Ufadhili kwa mtoto wa kike wa kidato cha kwanza (form one)

mama D

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
19,760
35,205
Habari ya jumatatu wandugu.

Hii nafasi ni kwa watoto wasiokua na wazazi/yatima na waliokua kwenye mazingira magumu

Unatakiwa kufika na mtoto tarehe tajwa saa moja na nusu asubuhi - Zingatia muda

Screenshot_20210816-163122.jpg


Tusambaze ujumbe huu tukaguse maisha ya watoto wetu

Na Mungu atubariki🙏
 
Back
Top Bottom