Wadau nadhani bw.Yusuf Manji anafuata taratibu za mwenyekiti wa CUF mh.Prof.Lipumba za kuandika barua ya kujiuzulu halafu unarudi tena kuwa hukujiuzulu.
Hahahaaa. Ni kwamba umetengua kujiuzulu mwenyewe. Wamuachie tu Yanga yake, tena wamrudishe ofisini kwa usimamizi wa polisi Km walivyofanya kwa Lipumba mana kina Akili ni Mali wanaweza kumfyekelea mbali. Ni double standard to awamu hii. Disgusting
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.