chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
Hotuba ya rais wakati akikabidhiwa ripoti ya pili ilikuwa ni attention ya vyombo vingi vya habari wadau mbalimbali na potential investors pia Rais anasisitiza juu ya kuvutia wawekezaji, kuwasamehe kodi za mwanzo na kusisitiza mara kwa mara mtendaji ndani ya serikali yake atakayeleta vikwazo kwa muwekezaji atamuondoa
Watu watasema tunajadili details zisizo na msingi kwenye hotuba ila kwa Investors anaye-contemplate juu ya kuja Tanzania attention yake inakuwa juu ya rais anavyodeal na wawekezaji waliopo nchini ndio anajua nchi hii ni rafiki ama sio rafiki na sio kusikiliza maneno anayomwambia rais akiwa anaongea nae
Kauli hiyo inatoa picha kuwa rais ni mbabe, asiyesikiliza reason ila akiktuhumu juu ya lolote unatakiwa ukiri na umlipe
Chukulia mfano huu
Umekodi shamba unapanda mahindi, makubaliano na mwenye shamba ni kuwa kila gunia 100 utakazovuna utamlipa gunia 2,
Mwenye shamba anakutuhumu unavuna mahindi mengi zaidi unamficha ili umpe gawio dogo, na kingine ni makubaliano ya gawio la kwanza hayapo fair, na amekuzuia kulima walakutoa mahindi
Mwenye shamba huyo anakuambia usithubutu kumshtaki kwa sababu una vifaa vyako shambani kwake...unatakiwa ukubali tuhuma zilivyo na na ulipe
Mwenye shamba kama huyo kama kuna mtu aliyekuwa anawaza kukodi shamba kwake ataenda kwake au atafikiria kukodi kwa mwingine na wenye shamba ni wengi?
Watu watasema tunajadili details zisizo na msingi kwenye hotuba ila kwa Investors anaye-contemplate juu ya kuja Tanzania attention yake inakuwa juu ya rais anavyodeal na wawekezaji waliopo nchini ndio anajua nchi hii ni rafiki ama sio rafiki na sio kusikiliza maneno anayomwambia rais akiwa anaongea nae
Kauli hiyo inatoa picha kuwa rais ni mbabe, asiyesikiliza reason ila akiktuhumu juu ya lolote unatakiwa ukiri na umlipe
Chukulia mfano huu
Umekodi shamba unapanda mahindi, makubaliano na mwenye shamba ni kuwa kila gunia 100 utakazovuna utamlipa gunia 2,
Mwenye shamba anakutuhumu unavuna mahindi mengi zaidi unamficha ili umpe gawio dogo, na kingine ni makubaliano ya gawio la kwanza hayapo fair, na amekuzuia kulima walakutoa mahindi
Mwenye shamba huyo anakuambia usithubutu kumshtaki kwa sababu una vifaa vyako shambani kwake...unatakiwa ukubali tuhuma zilivyo na na ulipe
Mwenye shamba kama huyo kama kuna mtu aliyekuwa anawaza kukodi shamba kwake ataenda kwake au atafikiria kukodi kwa mwingine na wenye shamba ni wengi?