impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,729
- 7,600
Hali iliyotokea juzi tarehe 5.03.2018 ilinitisha na kuniogofya nisijue nini cha kufanya wala sikujua ni kitu gani kimesababisha Jua kubadirika na kutengeneza hali yenye utisho mpaka sasa nimejaribu kupitia makala mbalimbali kwa siku tatu lakini sijapata majibu hikii.
Kilichotokea.
Ilikuwa mda wa saa 6:45 mchana nikiwa mashambani huku nikipiga picha kutumia camera ndogo ya kisasa Jua lilikuwa kali sana likichoma lakini cha kushangaza Jua lilipunguza mngao ghafla nilianza kuona kitu kama rangi rangi za kila namna zikiangaza pale chini ktk ardhi.
Nilishituka hali iliyonipelekea kutazama angani nilichokiona kilinishitua sana Jua lilionyesha kukosa ung'aavu ingawa lilichoma sana na lilitengeneza duara mawinguni iliyoweka weusi flani kupunguza mng'ao wa Jua na wingu lililokuwa la duara lilitengeneza rangi za kila namna ktk mzunguko wake.
Nilivaa miwani ya Jua ambayo siku zote kama mtafiti huwa siiachi ili nilitazame vema Jua niliona kidoti kikubwa kama nusu ya Jua lote nilijita hidi kuangaza vizuri ili nigundue Jua limepataje kidoti kikubwa namna ile.
Nilipochunguza vyema maana ilinibidi nilale chali nilichokiona lilikuwa ni kama tundu kubwa ambalo kwa mwonekano wa Jua tukiwa hapa duniani ungeweza kuingiza mpira wa miguu wa namba 6.
Nilichukua camera na kuanza kupiga picha ili nipate ushahidi kwa ambao nitawaelezea na niendelee na utafiti kutafta majibu kwa wenye uelewa zaidi.
Ghafla Jua lilirudisha mng'ao wake halisi na kidoti kile kilifutika na mviringo ktk mawingu ulitoweka na zile rangi rangi zote nilianza kuchukua video haraka lakini cha kushangaza camera ilizima ghafla,.
Nilipofika nyumbani nilitoa memory card kuweka kwenye PC haikuonyesha chochote kila kitu kimefutika, na nilijaribu kuchaji camera ikakataa na nimepeleka camera kwa fundi anasema imeungua haitawezekana kutengeneza.
Jee hii hali kuna yeyote amewahi kuishuhudia naomba mchango wa mawazo.
Hasa ni kitu gani hiki
Maana ktk Jua sioni kidoti wala tundu!
Kilichotokea.
Ilikuwa mda wa saa 6:45 mchana nikiwa mashambani huku nikipiga picha kutumia camera ndogo ya kisasa Jua lilikuwa kali sana likichoma lakini cha kushangaza Jua lilipunguza mngao ghafla nilianza kuona kitu kama rangi rangi za kila namna zikiangaza pale chini ktk ardhi.
Nilishituka hali iliyonipelekea kutazama angani nilichokiona kilinishitua sana Jua lilionyesha kukosa ung'aavu ingawa lilichoma sana na lilitengeneza duara mawinguni iliyoweka weusi flani kupunguza mng'ao wa Jua na wingu lililokuwa la duara lilitengeneza rangi za kila namna ktk mzunguko wake.
Nilivaa miwani ya Jua ambayo siku zote kama mtafiti huwa siiachi ili nilitazame vema Jua niliona kidoti kikubwa kama nusu ya Jua lote nilijita hidi kuangaza vizuri ili nigundue Jua limepataje kidoti kikubwa namna ile.
Nilipochunguza vyema maana ilinibidi nilale chali nilichokiona lilikuwa ni kama tundu kubwa ambalo kwa mwonekano wa Jua tukiwa hapa duniani ungeweza kuingiza mpira wa miguu wa namba 6.
Nilichukua camera na kuanza kupiga picha ili nipate ushahidi kwa ambao nitawaelezea na niendelee na utafiti kutafta majibu kwa wenye uelewa zaidi.
Ghafla Jua lilirudisha mng'ao wake halisi na kidoti kile kilifutika na mviringo ktk mawingu ulitoweka na zile rangi rangi zote nilianza kuchukua video haraka lakini cha kushangaza camera ilizima ghafla,.
Nilipofika nyumbani nilitoa memory card kuweka kwenye PC haikuonyesha chochote kila kitu kimefutika, na nilijaribu kuchaji camera ikakataa na nimepeleka camera kwa fundi anasema imeungua haitawezekana kutengeneza.
Jee hii hali kuna yeyote amewahi kuishuhudia naomba mchango wa mawazo.
Hasa ni kitu gani hiki
Maana ktk Jua sioni kidoti wala tundu!