UENYEKITI WA YUSUF MANJI YANGA NI KAMA UENYEKITI WA PROF.LIPUMBA CUF

Hahahaaa. Ni kwamba umetengua kujiuzulu mwenyewe. Wamuachie tu Yanga yake, tena wamrudishe ofisini kwa usimamizi wa polisi Km walivyofanya kwa Lipumba mana kina Akili ni Mali wanaweza kumfyekelea mbali. Ni double standard to awamu hii. Disgusting
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom