johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,763
Kiukweli kitendawili cha nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA ni kigumu sana kukitegua.
Kwanini Mwenyekiti yuko madarakani kwa zaidi ya miaka 20, ndilo swali kuu!
Je, ni demokrasia, ubabe au udikteta?
Kwanini kila aliyetamani kuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii hayuko katika chama hicho chenye makao yake mtaa wa Ufipa?
Alianza Wangwe, akaja Zitto na kisha wamefuatia Mzee Sumaye na kinara wa Siasa za kusini Cecil Mwambe.
Binafsi naifananisha nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA na tunda la mti wa katikati ambalo Mungu alimwambia Adam wa kwanza asilile.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Kwanini Mwenyekiti yuko madarakani kwa zaidi ya miaka 20, ndilo swali kuu!
Je, ni demokrasia, ubabe au udikteta?
Kwanini kila aliyetamani kuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii hayuko katika chama hicho chenye makao yake mtaa wa Ufipa?
Alianza Wangwe, akaja Zitto na kisha wamefuatia Mzee Sumaye na kinara wa Siasa za kusini Cecil Mwambe.
Binafsi naifananisha nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA na tunda la mti wa katikati ambalo Mungu alimwambia Adam wa kwanza asilile.
Nawatakia Dominica yenye baraka!