa huyo mwizi alokataliwa na JPM anatueleza kitu gani?
 
Mhandisi Christopher Bitesigirwe Mratibu wa Mradi wa JNHPP. Nimekuwa pale kwenye mradi kwa muda wa zaidi ya mwaka na ni Mtaalamu wa Mitambo. Kuna aina nyingi ya crane na kila crane inatengenezwa kwa kazi maalum. Kuna crane zinazotembea (movable cranes) na crane zinazofungwa mahali (immovable cranes).

Crane itakayofungwa pale kwenye handaki la kuchepusha mto (diversion tunnel) ambayo ni immovable crane imetengenezwa pamoja na gate la kufunga handaki la kuchepusha mto.

Lile gate lina vipande 14 ambavyo vina uzito wa tani 26 kila kimoja. Na vitaunganishwa vipande 7 kwa kila nusu gate lenye uzito wa tani 182. Hivyo crane itakayotumika kufunga gate kwa jina la kitaalamu inaitwa hoisting mechanism ambayo itakuwa inabeba vipande vya gates kwa ajili ya kuviunganisha na kushikilia. Baada ya kufunga gate, litamwagwa zege la kuimarisha gate hilo ambalo litakaa pale wakati wote (permanently).

Kwa kuwa crane hiyo imetengenezwa mahususi kwa kazi ya kuziba handaki la kuchepusha mto, baada ya kazi hiyo kukamilika crane hiyo haitakuwa na kazi tena.

Crane hiyo tunayoiongelea bado haijafika nchini na itakapofika ndio tunaweza kuanza kazi ya kuziba handaki la kuchepusha mto (diversion tunnel).
Wanaompinga January wamezoea kuambiwa UONGO na lile dictator lao
 
Kwani wewe ulipoanza ujenzi wa nyumba ulinunua mahitaji yote kwa wakati mmoja?.Ujenzi wowote unastage.
Hii ndio shida ya kujadili na watu wanaojiona wanajua kumbe shuleless kabisa.

Tunaongelea mradi ambao pesa yake imeshatengwa na umefanyiwa upembuzi yakinifu na wataalamu, whether mahitaji yalinunuliwa au la hasha Cha msingi ni kujua kwamba stage inayofuata ni ipi na kitu gani kinahitajika then huwa inaandaliwa kabla ya kumaliza stage ya kwanza, hapa tunaongelea mradi wa kitaofa wenye pesa za wananchi sio nyumba yangu hata mie najua nini kinafuata nikiwa najenga nyumba tofauti ni kwamba mradi huo pesa ipo tayari so hakuna kisingizio.

BTW waweza kuomba kuelimishwa namna ambayo miradi ya ujenzi husimamiwa, hapo hatujengi nyumba ya nyasi ambazo unahisi utazikuta kila sehemu wakati wowote.
 
Sorry Mr.Engineer..
Kwan plan yenu ilikuwa ipi mkifikia hilo eneo au mlimwachia Mungu?
Michoro mlikuwa hamna?
Engineer..
 
Back
Top Bottom