UEFA yatishia kuzipiga 'ban' klabu kubwa barani ulaya kwenye michuano yote

Itaniuma sana hii......


Wale wamarekani pale epl wanaliua kisawasawa soka la ulaya..
Wanaliua vipi, tusiishi kwa mazoea aisee, kwani man city mmiliki wake ni mmarekani? Halafu soma linakufaje? Hutoi sababu halafu tunasema soma linakufa.
 
wadau nilichokiona kuhusu haya mashindano mapya perez ana uhakika yatafanyika na hata mimi ninauhakika kwasababu hapa kuna mkono mkubwa wa matajiri kutoka usa ambao ni wamiliki baadhi ya timu vigogo uingereza na italy ,sasa hapo ukishajua mmarekani kaweka nguvu yake yaanzishwe,namwona Inflatino anapoteza muda anavyopiga kelele yasiwepo,cha kwanza CIA ndio waliomweka hapo fifa awe bosi mkuu hivyo hana nguvu yoyote juu ya mmarekani .
 
Itakua ya kibabe kwa muda mfupi tu mkishazoeana na ubabe unaishia hapo...
Mnazoeana vipi wakati wachezaji wapya wanakupa? Halafu kumbuka hii ni ligi ya makundi kwa hiyo itakuwa inapingwa drop, timu 10/10 kwa hiyo unaweza kupita hata miaka 3 chelsea na Madrid wasikutane. Sasa sijui tunakwama wapi?
 
jambo lingine sababu alizozitoa perez kwa wanahabar kiukweli zina mashiko ,uwekezaji wanaoufanya kwenye hizi timu vigogo ni mkubwa sana kuliko hata zawadi za mataji timu ikiwa bingwa kuanzia uefa hadi ligi , ukiongez na janga la korona ,kiukweli jamaa wanapata loss kubwa mfano man city ,psg ,juventus,madrid wananunua wachezaji hela nyingi ,mishahala mikubwa alafu timu inakuja kutolewa 16 bora ,kiukweli bora wamegundua hilo ,kwa pesa walizowekeza kwenye zawadi uefa europa league faida itaanza kuonekana ...
 
BREAKING: Andrea Agnelli has resigned as the president of Juventus

Ed Woodward has resigned as the chairman of Man United.

Agnelli's and Woodward's decisions come after the backlash over the European Super League.
 
jambo lingine sababu alizozitoa perez kwa wanahabar kiukweli zina mashiko ,uwekezaji wanaoufanya kwenye hizi timu vigogo ni mkubwa sana kuliko hata zawadi za mataji timu ikiwa bingwa kuanzia uefa hadi ligi , ukiongez na janga la korona ,kiukweli jamaa wanapata loss kubwa mfano man city ,psg ,juventus,madrid wananunua wachezaji hela nyingi ,mishahala mikubwa alafu timu inakuja kutolewa 16 bora ,kiukweli bora wamegundua hilo ,kwa pesa walizowekeza kwenye zawadi uefa europa league faida itaanza kuonekana ...
Football fans won and Papa Perez lost
Screenshot_20210420-215759.jpg
 
jambo lingine sababu alizozitoa perez kwa wanahabar kiukweli zina mashiko ,uwekezaji wanaoufanya kwenye hizi timu vigogo ni mkubwa sana kuliko hata zawadi za mataji timu ikiwa bingwa kuanzia uefa hadi ligi , ukiongez na janga la korona ,kiukweli jamaa wanapata loss kubwa mfano man city ,psg ,juventus,madrid wananunua wachezaji hela nyingi ,mishahala mikubwa alafu timu inakuja kutolewa 16 bora ,kiukweli bora wamegundua hilo ,kwa pesa walizowekeza kwenye zawadi uefa europa league faida itaanza kuonekana ...
Nakujibu simpo tu sitaki kuumiza kichwa
Hao walioandaa iyo super league kama wanaona pesa wanayopata ni ndogo tofauti na maandalizi waziachie izo timu watakuja wenzao wenye mapenzi na ivyo vilabu kuziendesha.......mimi naamini hakuna club itakayokufa kama hawa jamaa wakiamua kuzitema
 
Arsenal, Chelsea, Liverpool, Manchester United na Manchester City zathibitisha kujitoa katika mashindano andaliwa ya European Super League.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom