kwa uchungu napenda kukosoa uwongo uliosemwa na huyo mama kuwa Lema alimtaka kimapenzi.
Katika madiwani waliofukuzwa hakuna diwani wa Olasiti.
Madiwani waliofukuzwa ni kata ya Themi, Kijenge, Kaloleni na Elerai, yeye alikuwa wa kuteuliwa, kama yeye walimtaka kimapenzi akakataa na wenzie pia walitakwa kimapenzi?
Katika madiwani waliofukuzwa hakuna diwani wa Olasiti.
Madiwani waliofukuzwa ni kata ya Themi, Kijenge, Kaloleni na Elerai, yeye alikuwa wa kuteuliwa, kama yeye walimtaka kimapenzi akakataa na wenzie pia walitakwa kimapenzi?